Kila Mbongo
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 308
- 435
Ana uhusiano wowote na aliyekua hakimu wa mahakama ya Kisutu na msajili wa mahakama kuu ya ardhi kwa sasa Mheshimiwa Mchauru?Tuko pamoja chief
Ngoja tumalizie kitabu ili watu wapate kusome vizuri historia hii pevu
Hahahaaa umenikumbusha mbali, kuna kijiji nilipita nimekisahau jina ila nikaribu na vijiji vya Mkoma huko newala, nilioneshwa yalipokua makazi yake Mzee Malocho.Akifuatiwa na Chinga boy marehemu NASSORO WANCHILOWA MALOCHO!!!
Nimekusaidia kumuita Mohamed SaidSheikh Mohamed Said ebu jitahidi huu mwezi mtukufu wa Ramadhani ukajaribu kutenga muda kumtafuta mzee Mchauru hapo Upanga na kufanya nae mazungumzo ya kuweka sawa sehemu ya historia ya nchi; hazina kama hizi ni adimu sana.
Mkuu naomba undugu wa hiyari kwenye familia yenuChief
Watoto wa mzee ni hawa hapa.
View attachment 1430557
Kwasasa babu ana wajukuu zaidi ya 20 na vitukuu zaidi ya 10
View attachment 1430564
Ana uhusiano wowote na aliyekua hakimu wa mahakama ya Kisutu na msajili wa mahakama kuu ya ardhi kwa sasa Mheshimiwa Mchauru?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba undugu wa hiyari kwenye familia yenu
Au modds mnasemaje?
Huyo Nyakirang'ani mwanae ndio yule mwenye nyakirang'ani construction??
Wewe upo upande wa Watoto au Wajukuu?Chief
Watoto wa mzee ni hawa hapa.
View attachment 1430557
Kwasasa babu ana wajukuu zaidi ya 20 na vitukuu zaidi ya 10
View attachment 1430564
Hawatapata bahati ya kuandikwa kamwe watoto wetu watasoma habari za kina Mzee hapo usitegemee hawa jamaa wa siku hizi mtu akawekwa kwenye historia kwa lipi labda?Ameishi aisee je mkewe yupo?..sijui kizazi kijacho wajukuu zetu watawasomaje kina Humprey Polepole jamani &the co.
Hbd Babu
Ndio shida ya Mzee Saidi ana upendelep sana hua ana ka mrengo fulani ka udini hivi japo ni Mzee nnaemuheshimu na kuukubali sana uandishi wakeMzee Mohamed said sio mbaya ukamtafuta na huyu mzee akupe kabrasha zake kuhusu mapambano ya Uhuru na akina general sarakikya
Sio kila siku unaleta masimulizi ya akina shekh Nani sijui wa msikiti wa kwa mtoro.
U have to balance the stories
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shusha nyama kidogo huyu nae alikua ni nani?Hahahaaa umenikumbusha mbali, kuna kijiji nilipita nimekisahau jina ila nikaribu na vijiji vya Mkoma huko newala, nilioneshwa yalipokua makazi yake Mzee Malocho.
hahahaahahha.......kila wakati anakuja na story ya Mzee Dosa na Sykes. Inabore sanaMzee Mohamed said sio mbaya ukamtafuta na huyu mzee akupe kabrasha zake kuhusu mapambano ya Uhuru na akina general sarakikya
Sio kila siku unaleta masimulizi ya akina shekh Nani sijui wa msikiti wa kwa mtoro.
U have to balance the stories
Sent using Jamii Forums mobile app