alikuwepo dada anaitwa ridhisha sagati,sijui kapotelea wapi,na Glory wa show time.kwa maoni yangu hakuna watangazaji wa kike wanaoweza kama hao.wengi wa sasa ni tuvingereza twingi na kubana puaSahara media imetoa watangazaji wengi sana wazuri, ni kituo cha mafunzo pale
mishahara midogo watu wanakimbia wanaamua kujiongezaalikuwepo dada anaitwa ridhisha sagati,sijui kapotelea wapi,na Glory wa show time.kwa maoni yangu hakuna watangazaji wa kike wanaoweza kama hao.wengi wa sasa ni tuvingereza twingi na kubana pua
Wewe wa wapi??!radio ndio habari ya mjini sasa hivi
apewe kipindi gani..? labda cha reggeFredwaa mpe kipindi peke yake. Hivi vipindi vya kuchangia mada anapooza sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muuza Duka, Genge, Shoe shine, Kahawa, Mlinzi, Fundi Cherehani, Dereva Tax, Boda boda, Saloon, Car Wash kusikiliza redio huleta hamu ya kufanya kaziKwa mtu anaefanya kaz ya duka ya kukaa unafikir hasikiliz redio anasikiliza kuna baadhi ya kaz zinaruhusu kusikiliza redio
Ndo hela zilipo unadhani wanapiga kujifurahisha?REDIO MATANGAZO KIBAO
Mkataba wake utakuwa umeishaView attachment 1376753
Fred Fidelis aka Fredwaa
Kipindi cha Powe breakfast kimepwaya sana kama sio kupoa, kwa muda wa alfajiri kuanzia saa11 mpaka 12, amsha amsha za Fredwaa hazipo, Utabiri wa Hari ya hewa hamna, Paza Sauti pamoja na Ripoti ya Bonge ya alfajiri hakuna.
Pia zile reggae za alfajiri siku ya Ijumaa hakuna, sasa huyu jamaa ni likizo tu au kuna lingine nyuma ya pazia, imekuwa muda sana hayupo kwenye Kipindi, Inaleta shaka flani kama jamaa kapiga chini hivi, post yake kwenye akaunti ya Instagram siku mbili zilizopita inanipa mashaka, inasema: "FORGIVE, FORGET and move on, everyone got history in their life".
Pia kituo kiko kwenye kampeni ya siku ya mwanamke, na karibu asilimia 90 ya staff wameweka picha ambayo inatangaza kampeni hiyo ila yeye sijaona hiyo kitu.
PM Mr Shafii Dauda fanyeni mpango huyu jamaa arudi, tunajua kwenye riziki yoyote hapakosi husda kama ni hivyo basi weka sawa, kama ni likizo basi wasikilizaji wa kipindi wajuzwe, tumemiss sauti, jingle, drops za Mr Energy Man, hakuna kama yeye hapo.
Ila watu wengi siku hizi redio hawasikilizi bro , Mimi Ni mmoja wapo , nakumbuka enzi nilikuwa karibu Sana na redio , VOA, external rtd, rtd, BBC , Deutsch welle etcWabongo wanajua kujifanya wako advanced eti hawasikilizi redio wakati habari wanazo. Watanzania bwana nayeuliza hivyo kama kapata muda wa kucomment kwenye post yako anakosaje muda wa kusikiliza redio ambayo unaiwasha tu halafu unaendelea na mambo yako.
Yani ni rahisi kusikiliza redio kuliko kucomment JF
Khee..! Kujiunga na redio nyingine ndo kunakufanya uone redio iliyojiunga ndo ya maana..!?? SASA KWANINI USISIKILIZE HIYO REDIO WANAYOJIUNGA NAYO..???Tatizo kuna upuuzi mwingi sana kwa redio siku hizi. Wakati fulani 103.3 classic fm walikuwa na utaratibu wa kujiunga na BBC Channel , yaani kwa kweli nilikuwa nafarijika. Pia Kiss fm huwa wananikosha wanapojiunga na VOA news.Ila siku hizi redio nasikiliza vipindi vya michezo tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we jamaa n nyoko!Aanzishe redio yake??!!..wewe unadhani kufungua kituo cha redio ni kama kumfungulia mchepuko saluni sio??
Aanzishe redio yake??!!..wewe unadhani kufungua kituo cha redio ni kama kumfungulia mchepuko saluni sio??