Fredwaa (Fredi Fidelis) forgive, forget and move on? PB imepoaaa

Fredwaa (Fredi Fidelis) forgive, forget and move on? PB imepoaaa

Dah kka uko kama mm yani, kipnd cha asubuhi cha John karani, Jk....nakimiss mnoooooooo [emoji26]
Mara zote naitamani Kiss Fm ya 2010 kurudi nyuma

Asubuhi unaanza na John Karani JK na mwanadada fulani simkumbuki. Baada ya hapo ni Kiss Prime Time
The Big Fuse na Captain JML Joachim Munga Luguru (alikua anasema "keep on your inner ear and get terrifying"). Alikua na DJ Jeff Jerry...noma sana

Baadaye hii show alirithiwa na Ezden The Rocker,akaibadili jina na ikaitwa Bongo Collabo Mix Show. Hakuiharibu sana

Saa tano kamili tunapata News from the BBC na show inaendelea mpaka saa sita. Hapo tunapata show ya afternoon mpaka saa nane

Kuanzia saa nane ni Kiss Hot Wire na Dj Chriss...we acha kabisa

Saa kumi ni Kiss Drive. Ilikua na mtangazaji bonge moja la vocalist Dunia nzima Tobby The Splash! Huyu jamaa sijaona mfano wake mpaka sasa.

Show ya Tobby iliisha saa kumi na mbili jioni. Hapo aliingia Dee Seven na African Beat...mitamboni alikuwepo DJ Maliz..kulikua na jingle ya miluzo...fyuu fyuuuuuu...! acha kabisa Mangi. Hii ilikua ndio show pekee ya kiswahili kwa hii redio. Ilisimamisha mitaa yote na daladala zote Dodoma enzi hizo. Mji mzima iliskika sauti moja tu ya Kiss FM

Saa mbili kamili show iliisha. Aliingia mwanamama Sharbano Aboubakar "Sherry" na Kiss Comfort Zone. Ilikua hatari nyingine

Kuazia saa tatu kulikua na habari za BBC na sports kama sikosei. Saa nne kamili alichukua usukani jamaa mmoja mlavidavi aliitwa Gody B The Pilot na show iliitwa Love Zone! Acha kabisa arif...

Weekends waliungana na redio za marekani. Show ya Ryan Seacrest ya American Top 40 ilirushwa Mubashara. Kulikua pia na Weekend Top 30. Jumamosi kulikua na sebene mix za kufa mtu kuanzia saa tisa mchana

Walikua na best DJ's...Dj Maliz,DJ Devi,DJ Jeff Jerry,DJ Chriss na wengine

Kiss FM ilivyoharibika na watangazaji wote kutimkia kusikojulikana basi nilipatwa na msongo wa mawazo!

Aliyeiloga Kiss FM alaaniwe sana! Sasa hivi redio zote zinatengeneza programu sawa tu na Clouds. Hakuna ubunifu wowote utakaomfanya msikilizaji awe na choice ya program za redio tofauti. Program za asubuhi,mchana,jioni na usiku ni zilezile kwa redio zote. Ovyo kabisa!

Fredwaa pale RFA alikua na show ya tofauti sana na ubunifu wa kipekee nje ya huu mfumo wa ki-clouds. Sasa alipoenda clouds pale alikosa kabisa emotional freedom ya kufanya makeke yake! Natamani kumwona jamaa akiwa na show yake mwenyewe kwenye redio kubwa. Energy Man is very talented! Mashabiki wake tutakua naye mpaka mwisho!



