free internet :GURU INTERNET TUNNEL KWA KILA MEMBER WA JAMII FORUMS............

free internet :GURU INTERNET TUNNEL KWA KILA MEMBER WA JAMII FORUMS............

Kwa kumsaidia Kicheko, mkuu paje,hata mimi napingana nawe kwamba proxifier haiwezi kufanya kazi bila ya Guru kwa sababu nimejaribu kutafuta uhalali wa kauli ya DEVUQUARTER-DEVUKOTA kuwa hiyo software inaweza kutumika kivingine wakati wewe mletaji wa hiyo soft humu Jamvini unapinga hilo.
Ingawa sijajua DEVUQUARTER-DEVUKOTA anaitumia vipi ila kwa upande wangu nimeijaribu kwa proxy inapiga mzigo vizuri tu.
Ebu bofya hapo chini ujiridhishe.

https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/441323-proxifier-kwa-wale-wazee-wa-vichaka.html

hiyo ni kujichosha tu kaka, halafu ukishakufanya settings zako kama hizo, ingia yahoo au hotmail usome email zako.
website zinazohitaji javascript zote hazikubali...... nearly useless[/QUOTE]

Hacha kujibalaguza yakhe au siyo wewe uliyesema proxifier Bila Tunnel Guru haiendi?
Dogo keshakuvua taulo sasa upo uchi hapo tena mbele ya Mamamkwe teh teh teeh.
Hayo mengine sijui kujichosha sijui nini vile yametokea wapi tena mwanakwetu?[/QUOTE]

kweli jukwaa limevamiwa! nanona limegeuka uwanja wa mipasho, kila mtu anajifanya anjuwa, acheni hizoo. wajuzi wajukwaa hili wanajulikana na wana heshima yao mbele ya wataalam wenzao. wale newbie ndio mnaleta mipasho na zarau, acheni hizo sio sehemu yake hapa.
 
hiyo ni kujichosha tu kaka, halafu ukishakufanya settings zako kama hizo, ingia yahoo au hotmail usome email zako.
website zinazohitaji javascript zote hazikubali...... nearly useless

Hacha kujibalaguza yakhe au siyo wewe uliyesema proxifier Bila Tunnel Guru haiendi?
Dogo keshakuvua taulo sasa upo uchi hapo tena mbele ya Mamamkwe teh teh teeh.
Hayo mengine sijui kujichosha sijui nini vile yametokea wapi tena mwanakwetu?[/QUOTE]

kweli jukwaa limevamiwa! nanona limegeuka uwanja wa mipasho, kila mtu anajifanya anjuwa, acheni hizoo. wajuzi wajukwaa hili wanajulikana na wana heshima yao mbele ya wataalam wenzao. wale newbie ndio mnaleta mipasho na zarau, acheni hizo sio sehemu yake hapa.[/QUOTE]

Wewe ni kibaraka tu yaani kulambishwa tu hiyo Guru ndo wajiona umefika? Paje wenu ni mbishi wacha tumshushue bwana maana yeye yupo mstari wa mbele kutuponda sioe madogu
 
Last edited by a moderator:
Hacha kujibalaguza yakhe au siyo wewe uliyesema proxifier Bila Tunnel Guru haiendi?
Dogo keshakuvua taulo sasa upo uchi hapo tena mbele ya Mamamkwe teh teh teeh.
Hayo mengine sijui kujichosha sijui nini vile yametokea wapi tena mwanakwetu?

kweli jukwaa limevamiwa! nanona limegeuka uwanja wa mipasho, kila mtu anajifanya anjuwa, acheni hizoo. wajuzi wajukwaa hili wanajulikana na wana heshima yao mbele ya wataalam wenzao. wale newbie ndio mnaleta mipasho na zarau, acheni hizo sio sehemu yake hapa.[/QUOTE]

Wewe ni kibaraka tu yaani kulambishwa tu hiyo Guru ndo wajiona umefika? Paje wenu ni mbishi wacha tumshushue bwana maana yeye yupo mstari wa mbele kutuponda sioe madogu[/QUOTE]

fanya yaishe tusije kupigwa BAN....
 
[/QUOTE]

Hacha kujibalaguza yakhe au siyo wewe uliyesema proxifier Bila Tunnel Guru haiendi?
Dogo keshakuvua taulo sasa upo uchi hapo tena mbele ya Mamamkwe teh teh teeh.
Hayo mengine sijui kujichosha sijui nini vile yametokea wapi tena mwanakwetu?[/QUOTE]
ah mpaka weye unakuwa pocho?? au weekend imekuchosha kichwa kaka??. haiendi kwa maana inakuwa ni baskeli ya miti.....ni sawa na kutumia proxy manually...... huwezi kuingia hotmail au yahoo kucheki email.....useless
hiyo nimeipost tokea April mwaka jana, kwa saivi haifanyi kazi kiviile
 
kweli jukwaa limevamiwa! nanona limegeuka uwanja wa mipasho, kila mtu anajifanya anjuwa, acheni hizoo. wajuzi wajukwaa hili wanajulikana na wana heshima yao mbele ya wataalam wenzao. wale newbie ndio mnaleta mipasho na zarau, acheni hizo sio sehemu yake hapa.

Wewe ni kibaraka tu yaani kulambishwa tu hiyo Guru ndo wajiona umefika? Paje wenu ni mbishi wacha tumshushue bwana maana yeye yupo mstari wa mbele kutuponda sioe madogu[/QUOTE]

fanya yaishe tusije kupigwa BAN....[/QUOTE]

Hiyo ndio mipasho inayokataliwa jukwaa hili, kama unapingana na mtu toa hoja zako kistaarabu, humu watu hawazarauliani, wanaelimishana, kama mnazani mnjuwa mnajidanganya hajuwi, tulieni mpate kujifunza.

Sent from my GT-S7562 using Tapatalk 2
 
Hiyo ndio mipasho inayokataliwa jukwaa hili, kama unapingana na mtu toa hoja zako kistaarabu, humu watu hawazarauliani, wanaelimishana, kama mnazani mnjuwa mnajidanganya hajuwi, tulieni mpate kujifunza.

Sent from my GT-S7562 using Tapatalk 2

mbona yashaisha we ndo unaamka..tumeoneshana kwa lugha nzuri lkn wa2 wanayakuza 2...lkn usiyaendeleze nakusihi sababu yameisha
 
wakuu kam kuna m2 kabahatika kudownload fifa 2013..vp kwenu zimekubali bila matatizo yoyote? me nimerun instaler
imeniletea msg hii "The system cannot find the file specified" duuuh ngoja nitest na hii pes

PES na FIFA 2013 ninavyojua mm zina >6GB lkn kuja kupata direct download link ndo kuna mchezo...mshutue Paje akuchekie nyingine

Hakikosa basi ni PM tuchangie dau ya site fulani afu tuchukue direct links ambazo zina survive within 5days ...mm nili mdowload dogo rasi wangu anapenda sana ...lkn tumetoboka kibingwa
 
Last edited by a moderator:
link not working.

man! it works.
mie nimetoka kulishusha muda si mrefu.
wewe tumia proxifier. ndio inawahi kulidaka kabla connection haijakuwa reset.
mara nyingi fail likizidi 1GB ni bora uligonge kwa proxifier
 
link ya pes inawork vzur,, nalishusha now... its about 5gb
 
Khabari yako mkuu! Hebu naomba unitupie na mie hayo makitu ndugu yangu tufurahi pamoja
 
Back
Top Bottom