TANZIA Fredy Sam, mmiliki wa Rose Garden Dodoma afariki Dunia

TANZIA Fredy Sam, mmiliki wa Rose Garden Dodoma afariki Dunia

Mimi nimejifunza kwake kitu kizuri, akitaka kuwekeza sehemu anatanguliza sana kupanda miti. Kwa Dodoma ilivyo kame, maeneo yake yalikuwa yanavutia sana kwa mimea. Imagine watu wangeiga hii idea, Dom ingebadilika kiasi chake. RIP.
Kapicha mkuu tuone hiyo miti.
RIP.
 
Wafrika tukipata pesa tunaacha mazoezi..
Safari fupi ya kutembea unatumia gari.
Kula sana, vinywaji zaidi, mademu unawapanga foleni nk.
Hii inaweza kuwa miongoni mwa sababu. Haswa eneo la ulaji na ukosefu wa mazoezi sahihi.
 
Tajiri ambaye pia ni Mmiliki wa Rose Garden Dodoma na ukumbi wa sherehe wa Kikimanj Ndugu Fredy Sam amefariki Dunia jana usiku akiwa anapatiwa matibabu kwenye hospitali ya Aghakan Jijini Dar es salaam.

Bwana Fredy alifikishwa hospitalini hapo wiki tatu zilizopita akiwa anasumbuliwa na pressure iliyopelekea kupata stroke.

Mipango ya mazishi inafanyika Dodoma, Dar na Moshi
Apumzike kwa amani
 
NJIA YETU MOJA.

Kwenye kila Changamoto pana funzo... Tutubu na tumrudie Muumba wetu.

Tubu leo maana mimi na wewe sote tu wachafu mbele za Mungu.
 
Utajiri wa kiafrika mara nyingi unaambatana sana na pressure, kisukari, shambulio la moyo nk.

Sijui tunakosea wapi.
Rest well mr. business man.
Wabongo wengi wakipata pesa wanakula hovyo sana.
 
Back
Top Bottom