Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka ile nimemaliza form six nipo tuu home nilikuwa sikosi kipindi cha Mr Vodacom RFA. Jamaa alikiwa anajua eti sasa hv ni kweli simuoni yule Fredwaa wa RFA.
Fred who?
Watu wanaosikiliza clouds huwa nawaona kama ni wajnga flani hivi
Kipindi cha power breakfast kinahitaji watangazaji waongeaji sana na utani mwingi ndo maana hata akiwa fredwaa na babra bado utaona kuna mapungufu kwa style PB waachwe wakina hando ...fredwaa lazima abuni kipindi chake mwenyewe ili awe katika ile level yake otherwise anapotea
Kiukweli siku hizi nikiisikia sauti yake nashindwa kuitambua,na hata nikiambiwa ni yeye nimekuwa nikiamini ni mgonjwa...amepooza sana..
Huna uwezo mkubwa wa kufikri nadhan humjui vizuri fredwaa ndo maana unabwabwaja tu maneno, ukabila umekujaje hapo fredwaa mtangazaji mzuri sana sema kipindi si type yake mwanza imetoa watu wazuri mbona kina Godwin Gondwe.
jamaa alipikuwa RFA alikuwa ni moto wa kuotea mbali,nashauri wampe kipindi cha reggae au old school,hapo tutapata pure hip hop.
PB awaachie wambea wambea wakina on na Hando .that guy is obove PB bana.