Fredrick Mchauru - Mtanzania wa kwanza kupata scholarship atimiza miaka 100. Alikuwa Katibu Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Tanganyika

Fredrick Mchauru - Mtanzania wa kwanza kupata scholarship atimiza miaka 100. Alikuwa Katibu Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Tanganyika

Kipindi cha nyuma (kwenye 2007) nilikuwa nasomaga nakala za viongozi wa zamani ktk gazeti la Mwananchi yaani karibia maisha yao yanafanana watu wa kawaida sana na kweli walikiwa wazalendo haswa.

Ni kweli

Watu waliofanya kazi na Nyerere kama mzee Sozigwa, Mzee Kaduma, Mzee Nyakirang'ani nk walikua waadilifu sana
 
Hongera sana kwake. Sio kitu kidogo huo umri. Mkuu vipi Mzee James Butiku, aliyewahi kuwa Katibu wa Nyerere ambaye naye yuko hai? Ni sahihi tukasema naye ni miongoni mwa makatibu wa serikali ya kwanza?
 
Nimerudia tena kuisoma makala. Nimeelewa, huyu alikua ni katibu Mkuu. Naomba radhi kwa usumbufu utakao jitokeza.
 
Ndio kijiji hiko ndiko familia yake ilikotoka

Pia Geita Gold Mines kuna either Library au Lunch room iitwayo Mchauru Library kwa ukumbusho wake

Mzee ni Nyerere type ndio maana sio bilionea na ndio maana hajulikani. Hakuiba hata shillingi na anafurahia hilo sana sana. Anasema hajawai kua na tamaa ya mali wala utajiri bali yeye alipenda utumishi wa umma tu
Hapana, kwa Geita Gold Mine hilo jina sio library wala lunch room, kama nakumbuka vyema ni "Mchauru Village" kule wanakoishi Mabepari na wafanyakazi wengine wa hadhi ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimerudia tena kuisoma makala. Nimeelewa, huyu alikua ni katibu Mkuu. Naomba radhi kwa usumbufu utakao jitokeza.

Ni sahihi mkuu

Babu alikua katibu mkuu enzi hizo wanaitwa Principal Secretary
 
Kuna kipindi kinaonyeshwa na TV station moja kupitia DSTV kinaitwa maisha yangu kinawalnuesha watu kama hawa wahusika kama mpo hapa DSTV tuleteeni huyu babu tumjue zaidi....hawa ndio wazalendo achana na wazalendo tumbo wanaorushwa na TANZANIA BOOT LEAKERS COOPERATION.

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante sana mkuu

ntamtafuta Ronald Baraka Shelukindo anipe muongozo
 
Back
Top Bottom