Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kapicha mkuu tuone hiyo miti.Mimi nimejifunza kwake kitu kizuri, akitaka kuwekeza sehemu anatanguliza sana kupanda miti. Kwa Dodoma ilivyo kame, maeneo yake yalikuwa yanavutia sana kwa mimea. Imagine watu wangeiga hii idea, Dom ingebadilika kiasi chake. RIP.
Uko hivyo au unawasemea wengine?Wafrika tukipata pesa tunaacha mazoezi..
Safari fupi ya kutembea unatumia gari.
Kula sana, vinywaji zaidi, mademu unawapanga foleni nk.
wengi Wana madeni benki bila kusahau ushirikina.Utajiri wa kiafrika mara nyingi unaambatana sana na pressure, kisukari, shambulio la moyo nk.
Sijui tunakosea wapi.
Rest well mr. business man.
Hii inaweza kuwa miongoni mwa sababu. Haswa eneo la ulaji na ukosefu wa mazoezi sahihi.Wafrika tukipata pesa tunaacha mazoezi..
Safari fupi ya kutembea unatumia gari.
Kula sana, vinywaji zaidi, mademu unawapanga foleni nk.
PoleniRip Anko fredy. Vita umepiganaView attachment 1895237
Apumzike kwa amaniTajiri ambaye pia ni Mmiliki wa Rose Garden Dodoma na ukumbi wa sherehe wa Kikimanj Ndugu Fredy Sam amefariki Dunia jana usiku akiwa anapatiwa matibabu kwenye hospitali ya Aghakan Jijini Dar es salaam.
Bwana Fredy alifikishwa hospitalini hapo wiki tatu zilizopita akiwa anasumbuliwa na pressure iliyopelekea kupata stroke.
Mipango ya mazishi inafanyika Dodoma, Dar na Moshi
Naona imesahaulika sana siku hizi, wakati ndio inayotoa ushirikiano mkubwa kwenye Umoja wa kuwauwa Wananchi, UKUWA kwa kifupi, ikishirikiana na UVIKO, na VIHARUSI, bila kumsahau MALARIA.Bila kusahau Ngoma
Alimaanisha ukumbi wa Landmark uliopo jirani na Kilimani Club hapa Dodoma.Poleni sana, kila nafsi itaonja mauti!!! Hiyo Rose Garden na Ukumbi wa Kikimanj upo sehemu gani huko Dodoma?
Madeni bank halafu iwe umri umeenda akili inashindwa kuhimili mchaka mchaka wa mambo ya mikopo, lazima stroke ikunyemelee.wengi Wana madeni benki bila kusahau ushirikina.
Sunset ya wapi?Daaah Apumzike Kwa Amani ....
#Msalimie Gery kimei mzee wa sunset
Dahh Yan so sadWachaga wanaisha jamani
Sunset imevunjwa ilikua Dom hapo Pembeni ya Stendi ya zamani ni eneo la Reli.Sunset ya wapi?
Wana supu tamu sana. Umeandika kama x wangu. ...Rose garden ipo area C, wapo fresh sana kwenye menu.
Boss kubwa apumzike kwa amani.
Duu!Wafrika tukipata pesa tunaacha mazoezi..
Safari fupi ya kutembea unatumia gari.
Kula sana, vinywaji zaidi, mademu unawapanga foleni nk.
Wabongo wengi wakipata pesa wanakula hovyo sana.Utajiri wa kiafrika mara nyingi unaambatana sana na pressure, kisukari, shambulio la moyo nk.
Sijui tunakosea wapi.
Rest well mr. business man.