Ngwanakilala
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 774
- 1,464
- Thread starter
-
- #21
Kipindi cha nyuma (kwenye 2007) nilikuwa nasomaga nakala za viongozi wa zamani ktk gazeti la Mwananchi yaani karibia maisha yao yanafanana watu wa kawaida sana na kweli walikiwa wazalendo haswa.
Hapana chief
Mimi ni mjukuu wa mzee niko UK for now
Na wakati ule mkuu wa nchi alikuwa anachagua watu kutoka mikoa yote sio kama siku hizi wote wanatokea ziwani.Kipindi cha nyuma (kwenye 2007) nilikuwa nasomaga nakala za viongozi wa zamani ktk gazeti la Mwananchi yaani karibia maisha yao yanafanana watu wa kawaida sana na kweli walikiwa wazalendo haswa.
Mnaleta Siasa.Na wakati ule mkuu wa nchi alikuwa anachagua watu kutoka mikoa yote sio kama siku hizi wote wanatokea ziwani.
Ila wewe utakuwa umezaliwa na mzazi mmoja Msukuma eeeh?Hapana chief
Mimi ni mjukuu wa mzee niko UK for now
I've enjoyed reading the history of this great man. Hongera sana mzee wetu kwa kutimiza umri huo.
Hapana, kwa Geita Gold Mine hilo jina sio library wala lunch room, kama nakumbuka vyema ni "Mchauru Village" kule wanakoishi Mabepari na wafanyakazi wengine wa hadhi ya juu.Ndio kijiji hiko ndiko familia yake ilikotoka
Pia Geita Gold Mines kuna either Library au Lunch room iitwayo Mchauru Library kwa ukumbusho wake
Mzee ni Nyerere type ndio maana sio bilionea na ndio maana hajulikani. Hakuiba hata shillingi na anafurahia hilo sana sana. Anasema hajawai kua na tamaa ya mali wala utajiri bali yeye alipenda utumishi wa umma tu
Watu wa hila na ghilibaAmeishi aisee je mkewe yupo?..sijui kizazi kijacho wajukuu zetu watawasomaje kina Humprey Polepole jamani &the co.
Hbd Babu
Hapana, kwa Geita Gold Mine hilo jina sio library wala lunch room, kama nakumbuka vyema ni "Mchauru Village" kule wanakoishi Mabepari na wafanyakazi wengine wa hadhi ya juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimerudia tena kuisoma makala. Nimeelewa, huyu alikua ni katibu Mkuu. Naomba radhi kwa usumbufu utakao jitokeza.
Kuna kipindi kinaonyeshwa na TV station moja kupitia DSTV kinaitwa maisha yangu kinawalnuesha watu kama hawa wahusika kama mpo hapa DSTV tuleteeni huyu babu tumjue zaidi....hawa ndio wazalendo achana na wazalendo tumbo wanaorushwa na TANZANIA BOOT LEAKERS COOPERATION.
Sent using Jamii Forums mobile app