Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Watoto wengi wa wafanyakazi wa shirecu ilikuwa ndio shule yao zilikuwa siku flan nzuri hivi na mtu yoyote alie kuwa akisoma hapo alijiona na watu walimuona mtoto wa mjiniHahaaa..buluba ilikua ni [emoji91][emoji91][emoji91]
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yako hayana ukweli wowote.Mchaga yupo tayari kumuozesha mtoto wake kabila lolote hata kumuozesha kwa ukoo wa shetani ilimradi tu anaenda kuolewa kwenye pesa...pesa imeondoa utu ndani ya wachaga.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana nikweli ila ni ngumu sana kuondoa hiyo kasumba kwenye jamii ya watanzania.Maelezo yako hayana ukweli wowote.
Acha ujinga ulitaka tujue maisha ya chui ?Inakuwaje mnafahamu maisha ya watu kiasi hiki?
Ndio maana Shinyanga iko vile hadi sasa. Watu wake wamekalia umbea umbea tu
Sio umbea Mkuu- ni kwa sababu ya udogo wake- umefanya muungiliano wa watu kuwa rahisi Sana- kwa mfano mpaka miaka ya 2000- shule za sekondari zilikuwa hazizidi tatu- jioni baada ya masomo wanafunzi wa shule hizi kwa kuchanganyikana wanakutana kwenye ma-tuituon- wengine wanatembeleana majumbani- huko wanakutana na ndugu wengine wanaosoma kwingine- ni mwendo wa mountain bike tu- ukiwa na baisikeli shy town unaimaliza kabla siku haijaisha- disco ukumbi Mkubwa ni mmoja tu- butiama au Shideco zamani- ikifika umiseta mwingiliano ndio unaongezeka zaidi- sehemu za starehe Kama baa nazo zilikuwa chache sana- ikiwemo mazingira center- michezo Ni Risasi- kwa watu wa basketball- au vijana center Ngokolo- huko kote vijana wanakutana- ni kawaida- kwa watu walioishi kwenye miji midogo kufahamiana sana- hii pia niliiona kwa watu wa MusomaInakuwaje mnafahamu maisha ya watu kiasi hiki?
Ndio maana Shinyanga iko vile hadi sasa. Watu wake wamekalia umbea umbea tu
Gaki=Gaspar Kileo.
Mangi Gasper alikuwa anafahamika kama jambazi eti anaiba magari. Sijui kama ilikuwa ni kweli. Nakumbuka alikuwa anaishi Ngokolo karibu na kwa mwana Mduni. Ila kusema kweli ilikuwa haifahamiki anafanya shughuli gani.
Huyu Gasper enzi zile alikuwa jambazi wa magari.Ila bora kaamua kujikita kwenye biashara halali.Bado anaishi Ngokolo ?Gaki=Gaspar Kileo.
Mangi huyo.
Buluba ilikuwa shule ya ma star. Nakumbuka nilisoma Mwenge primary shool. Enzi hizo tunatoka shule kulikuwa na coner flan ile barabara ya kwenda goverment kwenye junction na ile kwa kwenda Ngokolo hapo tunamwona Nteze John kachil na marafiki zake. Kuna mwalimu aliitwa Tambalu alijulikana sana 🤣Hahaaa..buluba ilikua ni [emoji91][emoji91][emoji91]
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Alokudanganya nani? Ama umasikini unakusumbua.Mapombe na makitimoto ndugu yangu..yana pukutisha kinga ya mwili...ndio mana wengi wanaugua mavisukari..so korona ni kama kumsukuma mlevi tu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa kuna kitu wachagga wamekufanyia sio buree,chuki haibadili aina ya maisha uliyonayo tena hususani kwa maendeleo binafsi ya binadamu mwenzako.Mchaga yupo tayari kumuozesha mtoto wake kabila lolote hata kumuozesha kwa ukoo wa shetani ilimradi tu anaenda kuolewa kwenye pesa...pesa imeondoa utu ndani ya wachaga.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisimama karibu sana na magufuri hiyo itakuwa ni sababu ya kusogeza kifo chakeMkurugenzi wa Kampuni ya Fresho Investment Company (1999) Ltd ya Mjini Shinyanga Fredy Shoo maarufu Fresho amefariki dunia siku ya Jumatano Julai 28,2021 wakati akiendelea kupata matibabu jijini Dar es salaam.
