Free Sabaya

Mtoa mada kama una hoja za kumtetea Sabaya peleka Mahakamani. Otherwise na wewe ni MPUMBAVU kama Sabaya.

Unayemtetea ni MPUMBAVU ambaye pamoja na kujua kuwa Afya ya Magufuli ni kama gari ya mkaa lakini akajidanganya kufanya maovu ya kupora fedha, kubaka wanawake, kukata mapanga watu na kutapeli kwa kisingizio cha kufuta upinzani wilaya ya Hai. Kwani nani alimuambia kuwa na UPINZANI wilayani ni JINAI?
 
Safi sana. Hakuna jambo jema kama mtu MPUMBAVU kumuambia point blank kuwa wewe ni MPUMBAVU maana ndio njia sahihi ya kumtoa kwenye upumbavu.
Sasa ni wakati Stuxnet na wengine tufanye mapinduzi ya kutokomeza upumbavu kwa kuwapa za uso wapumbavu hadi wajitambue
 
Huo uvimbe wamfanyie upasuaji lakini wammalizie kwenye dawa za usingizi asirudi. Amfuate laana mwenzie magufuri huko motoni kuzimu.

Huyo ni kuzidisha dawa tu haliamki tena manina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…