Fredwaa (Fredi Fidelis) forgive, forget and move on? PB imepoaaa

Sijawahi muelewa alipoendaga Clouds, sijui nani alimshauri aondoke radio free na kuacha upweke kwenye "SINDANO TANO ZA MOTO" na Ile jumapili kwenye " JE, HUU NI UUNGWANA ? "
Sahara Media wameondoka wengi tu, shida ya pale ni maslahi ndugu, wala usimshangae kuondoka, kabla ya hapo alikuwa Times way back
 

Namkubali sana huyu mangi...ila tangu PB alivyo ondoka PJ na hando...na mimi nilihama nawo na kwenda E-fm...mpaka leo nipo huku...
Kule siku hizi hamna hamsha hamsha kama zamani wamekuwa double standard...kama wamepangiwa nini cha kuongea
 
Namkubali sana huyu mangi...ila tangu PB alivyo ondoka PJ na hando...na mimi nilihama nawo na kwenda E-fm...mpaka leo nipo huku...
Kule siku hizi hamna hamsha hamsha kama zamani wamekuwa double standard...kama wamepangiwa nini cha kuongea
Ile combo ilikuwa safi sana, Hando, PJ, Fredwaa, Barbra, hawa wote wakongwe, kipindi kilinoga alipoongezeka Masoud, ilivoondoka PJ tu hari ya hewa ikachange, SIZA sio mtangazaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…