Unamuombea ili aipate hiyo degree au ?Kuna fununu kuwa mtajwa hapo juu kutunukiwa degree ya Udaktari wa Heshima chuo kikuu kilichopo nchini Marekani mwezi February 2024.
Kama ni kweli tumuombee.
Tumpate Dr. Freeman Aikael Mbowe!!
Tunashukuru mkuu kwa kutugumbua macho sisi vipofu wa LumumbaMbowe kusoma PPE( political, Philosophy and Economics)
Mbowe kasoma University of Cumbria MBA in Leadership and sustainability
Na sasa hivi Anasoma International Relation Yuko mwakawa Pili Open University
Kwahyo sioni Tatizo akipewa Hiyo Honorarity
Ubongo aliwekewa JiweBado kuwekewa ubongo wa bandia tu [emoji23]
Mkuu usijali kwa Hilo maana kwenye msafara wa Mamba na kenge wapoDr Freeman Aikael Mbowe! Itapendeza Kwa kweli ni haki yake sio sawa na udakitari aliopewa yule Bibi!
Wachana na wavuta bange wa LumumbaSijaelewa mkuu umemaanisha nini?
Mwenyekiti wenu alisha nyakuliwaDr. Dj , Mwenyekiti wa milele, Al haji Abubakari Mboye.
Naona siku hizi akili imeanza kujurudia baada ya kuwa lindoni kwa takriban mwaka lkn malipo yako Bado unazinguliwa na uvccmApewe tu kwani wengine walizo nazo hazitusaidii kitu!
Moja ya kutolea jasho na nyingine ni ya kimemo[emoji1787]safi sana bumper to bumper …
Tangu lini chadema nao kutambua hivyo viphd kama hivyo??Kuna fununu kuwa mtajwa hapo juu kutunukiwa degree ya Udaktari wa Heshima chuo kikuu kilichopo nchini Marekani mwezi February 2024.
Kama ni kweli tumuombee.
Tumpate Dr. Freeman Aikael Mbowe!!
Tangu lini na nyie mumeanza kutambua hizo digiriiii ambazo mtu hajaingia darasaniiNaona siku hizi akili imeanza kujurudia baada ya kuwa lindoni kwa takriban mwaka lkn malipo yako Bado unazinguliwa na uvccm
Nakuona mzee wa kujilipua ukiwa njiani kwenda kinondoni makaburini.Macho kumchuzi,mkono kuubwabwa huwa wanatunukiwa phd!!
Nyinyi mna ofisi huko mtaa wa Ufipa.Nakuona mzee wa kujilipua ukiwa njiani kwenda kinondoni makaburini.