Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
jamaa wana swaga za kipekee sanaa,unamkuta anaangalia mpira wa kibongo kwny screen ila hakosi kuwa kicm cha tecno sikion akimskiliza kashasha
Hahahahaha sawa na wale wanaotazama mpira harafu muda huo huo wanasikiliza kwenye simuKama jamaa zangu huk kanda ya titi wao na radio n ka radi na mvua,kuna jamaa angu nlimtimbia geto bila taarifa,cha ajabu nlikuta kafungulia jembe fm kweny sabwoofer then akawa na kicm cha tecno kaweka sikion,yan ile kabla cjaanza mcheka ilibid aanze kujicheka mwenyew.
kwa zama hizi ukitaka vitu serious vinavotangazwa kwenye redio utapotea, vitu serious viko CNN, BBC na AljazeeraTatizo sio kusikiliza radio Bali u nasikiliza nini?
Vipindi vya sasa hivi na watangazaji wake wamekuwa watu wa utani mwingi na mzaha mpaka wanaboa.
Leo hii wachekeshaji ndio WATANGAZAJI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wananikera sanaaa aysee,nashangaa wanakuja kwny banda kufanya nn kama interest yao n kusikilizahahahahaha sawa na wale wanaotazama mpira harafu muda huo huo wanasikiliza kwenye simu
ahsante sana ndugu mtangazajiUongozi wa mawingu umekusikia..utalifanyia kazi ombi lako ndugu msikilizaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
na haitokuja kupitwa na wakatiMkuu kuna teknolojia hazijipitwa na wakati redio and email na ya uwasilishaji utabadirikal lakini redio ni njia moja rahisi sana ya broadcasting.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kusikiliza hiki kipindi mda mrefu sana nadhani toka enzi za kina babra! Nikawa mpenzi wa TV hasa kipindi cha 360! Nikaja kukitema rasmi alivyoingia yule mbeba mikoba wa Betina!
Bora ya Sam na yule Dada lakini haka kajamaa kengine kakanifanya nianze kufaidi vizuri ka smart TV kangu kwa kuangalia mambo mengine!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndo alikua fredwaa,anapendezea kipindi kikiwa cha peke yake