Free Sabaya

Free Sabaya

Wakili asiyejitambua
JamiiForums1601347157.jpg
 
Wana CCM wenzako hawako na wewe,
Loser.
 
Wana CCM wenzako hawako na wewe,
Loser.
Halafu wewe ukisha kunywa mbege usilewe akili lewa mwili..msijioni nyie ndio wenye haki..walevi wa mbege nyie...mimi sinywagi mbege nakunywa damu.
 
Binafsi kama mwanaccm hichi kitendo anachofanyiwa Sabaya kinaniuma sana na nikitendo cha udhalilishaji kwa vijana wanaopigania chama kwa kujitoa muhanga.

Sabaya katika uongozi wake amekuta wilaya ya Hai inawakwepa kodi kibao, kiasi kwamba wilaya ile ilikuwa karibia ya 200 katika swala la ukusanyaji kodi ila mzalendo amepambana mpaka hiyo wilaya imekuwa namba 4 kitaifa.

Swali la kujiuliza kama alikuwa jambazi na mla rushwa basi angepokea(rushwa) hongo kwa wale wakwepa kodi na Hai ingendelea kuzorota katika swala la ukusanyaji wa kodi. Uwongo watuhuma hizi tunaanza kureasons hapa?

Sabaya amekuta wilaya ya Hai ikiwa chini ya ngome ya upinzani yaani chadema. Ila amepambana mpaka wilaya yote ya Hai ikarudi CCM. Hii ni ishara ya kuwa mwanachama mzalendo wa chama chake angekuwa yupo kimaslahi angepokea virushwa vya hao wapinzani.

Utawala huu umeingia kama haitambui juhudi na jitahada Sabaya aliyofanyia taifa lake na chama chake. Watesi wake nikimaanisha wale wakwepa kodi na wapinzani wake wamepewa fimbo ya kumhadhibiti huyu mzalendo wa nchi, pia watesi wake wanaonekani kumzidi mtu fulani uwezo wa kupambanua mambo.

Kitendo anachofanyiwa huyu mwanaCCM mwenzetu ni ishara ya udhaifu kwa utawala wa CCM uliopo na viongozi waliotokana na CCM. Hili swala sio lakunyamazia hata kidogo.

Naamini ipo siku atatokea mtawala ndani ya CCM mzalendo na ataweza kutambua viongozi wazalendo wanaopigania nchi.

Sabaya hana kosa hata mahakama kuu imedhibitisha hilo, kuna uhuni nyuma yake na siasa chafu na visasi vya kishetani.. Na kama anafanyiwa hivyo kwa lengo la kuwaadhibu viongozi wakatili na wachafu basi tungeona utitiri wa viongozi wakigikishwa mahakamani ila wapo mtaani wanakula bata....

Nashangaa awamu hii wapinzani wanauwezo wa kuishawishi utawala ukavuma upande wao kwa maslahi yao na sio kwa maslahi ya taifa.

Leo mtu amekutwa na tuhuma za kujibu dhidi ya ugaidi yupo huru, kisa wapinzani wameweza kushawishi utawala na utawala ukalegeza msimamo.

CCM tuache chuki binafsi dhidi ya wenzetu tuungane na tuache kuwadhalilisha wenzetu. Kama mwenzetu amekosa kuna kamati ya maadili afikishwe huko apewe maonyo na adhabu.
Umeongea vizuri,ila hata kama ni kumsafisha haitakuwa kirahisi kihivyo,kuna mahali inawezekana kabisa ilibidi aende kinyume cha sheria ili kutimiza azma flani,lazima kufanyike uchunguzi wa kutosha ili kuweza kumnasua,vitu vingine kama ni kweli hakuwa na makosa Mungu yupo haki itatendeka tu...
 
Vijana wa CCM ni mazuzu sana, hii Nchi jumla ya wilaya hazifiki 150 Halafu eti Hai ilikuwa ya 200 kimapato?
Nyie mashoga wa Sabaya tulieni mtanyooka tu,huyo jambaz mwenzenu amebaki mifupa tu Na bado tunaye
 
Vijana wa CCM ni mazuzu sana, hii Nchi jumla ya wilaya hazifiki 150 Halafu eti Hai ilikuwa ya 200 kimapato?
Nyie mashoga wa Sabaya tulieni mtanyooka tu,huyo jambaz mwenzenu amebaki mifupa tu Na bado tunaye
Free Sabaya
 
Binafsi kama mwanaccm hichi kitendo anachofanyiwa Sabaya kinaniuma sana na nikitendo cha udhalilishaji kwa vijana wanaopigania chama kwa kujitoa muhanga.

