TANZIA Fredy Sam, mmiliki wa Rose Garden Dodoma afariki Dunia

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Tajiri ambaye pia ni Mmiliki wa Rose Garden Dodoma na ukumbi wa sherehe wa Kikimanj Ndugu Fredy Sam amefariki Dunia jana usiku akiwa anapatiwa matibabu kwenye hospitali ya Aghakan Jijini Dar es salaam.

Bwana Fredy alifikishwa hospitalini hapo wiki tatu zilizopita akiwa anasumbuliwa na pressure iliyopelekea kupata stroke.

Mipango ya mazishi inafanyika Dodoma, Dar na Moshi
 
Tajiri ambaye pia ni Mmiliki wa Rose Garden Dodoma na ukumbi wa sherehe wa Kikimanj Ndugu Fredy Sam amefariki Dunia jana usiku akiwa anapatiwa matibabu kwenye hospitali ya Aghakan Jijini Dar es salaam...
Poleni sana, kila nafsi itaonja mauti!!! Hiyo Rose Garden na Ukumbi wa Kikimanj upo sehemu gani huko Dodoma?
 
Sam simjui kweli, ungeweka picha.

Rest well Mr. Sam.
 
Nimeudhuria hapo Rose Garden kwenye icho kiwanja.
 
Mimi nimejifunza kwake kitu kizuri, akitaka kuwekeza sehemu anatanguliza sana kupanda miti. Kwa Dodoma ilivyo kame, maeneo yake yalikuwa yanavutia sana kwa mimea. Imagine watu wangeiga hii idea, Dom ingebadilika kiasi chake. RIP.
 
Poleni bandugu. Kila nafc itaonja umauti.

Naona matajiri na watu maarufu wanachomoka tu, masikini na wakawaida 2siowajua hali ikoje mazee huko, c itakuwa wengi mnoo.
 
Miaka ilee Rose garden ya Dar kulikua na barmaid mmoja Safi sana. Huyu Dada alikua na uwezo wa kukutongozea mwanamke yoyote mteja wa pale Rose garden. Hata Kama anajamaa ataingizwa kwenye geji mpaka alainike. Pesa yako tu. Sharti tu huyo umtakae aje Rose garden garden.
Yule Dada amekula sana hela watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…