Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kapicha mkuu tuone hiyo miti.Mimi nimejifunza kwake kitu kizuri, akitaka kuwekeza sehemu anatanguliza sana kupanda miti. Kwa Dodoma ilivyo kame, maeneo yake yalikuwa yanavutia sana kwa mimea. Imagine watu wangeiga hii idea, Dom ingebadilika kiasi chake. RIP.
RIP.