Free movement (Kulala bar, kwenda club, kudanga)

Free movement (Kulala bar, kwenda club, kudanga)

Ni utoto tuu ila unafanana na uhalisia
 
Dah...wala siyo ishu kivilee...haya mambo yapo toka kitambo sana...tuliopita kwa Bibi tuliyafanya...Ni kwasababu ya furaha tu ikichangiwa na u foolish age...umri huo wengi hawajui maisha....wape mwaka mmoja tu...waonyeshe walichokifanya ... hata wao watashangaa...waacheni wafurahie...Ni wakati wao[emoji23][emoji23][emoji23]
unaakili sana walahi
 
Umeongea vyema sana, watu husahau tulipotoka nina uhakika wengi wanaoponda huku tukienda mabweni waliyosoma kama hayajapakwa rangi utakuta charter zao. CHIPETA, CHICO BOYS, BACTERIA, DULLAH BOY, MACHIZI, DAS EFX, NO SMOKING, MASELA, ETC[emoji23] [emoji23] [emoji23] kila jambo na wakati wao. Cha muhimu wasijeruhi mtu wala kuharibu mali ya shule.
Dah...Kuna bweni moja shule fulani hivi..nilipata kibarua Cha kupiga rangi...nikaona chata " Mshana Jr kapita"
 
Kwa tuliofundishwa youths psychology hawa watoto wako sawa kabisa wala hawajakosea. Kuna kitu kinaitwa mind buble wengi hupata wanapovuka hatua nyingine ambayo wanafikiri ni bora zaidi. Kuna Furaha fulani ya ukichaa hasa mkiwa mob. Wiki moja baadae akiwa home mwambie arudie hawezi. Wengi humu tumepita hapo.
 
Ndio maana wazo la kushusha ule umri kutoka 18 hadi 15 linakuja
 
Mambo yakawaida sana kwa furaha yakumaliza jamani elimu ya sekondari sio mchezo kabisa ni kama gereza vile
 
Hao ni just the tip of an iceberg, malezi ya watoto waliozaliwa miaka ya Y2K yamekuwa sio mazuri maadili hayawi installed from tender age, kumkanya mtoto wa mtu mzazi wake anakujia juu haya sasa mzazi vuna ulichopanda, mwanao yupo eager kulala bar na kudanga
 
Hao ni just the tip of an iceberg, malezi ya watoto waliozaliwa miaka ya Y2K yamekuwa sio mazuri maadili hayawi installed from tender age, kumkanya mtoto wa mtu mzazi wake anakujia juu haya sasa mzazi vuna ulichopanda, mwanao yupo eager kulala bar na kudanga
Siku hizi mtoto wa jirani akikosea ukijipa jukumu la kumuadhibu wazazi wake wanakujia juu... Ila kwangu mie siangalii hilo anachezea tu bakora kama anafanya ujinga.
 
Miaka 20 ijayo itabidi tukakope Madaktari Cuba waje kutusaidia
No watoto wanakuwa na kasi ya wakati
Hiyo miaka 20 unayosemea fani ambayo Mtu kaipata kwa miaka yake
Chuoni kwa sasa utakuta tu mtu from no where anaihandle luliko wewe msomi wa kipindi hichi teknolojia itakuwa imetembea mbali sana

Na hii ni Mara moja tu inatokea wanafurahi na kuwapa kumbukumbu zaidi
Katika nchi zilizoendelea wanafunzi wana balaa Mara 100 kuliko hao na bado tunawategemea katika kila kitu
 
Hongera kwa kurudi duniani kwa sasa ukiwa fara kama mimi, maana hatuzidiani lolote (uliekuwa Hitler na mimi niliekuwa teja[emoji16][emoji16][emoji16]
Dah....bosi...kabla ya kurudi kama Teja.....ulikuwa nani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom