Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usjali. Utaratibu ni kwamba ikifa tz unaenda kuzaliwa afganistan.Watakaozaliwa mwaka 4k, kwa kweli watajionea mengi
#najuta kuwahi kuzaliwa mimi[emoji52]
mbona sasa sikumbuki kabla sijawa mimi, nilikuwa nani huko nyuma!Usjali. Utaratibu ni kwamba ikifa tz unaenda kuzaliwa afganistan.
Ulikuwa teja Brazil mkuu [emoji41]mbona sasa sikumbuki kabla sijawa mimi, nilikuwa nani huko nyuma!
Ahsante teja mwenzangu kwa kunijua kuwa tulikuwa wote huko Brazil.[emoji854][emoji854]Ulikuwa teja Brazil mkuu [emoji41]
Hapana. Mimi nilikuwa Hitler ujerumani.Ahsante teja mwenzangu kwa kunijua kuwa tulikuwa wote huko Brazil.[emoji854][emoji854]
Hizo ni picha tu mm nimecheki video za hao wadada ni shida tunawakat mgum sana huko tunakoelekea
Umeongea vyema sana, watu husahau tulipotoka nina uhakika wengi wanaoponda huku tukienda mabweni waliyosoma kama hayajapakwa rangi utakuta charter zao. CHIPETA, CHICO BOYS, BACTERIA, DULLAH BOY, MACHIZI, DAS EFX, NO SMOKING, MASELA, ETC[emoji23] [emoji23] [emoji23] kila jambo na wakati wao. Cha muhimu wasijeruhi mtu wala kuharibu mali ya shule.Dah...wala siyo ishu kivilee...haya mambo yapo toka kitambo sana...tuliopita kwa Bibi tuliyafanya...Ni kwasababu ya furaha tu ikichangiwa na u foolish age...umri huo wengi hawajui maisha....wape mwaka mmoja tu...waonyeshe walichokifanya ... hata wao watashangaa...waacheni wafurahie...Ni wakati wao[emoji23][emoji23][emoji23]
Tulifanya hivyo tulivyomaliza class 7, wenyewe tuliita LY - Last year. Ilikuwa mwaka 1993, na tulivyomaliza form four tulifanya lkn hatukuandika matusiHivyoo? Cookie Smokey
Kumbe mmeanza kudanga enzi zz mwalimuHayo mambo tuliyafanya tangu enzi za mwalimu. Sijaona Cha kushangaa hapo!