TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

Hahaaaa..hapana bhna jamii ya watu wa shinyanga hasa wasukuma wanafahamiana sana koo nyingi zinaingiliana na ni watu wanaopenda undugu na kujumuika pamoja..ndio mana wengi wanafahamiana kwanamna moja ama nyingine..pia mji wa shinyanga sio mkubwa sana...pia mwingiliano wa wageni sio mkubwa..hivyo wengi ni wazawa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini vichaa wengi sana shytwn,kahama yani mpka unajiuliza ....
 
Hahaaaa..hapana bhna jamii ya watu wa shinyanga hasa wasukuma wanafahamiana sana koo nyingi zinaingiliana na ni watu wanaopenda undugu na kujumuika pamoja..ndio mana wengi wanafahamiana kwanamna moja ama nyingine..pia mji wa shinyanga sio mkubwa sana...pia mwingiliano wa wageni sio mkubwa..hivyo wengi ni wazawa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mueleze huyo. Wasukuma tunafahamiana sana. Kwenye misiba mtu unaishi matanda ila unakwenda msibani Mwasele. Ndo maana hata wageni mikoani kwetu wanatoboa kirahisi tu. Hatubagui. Ila kule Moshi mchaga atanunua kwenye duka la mchaga mwenzake kuliko kununua kwenye duka la msukuma lililo karibu yake.
 
Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.

Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee minzi namfahamu kumbe ilikuwa hvyo tena? Da hatari sana
 
RIP big man.

One thing for sure is you've loudly left a lesson, one can be rich without bieng famous!

To the young thirsty bloods out there, aim for the money Not the fame!!!
Inasikitisha Sana...Mapema mno..
 
Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.

Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kupiga=Kuiba..Kosa liko wapi?
 
Nilioa uchagani sijutii kabisa. Mungu alinipa mke ambaye kwa umoja wetu tuliufuta umaskini wangu na ndugu zangu. Kuna siku nilisema hapa kuwa baada ya Mimi kuoa mchagga na rafiki zangu na ndugu wakashuhdia maisha yetu mazuri mno ya kuelewana na upendo basi ndugu zangu wa kuzaliwa tumbo Moja wote tumeoa wachagga. Ndugu wa ukoo wengi wameoa wachagga. Best friends zangu nao walioa wachagga. Kifupi sote tulioa wachagga tumebadili kila kitu kimaisha na kijijini tutokapo. Wazee wangu kabla ya kufariki walituita wakaomba kuwa sote tumuite mke wangu "Mama". Hivyo mke wangu haitwi Wifi wala shemeji. Na Mimi ninamuita mama na simkumbuki siku nimemuita kwa jina lake. Mungu akubariki mama Bahati

Endeleeni kuwabeza wachagga Ila niseme tu Wachagga ni taifa lingine kabisa. Tena kwa sasa vijiji uchagani utafikiri ni Miji mikubwa. Hata maisha ni kama mjini mpaka hata mapishi Yao.
Asante kwa appréciations
Nakala kwa anti-chagas
instanbul
MoseKing
Accumen Mo
 
Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.

Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
luambo makiadi soma hii nyie ni matapeli hamna utu ...Damu yenu chafu ya kufanya umafia kwa tamaa za pesa.
 
Sasa unatumia nguvu sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]..Tupo nao walioa hawana cha maana ..

Dada angu kaolewa huko hamna cha maana ,huyo mumewe hatumi hata 10k kwa baba mkwe wake.
Ulitaka atume nini?
Fanyani KAZI hakuna pesa ya bure
 
Ulitaka atume nini?
Fanyani KAZI hakuna pesa ya bure
Kwani wapi nilitaka maendeleo kutoka kwa mwanamke 😆😆😆...Huo mjinga mvivu ndio kaletewa maendeleo na mwanamke.

Hakuna billionaire mwanamke wa huko kwenu ,nionyeshe pale kweny list ya mabillionea ....Vijana wavivu ndio mnategemea wanawake sio kwetu sisi ushamba wenu na utapeli mbaki nao huko.
 
Siyo tu, Babu Loliondo alikuwa akitibu na kutoa kinga dhidi ya Corona kwa kikombe cha jero. Aliwafanya hayo bila kuwa ba maji tiririka, sabuni, wala kuvaa kuvaa barakoa.

Mtoa tiba ya Corona babu wa Loliondo hakuhitaji hata PPEs akiwa na baraka zote za wizara ya afya na serikali, huku wakimsalimu kwa jina la JMT.

#COVID19 - Wizara ya Afya: Serikali imeanza kusambaza Chanjo ya Uviko-19 mikoa yote nchini

Tutawahoji hawa siku moja, ngoja tuchanjwe kwanza.
Yule aliandaliwa na ccm
 
Nasikia Africa magharibi waliokuwa wanapinga chanjo baada ya kuona watafuta views youtube wakiipinga. Wameanza kukimbilia chanjo baada ya kuanza kupukutika.
Kwa hiyo unaamini wanaokufa ni wasiochanja si waliochanja?!Aisee,afadhali mtu akunyime mali akupe akili.Halafu mbona Corona ilikuwa utapeli mkuu, kwa wenye akili hili liko wazi!!! Wajinga ndio waliwao.

Niseme hivi, upo mpango wa kupunguza watu duniani,na katika mpango wao wanataka kuanza kupunguza,the fool and stupid,ambao uwezo wao wa kuchambua mambo na kufikiri ni mdogo.So yeyote aliyechanja against Corona ni mlengwa,na wanakiri hili wazi.Poleni sana.The bioweapon has just started to take it's toll.Ni ajabu kwamba watu wanadanganywa kwamba waliochanja ndio wanaokufa kumbe waliochanja ndio wanaokufa.Very stupid indeed.Kama Corona is real,iko wapi leo,mbona hamwazi,mapoyoyo kabisa.
 
Back
Top Bottom