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiss FM nilikuwa simkosi yule jamaa wa kuitwa Borry the Pilot. Ngeli yake utafikiri ya Wayne Rooney wa kwa malkia Elizabeth.
hahahahah redio nyingi zilizokuwa zinatangaza kingereza nyingi chalii, kwa madai hakuna wasikilizaji wengi, ki uhalisia si kweli, KISS FM, CHOICE FM, CLASSIC FM
 
Mara zote naitamani Kiss Fm ya 2010 kurudi nyuma

Asubuhi unaanza na John Karani JK na mwanadada fulani simkumbuki. Baada ya hapo ni Kiss Prime Time
The Big Fuse na Captain JML Joachim Munga Luguru (alikua anasema "keep on your inner ear and get terrifying"). Alikua na DJ Jeff Jerry...noma sana

Baadaye hii show alirithiwa na Ezden The Rocker,akaibadili jina na ikaitwa Bongo Collabo Mix Show. Hakuiharibu sana

Saa tano kamili tunapata News from the BBC na show inaendelea mpaka saa sita. Hapo tunapata show ya afternoon mpaka saa nane

Kuanzia saa nane ni Kiss Hot Wire na Dj Chriss...we acha kabisa

Saa kumi ni Kiss Drive. Ilikua na mtangazaji bonge moja la vocalist Dunia nzima Tobby The Splash! Huyu jamaa sijaona mfano wake mpaka sasa.

Show ya Tobby iliisha saa kumi na mbili jioni. Hapo aliingia Dee Seven na African Beat...mitamboni alikuwepo DJ Maliz..kulikua na jingle ya miluzo...fyuu fyuuuuuu...! acha kabisa Mangi. Hii ilikua ndio show pekee ya kiswahili kwa hii redio. Ilisimamisha mitaa yote na daladala zote Dodoma enzi hizo. Mji mzima iliskika sauti moja tu ya Kiss FM

Saa mbili kamili show iliisha. Aliingia mwanamama Sharbano Aboubakar "Sherry" na Kiss Comfort Zone. Ilikua hatari nyingine

Kuazia saa tatu kulikua na habari za BBC na sports kama sikosei. Saa nne kamili alichukua usukani jamaa mmoja mlavidavi aliitwa Gody B The Pilot na show iliitwa Love Zone! Acha kabisa arif...

Weekends waliungana na redio za marekani. Show ya Ryan Seacrest ya American Top 40 ilirushwa Mubashara. Kulikua pia na Weekend Top 30. Jumamosi kulikua na sebene mix za kufa mtu kuanzia saa tisa mchana

Walikua na best DJ's...Dj Maliz,DJ Devi,DJ Jeff Jerry,DJ Chriss na wengine

Kiss FM ilivyoharibika na watangazaji wote kutimkia kusikojulikana basi nilipatwa na msongo wa mawazo!

Aliyeiloga Kiss FM alaaniwe sana! Sasa hivi redio zote zinatengeneza programu sawa tu na Clouds. Hakuna ubunifu wowote utakaomfanya msikilizaji awe na choice ya program za redio tofauti. Program za asubuhi,mchana,jioni na usiku ni zilezile kwa redio zote. Ovyo kabisa!

Fredwaa pale RFA alikua na show ya tofauti sana na ubunifu wa kipekee nje ya huu mfumo wa ki-clouds. Sasa alipoenda clouds pale alikosa kabisa emotional freedom ya kufanya makeke yake! Natamani kumwona jamaa akiwa na show yake mwenyewe kwenye redio kubwa. Energy Man is very talented! Mashabiki wake tutakua naye mpaka mwisho!



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umesahau kitu kimoja....usiku kuanzia saa 6 wanachomeka plug za radio za mbele huko unakula majimbo ya kinyamwezi enzi hizo usiku nikila msuli ndio ilikuwa radio yangu kui tune.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Bwana Mdogo umemaliza kila neno langu

Umenigusa moyo wangu na hii ni comment bora sana kwa mtu anayejua Kiss Fm unayoiongelea

Wakati ule Dee Seven na DJ Maliz walikua kama vichaa kuna wakati wanapiga Hip Hop kipindi kizima na kuna wakati RnB tu.

Nakumbuka sana dogo Yaki, Producer Amber wamepigwa sana kwenye African Beat kwa mara ya kwanza nimemsikia Joh Makini na River Camp Soldiers wakat ule tu.

Jumapili Ryan Seacrest na Amercan Top 40 ndio mara ya kwanza nilisikia Beautiful Girl ya Sean Kingston

Kila ikianza See it started at the park
Used to chill after dark
Oh when you took my heart
That's when we fell apart

Nakumbuka ile Kiss Fm times 3!




Mara zote naitamani Kiss Fm ya 2010 kurudi nyuma

Asubuhi unaanza na John Karani JK na mwanadada fulani simkumbuki. Baada ya hapo ni Kiss Prime Time
The Big Fuse na Captain JML Joachim Munga Luguru (alikua anasema "keep on your inner ear and get terrifying"). Alikua na DJ Jeff Jerry...noma sana

Baadaye hii show alirithiwa na Ezden The Rocker,akaibadili jina na ikaitwa Bongo Collabo Mix Show. Hakuiharibu sana

Saa tano kamili tunapata News from the BBC na show inaendelea mpaka saa sita. Hapo tunapata show ya afternoon mpaka saa nane

Kuanzia saa nane ni Kiss Hot Wire na Dj Chriss...we acha kabisa

Saa kumi ni Kiss Drive. Ilikua na mtangazaji bonge moja la vocalist Dunia nzima Tobby The Splash! Huyu jamaa sijaona mfano wake mpaka sasa.

Show ya Tobby iliisha saa kumi na mbili jioni. Hapo aliingia Dee Seven na African Beat...mitamboni alikuwepo DJ Maliz..kulikua na jingle ya miluzo...fyuu fyuuuuuu...! acha kabisa Mangi. Hii ilikua ndio show pekee ya kiswahili kwa hii redio. Ilisimamisha mitaa yote na daladala zote Dodoma enzi hizo. Mji mzima iliskika sauti moja tu ya Kiss FM

Saa mbili kamili show iliisha. Aliingia mwanamama Sharbano Aboubakar "Sherry" na Kiss Comfort Zone. Ilikua hatari nyingine

Kuazia saa tatu kulikua na habari za BBC na sports kama sikosei. Saa nne kamili alichukua usukani jamaa mmoja mlavidavi aliitwa Gody B The Pilot na show iliitwa Love Zone! Acha kabisa arif...

Weekends waliungana na redio za marekani. Show ya Ryan Seacrest ya American Top 40 ilirushwa Mubashara. Kulikua pia na Weekend Top 30. Jumamosi kulikua na sebene mix za kufa mtu kuanzia saa tisa mchana

Walikua na best DJ's...Dj Maliz,DJ Devi,DJ Jeff Jerry,DJ Chriss na wengine

Kiss FM ilivyoharibika na watangazaji wote kutimkia kusikojulikana basi nilipatwa na msongo wa mawazo!

Aliyeiloga Kiss FM alaaniwe sana! Sasa hivi redio zote zinatengeneza programu sawa tu na Clouds. Hakuna ubunifu wowote utakaomfanya msikilizaji awe na choice ya program za redio tofauti. Program za asubuhi,mchana,jioni na usiku ni zilezile kwa redio zote. Ovyo kabisa!

Fredwaa pale RFA alikua na show ya tofauti sana na ubunifu wa kipekee nje ya huu mfumo wa ki-clouds. Sasa alipoenda clouds pale alikosa kabisa emotional freedom ya kufanya makeke yake! Natamani kumwona jamaa akiwa na show yake mwenyewe kwenye redio kubwa. Energy Man is very talented! Mashabiki wake tutakua naye mpaka mwisho!



