Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we ulishawahi kuwa walau kiongozi wa nyumba kumi za CCM ?Mwanasiasa kuwa mcheza disco, wakati wote anafikiria style za kucheza, ataongoza Saa ngapi? Chagua disco au siasa.
Hili ni pigo kwa mapunga ya ccm na wafuas wao.Hii ni Taarifa tunayoipeleka kwa Umma wa Watanzania na nchi Jirani , kwamba yule Mwenyekiti mpya wa DUA , ambaye pia ni mwamba wa siasa za kisasa na nguzo ya amani Nchini Tanzania , Freeman Mbowe , Tayari amekwishaanza Majukumu yake mapya .
View attachment 2413237View attachment 2413238View attachment 2413239
Freeman Mbowe , anayejulikana pia kama Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar , kwa sasa anatajwa kwamba ndiye Mtanzania anayeheshimiwa zaidi na Jumuiya ya Kimataifa .
Hebu tumia muda wako kidogo ili kumtakia heri na fanaka .
zito kibaraka wa ccm atabaki kwenda ujeruman mpaka azeekeNi jambo jema
Zitto Kabwe hajakuwepo?
Go Goo Gooo.Hii ni Taarifa tunayoipeleka kwa Umma wa Watanzania na nchi Jirani , kwamba yule Mwenyekiti mpya wa DUA , ambaye pia ni mwamba wa siasa za kisasa na nguzo ya amani Nchini Tanzania , Freeman Mbowe , Tayari amekwishaanza Majukumu yake mapya .
View attachment 2413237View attachment 2413238View attachment 2413239
Freeman Mbowe , anayejulikana pia kama Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar , kwa sasa anatajwa kwamba ndiye Mtanzania anayeheshimiwa zaidi na Jumuiya ya Kimataifa .
Hebu tumia muda wako kidogo ili kumtakia heri na fanaka .
Hivi ni kweli alipata ZERO 4m6??Hii ni Taarifa tunayoipeleka kwa Umma wa Watanzania na nchi Jirani , kwamba yule Mwenyekiti mpya wa DUA , ambaye pia ni mwamba wa siasa za kisasa na nguzo ya amani Nchini Tanzania , Freeman Mbowe , Tayari amekwishaanza Majukumu yake mapya .
View attachment 2413237View attachment 2413238View attachment 2413239
Freeman Mbowe , anayejulikana pia kama Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar , kwa sasa anatajwa kwamba ndiye Mtanzania anayeheshimiwa zaidi na Jumuiya ya Kimataifa .
Hebu tumia muda wako kidogo ili kumtakia heri na fanaka .
Huyo nyuma ya Mbowe ni Munishi? Huwa ana siasa za Kistaarabu sana naona ameiva kwenye kitengo Cha international Relations. Natamani siku afikiriwe kwenye post kubwa zaidi kwenye chama ana siasa za kiungwana sana kama alivyokua Silinde kabla hajaasi.Hii ni Taarifa tunayoipeleka kwa Umma wa Watanzania na nchi Jirani , kwamba yule Mwenyekiti mpya wa DUA , ambaye pia ni mwamba wa siasa za kisasa na nguzo ya amani Nchini Tanzania , Freeman Mbowe , Tayari amekwishaanza Majukumu yake mapya .
View attachment 2413237View attachment 2413238View attachment 2413239
Freeman Mbowe , anayejulikana pia kama Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar , kwa sasa anatajwa kwamba ndiye Mtanzania anayeheshimiwa zaidi na Jumuiya ya Kimataifa .
Hebu tumia muda wako kidogo ili kumtakia heri na fanaka .
Roho inakuumaNi jambo jema
Zitto Kabwe hajakuwepo?
Wewe ni Mpuuzi tuMwanasiasa kuwa mcheza disco, wakati wote anafikiria style za kucheza, ataongoza Saa ngapi? Chagua disco au siasa.
Ngoja tulifikishe ngazi za juuHuyo nyuma ya Mbowe ni Munishi? Huwa ana siasa za Kistaarabu sana naona ameiva kwenye kitengo Cha international Relations. Natamani siku afikiriwe kwenye post kubwa zaidi kwenye chama ana siasa za kiungwana sana kama alivyokua Silinde kabla hajaasi.
Hmmm amsimamie Pk au M7 au vipiKusimamia Demokrasia na haki za binadamu kanda ya Africa
Kwani niko Ufipa st?Roho inakuuma
Tofauti nyingine uliyoisahau ni hii , SISI TUNAILIPA CHADEMA HELA , Mataga wanalipwa , bando wanawekewa na kuna tetesi kwamba vile vishikwambi vya sensa wamegawiwaMule mule, mkishika dola hamtakuwa tofauti na Mataga a.k.a praise team! Tofauti iliyopo sasa ni wao kuwa na dola na nyie kuwa wapinzani otherwise ni copy and paste.
Tulia huyo jamaa ndo atajulikana sasa kwamba ni naniUmeandika kama vile kila mtu anamjua huyo jamaa. Tueleze ndio nani na DUA ni nini tafadhali