Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah...wala siyo ishu kivilee...haya mambo yapo toka kitambo sana...tuliopita kwa Bibi tuliyafanya...Ni kwasababu ya furaha tu ikichangiwa na u foolish age...umri huo wengi hawajui maisha....wape mwaka mmoja tu...waonyeshe walichokifanya ... hata wao watashangaa...waacheni wafurahie...Ni wakati wao[emoji23][emoji23][emoji23]Hizo ni picha tu mm nimecheki video za hao wadada ni shida tunawakat mgum sana huko tunakoelekea
Ipandishe hapa mkuuHizo ni picha tu mm nimecheki video za hao wadada ni shida tunawakat mgum sana huko tunakoelekea
Tofauti ni kuwa picha tulikuwa tunatumia Yashica!Hayo mambo tuliyafanya tangu enzi za mwalimu. Sijaona Cha kushangaa hapo!
Hizo ni picha tu mm nimecheki video za hao wadada ni shida tunawakat mgum sana huko tunakoelekea
Hayo mambo tuliyafanya tangu enzi za mwalimu. Sijaona Cha kushangaa hapo!
Haswa!!!Dah...wala siyo ishu kivilee...haya mambo yapo toka kitambo sana...tuliopita kwa Bibi tuliyafanya...Ni kwasababu ya furaha tu ikichangiwa na u foolish age...umri huo wengi hawajui maisha....wape mwaka mmoja tu...waonyeshe walichokifanya ... hata wao watashangaa...waacheni wafurahie...Ni wakati wao[emoji23][emoji23][emoji23]
Kipindi cha nyerere ulikuwepo mkuu!Hayo mambo tuliyafanya tangu enzi za mwalimu. Sijaona Cha kushangaa hapo!