Sabaya katika uongozi wake amekuta wilaya ya Hai inawakwepa kodi kibao, kiasi kwamba wilaya ile ilikuwa karibia ya 200 katika swala la ukusanyaji kodi ila mzalendo amepambana mpaka hiyo wilaya imekuwa namba 4 kitaifa.

Swali la kujiuliza kama alikuwa jambazi na mla rushwa basi angepokea(rushwa) hongo kwa wale wakwepa kodi na Hai ingendelea kuzorota katika swala la ukusanyaji wa kodi. Uwongo watuhuma hizi tunaanza kureasons hapa?

Sabaya amekuta wilaya ya Hai ikiwa chini ya ngome ya upinzani yaani chadema. Ila amepambana mpaka wilaya yote ya Hai ikarudi CCM. Hii ni ishara ya kuwa mwanachama mzalendo wa chama chake angekuwa yupo kimaslahi angepokea virushwa vya hao wapinzani.

Utawala huu umeingia kama haitambui juhudi na jitahada Sabaya aliyofanyia taifa lake na chama chake. Watesi wake nikimaanisha wale wakwepa kodi na wapinzani wake wamepewa fimbo ya kumhadhibiti huyu mzalendo wa nchi, pia watesi wake wanaonekani kumzidi mtu fulani uwezo wa kupambanua mambo.

Kitendo anachofanyiwa huyu mwanaCCM mwenzetu ni ishara ya udhaifu kwa utawala wa CCM uliopo na viongozi waliotokana na CCM. Hili swala sio lakunyamazia hata kidogo.

Naamini ipo siku atatokea mtawala ndani ya CCM mzalendo na ataweza kutambua viongozi wazalendo wanaopigania nchi.

Sabaya hana kosa hata mahakama kuu imedhibitisha hilo, kuna uhuni nyuma yake na siasa chafu na visasi vya kishetani.. Na kama anafanyiwa hivyo kwa lengo la kuwaadhibu viongozi wakatili na wachafu basi tungeona utitiri wa viongozi wakigikishwa mahakamani ila wapo mtaani wanakula bata....

Nashangaa awamu hii wapinzani wanauwezo wa kuishawishi utawala ukavuma upande wao kwa maslahi yao na sio kwa maslahi ya taifa.

Leo mtu amekutwa na tuhuma za kujibu dhidi ya ugaidi yupo huru, kisa wapinzani wameweza kushawishi utawala na utawala ukalegeza msimamo.

CCM tuache chuki binafsi dhidi ya wenzetu tuungane na tuache kuwadhalilisha wenzetu. Kama mwenzetu amekosa kuna kamati ya maadili afikishwe huko apewe maonyo na adhabu.
7ya jambazi abaki jela kulipia uovu wake.
Wewe utakuwa mshirika mwenzie wa ujambazi.
 
Mzalendo anayekata masikio wabaya wake na wengine kuwagongelea misumari miguuni! Bora walinyonge tu.
 
Sabaya anatolewa kama sadaka ya urafiki baina ya watawala na wapinzani.

Hivyo wataendelea kumtesa mpaka nafsi zao ziridhike.
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Siku hizi majambazi mnajiita wazalendo?
Pumba vu
 
Acha hawamu ipite hii Ila wasisahahu ipo siku wazalendo tutakaa pale juu na kamba itanyooshwa hadi msoga
Wazalendo ndio wapo ikulu sio majambazi mliojiita wazalendo.
Alafu msidhani mtatuletea wehu ikulu tena. Never again.
 
Sasa akiachiwa arudi uraiani, wale wenye hasira nae si watajichukulia sheria mkononi na kulipa visasi? Si bora serikali imfiche jela au mahakamani? Kumbuka tofauti na viongozi wastaafu, serikali haina uwezo wa kumlinda Sabaya masaa 24 huko uraiani. Wanaomtafuta watampata tuu.
haya maoni yanafikirisha sana, kuna watu wanaomtafuta? je hili lilishawahi kuwekwa wazi ama mhusika kukiri kutishiwa maisha yake? tukiachana hilo, tukirudi kwa mhusika suala lake lipo kwenye vyombo vya sheria hivyo tuiachie mahakama itende haki kulingana na miongozo iliyopo
 
Wewe unapaswa kukamatwa nionyeshe sehemu inasema kupigania chama ni kuteka na kupiga Watanzania Wenzio acheni ujinga nyie watu...CCM sio chama cha kutesa watu...Chama Hiki ni kizuri nyie manyang'au ndio mmeharibu CCM ionekane chama cha majitu makatiri sio kweli...
 
Back
Top Bottom