Mwekezaji Mzawa Fredy Shoo ndiye mmiliki wa kiwanda cha kuchambulia pamba , kiwanda cha vifungashio na kiwanda cha kuchakata mafuta ya pamba pamoja na uwanja Mpya wa Kisasa uliopewa jina la ‘Fresho Complex’ uliopo katika eneo la Ugweto kata ya Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga,Pia ni kaka mkubwa wa Hillary Shoo mwenye viwanda vya Maji ya HILL,Hill Feeds na Kiwanda cha vifungashio cha Hill...
Na mdogo wao Harold Shoo maarufu HARSHO wa Moshi mwenye kiwanda cha Vifungashio Kwa Sadala Moshi kama HARSHO Packaging maarufu kwa Mifuko ya Super Sokoni.
Mungu Ailaze Mahali Pema Peponi Roho ya Marehemu Fresho. Amina
View attachment 1875353
Pichani: Aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli akikata Utepe kuzindua Kiwanda cha Vifungashio cha FRESHO Shinyanga mwaka 2017 kushoto kwake mwenye Jaketi la Bluu bahari ni Marehemu Fredrick Shoo.
View attachment 1875371
View attachment 1875372
View attachment 1875373
Mchaga yupo tayari kumuozesha mtoto wake kabila lolote hata kumuozesha kwa ukoo wa shetani ilimradi tu anaenda kuolewa kwenye pesa...pesa imeondoa utu ndani ya wachaga.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.Acha ujinga ulitaka tujue maisha ya chui ?
Ha ha ha BulubaaSio umbea Mkuu- ni kwa sababu ya udogo wake- umefanya muungiliano wa watu kuwa rahisi Sana- kwa mfano mpaka miaka ya 2000- shule za sekondari zilikuwa hazizidi tatu- jioni baada ya masomo wanafunzi wa shule hizi kwa kuchanganyikana wanakutana kwenye ma-tuituon- wengine wanatembeleana majumbani- huko wanakutana na ndugu wengine wanaosoma kwingine- ni mwendo wa mountain bike tu- ukiwa na baisikeli shy town unaimaliza kabla siku haijaisha- disco ukumbi Mkubwa ni mmoja tu- butiama au Shideco zamani- ikifika umiseta mwingiliano ndio unaongezeka zaidi- sehemu za starehe Kama baa nazo zilikuwa chache sana- ikiwemo mazingira center- michezo Ni Risasi- kwa watu wa basketball- au vijana center Ngokolo- huko kote vijana wanakutana- ni kawaida- kwa watu walioishi kwenye miji midogo kufahamiana sana- hii pia niliiona kwa watu wa Musoma
kiashiria kwamba ulikimbia umandeKuna mtu amevaa jacket hapo?
Sure napafahamu sana Shy town.Hahaaaa..hapana bhna jamii ya watu wa shinyanga hasa wasukuma wanafahamiana sana koo nyingi zinaingiliana na ni watu wanaopenda undugu na kujumuika pamoja..ndio mana wengi wanafahamiana kwanamna moja ama nyingine..pia mji wa shinyanga sio mkubwa sana...pia mwingiliano wa wageni sio mkubwa..hivyo wengi ni wazawa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kagera baada ya kuiua KCU na KDCU ndo kagera ikadorora mpaka leo.Kuna Thesis moja ya Muingereza Mmoja alikuwa anafanya research yake ya PhD aliliandika hili.
Nyerere tumsifu tu kwa kutuunganisha Watanzania, ila mengine alitupoteza mno. Nchi ya Japan ni nchi ya mfano kwenye suala la Ushirika. Japan Ushirika ndio umeshika uchumi wa nchi yao, sisi huku tukaamua kwa makusudi kuua eti ili chama pekee ndio kiwe msingi wa maendeleo. That was a stupid move..
Pole bro ila nenda tu watoto wataendesha kampuni,mana alishaanza kufanya nao kaziUnajua nilikuwa niende Shinyanga mwezi huu nikamuombe zile truck zake nifanye nazo kazi kwenye msimu wa Korosho..
Kifo chake kimeniumiza sana..
Buluba- yaHa ha ha Bulubaa
Buluba ilikuwa shule ya ma star. Nakumbuka nilisoma Mwenge primary shool. Enzi hizo tunatoka shule kulikuwa na coner flan ile barabara ya kwenda goverment kwenye junction na ile kwa kwenda Ngokolo hapo tunamwona Nteze John kachil na marafiki zake. Kuna mwalimu aliitwa Tambalu alijulikana ww kweli mkongwe- Kama ulimshuhidia Nteze- hiyo ni miaka ya 1990- Nteze alikuwa star kweli kweli- hiyo sasa ni Buluba ya Headmaster Majenga- masela hawasomi wanashinda msituni- matokeo yakitoka- mwenye four anashangilia vibaya sana