Fredwaa (Fredi Fidelis) forgive, forget and move on? PB imepoaaa

Fredwaa (Fredi Fidelis) forgive, forget and move on? PB imepoaaa

dah....huyu jamaa naikubali sana style yake ya utangazaji...haichoshi
View attachment 1376753
Fred Fidelis aka Fredwaa

Kipindi cha Powe breakfast kimepwaya sana kama sio kupoa, kwa muda wa alfajiri kuanzia saa11 mpaka 12, amsha amsha za Fredwaa hazipo, Utabiri wa Hari ya hewa hamna, Paza Sauti pamoja na Ripoti ya Bonge ya alfajiri hakuna.

Pia zile reggae za alfajiri siku ya Ijumaa hakuna, sasa huyu jamaa ni likizo tu au kuna lingine nyuma ya pazia, imekuwa muda sana hayupo kwenye Kipindi, Inaleta shaka flani kama jamaa kapiga chini hivi, post yake kwenye akaunti ya Instagram siku mbili zilizopita inanipa mashaka, inasema: "FORGIVE, FORGET and move on, everyone got history in their life".

Pia kituo kiko kwenye kampeni ya siku ya mwanamke, na karibu asilimia 90 ya staff wameweka picha ambayo inatangaza kampeni hiyo ila yeye sijaona hiyo kitu.

PM Mr Shafii Dauda fanyeni mpango huyu jamaa arudi, tunajua kwenye riziki yoyote hapakosi husda kama ni hivyo basi weka sawa, kama ni likizo basi wasikilizaji wa kipindi wajuzwe, tumemiss sauti, jingle, drops za Mr Energy Man, hakuna kama yeye hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka leo bado unasikiliza redio Tena Clouds fm
View attachment 1376753
Fred Fidelis aka Fredwaa

Kipindi cha Powe breakfast kimepwaya sana kama sio kupoa, kwa muda wa alfajiri kuanzia saa11 mpaka 12, amsha amsha za Fredwaa hazipo, Utabiri wa Hari ya hewa hamna, Paza Sauti pamoja na Ripoti ya Bonge ya alfajiri hakuna.

Pia zile reggae za alfajiri siku ya Ijumaa hakuna, sasa huyu jamaa ni likizo tu au kuna lingine nyuma ya pazia, imekuwa muda sana hayupo kwenye Kipindi, Inaleta shaka flani kama jamaa kapiga chini hivi, post yake kwenye akaunti ya Instagram siku mbili zilizopita inanipa mashaka, inasema: "FORGIVE, FORGET and move on, everyone got history in their life".

Pia kituo kiko kwenye kampeni ya siku ya mwanamke, na karibu asilimia 90 ya staff wameweka picha ambayo inatangaza kampeni hiyo ila yeye sijaona hiyo kitu.

PM Mr Shafii Dauda fanyeni mpango huyu jamaa arudi, tunajua kwenye riziki yoyote hapakosi husda kama ni hivyo basi weka sawa, kama ni likizo basi wasikilizaji wa kipindi wajuzwe, tumemiss sauti, jingle, drops za Mr Energy Man, hakuna kama yeye hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawashangaa sana watu wanaoshobokea watangazaji wa redio. Hawa watu wanakuwaga na public appearances tena sababu ya sauti zao tu ambazo haziendani kabisa na real private personae zao. Hamna watu feki and immoral kama hawa jamaa.
 
kabisa, haieleweki ni kipindi cha commedy au vichekesho au kero kwa wasikilizaji, yule afanye vitu vingine mule ndani, Amplifaya imekuja kuharibika sana aisee
Meena Ally mpemba angebakia alikokuwa alikuwa anavutia kule alipokuja Amplifaya kaharibu kabisa. Hizo stori 10 hazivutii tena imekuwa shaghala baghala aheri angebakia Millard Ayo tu hata muziki wao umekuwa na Playlists mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meena Ally mpemba angebakia alikokuwa alikuwa anavutia kule alipokuja Amplifaya kaharibu kabisa. Hizo stori 10 hazivutii tena imekuwa shaghala baghala aheri angebakia Millard Ayo tu hata muziki wao umekuwa na Playlists mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona kote tu alikuwa anazingua, kipindi cha Uswazi ndio kabisa, NIAMBIE ndio ilikuwa mahara pake
 
hiki nakiona siku baada ya siku, moja ya kipindi ambacho kimekuwa cha kawaida sana siku hizi ni Amplifaya
Kukua Kwa social network na kuongezeka Kwa watumiaji wa smartphone ndo kumeiua amplifaya mana vtu vingi jamaa ana Google , sasa watu wanavipata fasta tuu bila kumsubir yeye tofaut na zaman, kama website yake ndo kabisaaa .... Ni kama zaman watu wakisikia Nyerere anahutubia wote wanajikusanya kwenye redio ya kijiji ...na walimwaminia kuwa anajua vitu vingi kumbe jamaa naye alikuwa na access ya news from abroad af anakuja kuwaringishia wabongo
 
Back
Top Bottom