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwenye post yako nilikua nasubiri uiseme American top 40....mm ilikua bora nisiskilize Radio wiki nzima ila hiki kipindi was one of my favorite radio program...nawakumbuka sana Kiss FM kwa hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
American Top40, Weekend Top30, Cocacola Open Happiness mixing show with AONE, aaarrrggghhh, kupotea kwa Kiss fm kumefanya watu waje kusikiliza redio zenye program za ajabu sana
Kiss FM nilikuwa simkosi yule jamaa wa kuitwa Borry the Pilot. Ngeli yake utafikiri ya Wayne Rooney wa kwa malkia Elizabeth.
Mkuu umesahau kitu kimoja....usiku kuanzia saa 6 wanachomeka plug za radio za mbele huko unakula majimbo ya kinyamwezi enzi hizo usiku nikila msuli ndio ilikuwa radio yangu kui tune.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapenzi wa Kiss Fm
tulikuwa wengi sana

Halafu wakati ule Kiss Fm
Lazima uipate na chenga chenga
flani hivi ilikua clear Mwanza
Dar na Arusha tu.

Kipindi cha Kiswahili Jioni tu
Jingle yao flani hivi ilikua
Inasema Best Musics.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara zote naitamani Kiss Fm ya 2010 kurudi nyuma

Asubuhi unaanza na John Karani JK na mwanadada fulani simkumbuki. Baada ya hapo ni Kiss Prime Time
The Big Fuse na Captain JML Joachim Munga Luguru (alikua anasema "keep on your inner ear and get terrifying"). Alikua na DJ Jeff Jerry...noma sana

Baadaye hii show alirithiwa na Ezden The Rocker,akaibadili jina na ikaitwa Bongo Collabo Mix Show. Hakuiharibu sana

Saa tano kamili tunapata News from the BBC na show inaendelea mpaka saa sita. Hapo tunapata show ya afternoon mpaka saa nane

Kuanzia saa nane ni Kiss Hot Wire na Dj Chriss...we acha kabisa

Saa kumi ni Kiss Drive. Ilikua na mtangazaji bonge moja la vocalist Dunia nzima Tobby The Splash! Huyu jamaa sijaona mfano wake mpaka sasa.

Show ya Tobby iliisha saa kumi na mbili jioni. Hapo aliingia Dee Seven na African Beat...mitamboni alikuwepo DJ Maliz..kulikua na jingle ya miluzo...fyuu fyuuuuuu...! acha kabisa Mangi. Hii ilikua ndio show pekee ya kiswahili kwa hii redio. Ilisimamisha mitaa yote na daladala zote Dodoma enzi hizo. Mji mzima iliskika sauti moja tu ya Kiss FM

Saa mbili kamili show iliisha. Aliingia mwanamama Sharbano Aboubakar "Sherry" na Kiss Comfort Zone. Ilikua hatari nyingine

Kuazia saa tatu kulikua na habari za BBC na sports kama sikosei. Saa nne kamili alichukua usukani jamaa mmoja mlavidavi aliitwa Gody B The Pilot na show iliitwa Love Zone! Acha kabisa arif...

Weekends waliungana na redio za marekani. Show ya Ryan Seacrest ya American Top 40 ilirushwa Mubashara. Kulikua pia na Weekend Top 30. Jumamosi kulikua na sebene mix za kufa mtu kuanzia saa tisa mchana

Walikua na best DJ's...Dj Maliz,DJ Devi,DJ Jeff Jerry,DJ Chriss na wengine

Kiss FM ilivyoharibika na watangazaji wote kutimkia kusikojulikana basi nilipatwa na msongo wa mawazo!

Aliyeiloga Kiss FM alaaniwe sana! Sasa hivi redio zote zinatengeneza programu sawa tu na Clouds. Hakuna ubunifu wowote utakaomfanya msikilizaji awe na choice ya program za redio tofauti. Program za asubuhi,mchana,jioni na usiku ni zilezile kwa redio zote. Ovyo kabisa!

Fredwaa pale RFA alikua na show ya tofauti sana na ubunifu wa kipekee nje ya huu mfumo wa ki-clouds. Sasa alipoenda clouds pale alikosa kabisa emotional freedom ya kufanya makeke yake! Natamani kumwona jamaa akiwa na show yake mwenyewe kwenye redio kubwa. Energy Man is very talented! Mashabiki wake tutakua naye mpaka mwisho!



Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaah Week end Top Thirty na Hollywood Hamilton umenikumbusha mbali sana 2000's.
 
Wewe Bwana Mdogo umemaliza kila neno langu

Umenigusa moyo wangu na hii ni comment bora sana kwa mtu anayejua Kiss Fm unayoiongelea

Wakati ule Dee Seven na DJ Maliz walikua kama vichaa kuna wakati wanapiga Hip Hop kipindi kizima na kuna wakati RnB tu.

Nakumbuka sana dogo Yaki, Producer Amber wamepigwa sana kwenye African Beat kwa mara ya kwanza nimemsikia Joh Makini na River Camp Soldiers wakat ule tu.

Jumapili Ryan Seacrest na Amercan Top 40 ndio mara ya kwanza nilisikia Beautiful Girl ya Sean Kingston

Kila ikianza See it started at the park
Used to chill after dark
Oh when you took my heart
That's when we fell apart

Nakumbuka ile Kiss Fm times 3!






Sent using Jamii Forums mobile app


1586296531372.png


Ryan John Seacrest is an American radio personality, television host and producer. Seacrest is known for hosting the competition show American Idol, the syndicated countdown program American Top 40, and iHeartMedia's KIIS-FM morning radio show On Air with Ryan Seacrest. Wikipedia

Born: December 24, 1974 (age 45 years), Dunwoody, Georgia, United States
Height: 1.71 m
Movies: Shrek Forever After
Education: Dunwoody High School (1992), University of Georgia, MORE
Quotes
Failure? Scared to death of it.

Trust me, if I were gay I'd be getting more action than I'm getting now.

I hope I can help guys come out and say, ’All right, dude, I got a manicure... and I liked it.’
 
Wewe Bwana Mdogo umemaliza kila neno langu

Umenigusa moyo wangu na hii ni comment bora sana kwa mtu anayejua Kiss Fm unayoiongelea

Wakati ule Dee Seven na DJ Maliz walikua kama vichaa kuna wakati wanapiga Hip Hop kipindi kizima na kuna wakati RnB tu.

Nakumbuka sana dogo Yaki, Producer Amber wamepigwa sana kwenye African Beat kwa mara ya kwanza nimemsikia Joh Makini na River Camp Soldiers wakat ule tu.

Jumapili Ryan Seacrest na Amercan Top 40 ndio mara ya kwanza nilisikia Beautiful Girl ya Sean Kingston

Kila ikianza See it started at the park
Used to chill after dark
Oh when you took my heart
That's when we fell apart

Nakumbuka ile Kiss Fm times 3!






Sent using Jamii Forums mobile app
yaki alitrend sana kipindi kile, na Producer AMBA kupitia Kiss fm na RFA ndio alijulikana
 
Wapenzi wa Kiss Fm
tulikuwa wengi sana

Halafu wakati ule Kiss Fm
Lazima uipate na chenga chenga
flani hivi ilikua clear Mwanza
Dar na Arusha tu.

Kipindi cha Kiswahili Jioni tu
Jingle yao flani hivi ilikua
Inasema Best Musics.......

Sent using Jamii Forums mobile app
kunqneno sijui kama nalianfika kwa usahihi
Public the Best Music

kiss nowdays imepwaya sana kila zama na zama sake aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo wanajua kujifanya wako advanced eti hawasikilizi redio wakati habari wanazo. Watanzania bwana nayeuliza hivyo kama kapata muda wa kucomment kwenye post yako anakosaje muda wa kusikiliza redio ambayo unaiwasha tu halafu unaendelea na mambo yako.

Yani ni rahisi kusikiliza redio kuliko kucomment JF
@Nafaka ule mchongo ulinichinjilia baharini mkuu maana No reply kabisa mkuu.

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
@Nafaka ule mchongo ulinichinjilia baharini mkuu maana No reply kabisa mkuu.

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Mkuu nitakucheck kesho mkuu niko bsy sana sana ila kesho nitakuchek then tuone tunafanyaje usijali
 
Back
Top Bottom