Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unaota. Unafuata nyao za Lucas etiKuna kila dalili za Nchi hii kukombolewa haraka sana.
Nyayo ninazofuata mimi ni za Mungu tuUnaota. Unafuata nyao za Lucas eti
Taarifa ikufikie Popote Ulipo kwamba , Mwamba wa siasa za Africa , Freeman Mbowe ameingia Ngorongoro kwa kishindo na kuhutubia Maelfu ya Wananchi
Akihutubia Umati mkubwa wa Wananchi, Mbowe amedai kwamba Chadema iko Tayari kuhakikisha kwamba Haki za Jamii ya kimasai zinalindwa kwa gharama yoyote ile na kwamba ardhi yao itabaki kuwa yao hata iweje .
Huku akishangiliwa kwa nguvu amesema kwamba suala la kuwaswaga Wamasai kama mifugo litapingwa kwa nguvu zote
Kwa vile maneno matupu hayavunji mfupa basi jionee mwenyewe
View attachment 3024048View attachment 3024049View attachment 3024050View attachment 3024051View attachment 3024052
Kuna kila dalili za Nchi hii kukombolewa haraka sana.
KabisaHakika ; Chadema ni mpango wa Mungu .
Mungu yupi? Huo ni mpango wa Mbowe na mkwewe Mtei.Kabisa
Laigwanan Mbowe. Subai labalaiTaarifa ikufikie Popote Ulipo kwamba , Mwamba wa siasa za Africa , Freeman Mbowe ameingia Ngorongoro kwa kishindo na kuhutubia Maelfu ya Wananchi
Akihutubia Umati mkubwa wa Wananchi, Mbowe amedai kwamba Chadema iko Tayari kuhakikisha kwamba Haki za Jamii ya kimasai zinalindwa kwa gharama yoyote ile na kwamba ardhi yao itabaki kuwa yao hata iweje .
Huku akishangiliwa kwa nguvu amesema kwamba suala la kuwaswaga Wamasai kama mifugo litapingwa kwa nguvu zote
Kwa vile maneno matupu hayavunji mfupa basi jionee mwenyewe
View attachment 3024048View attachment 3024049View attachment 3024050View attachment 3024051View attachment 3024052
Kuna kila dalili za Nchi hii kukombolewa haraka sana.
Kama macho huna haliwezi kuwa kosa languhuo ndio umati mkubwa
Huwa nasikitika sana na kuogopa nikisikia hivi.....yaani kweli anatajwa Mungu?!!!!!! Dah!!!!Chadema ni mpango wa mungu
kamera zipige kwa juu kama si kitukoKama macho huna haliwezi kuwa kosa langu
Tunaomba picha kwa juu!Taarifa ikufikie Popote Ulipo kwamba , Mwamba wa siasa za Africa , Freeman Mbowe ameingia Ngorongoro kwa kishindo na kuhutubia Maelfu ya Wananchi
Akihutubia Umati mkubwa wa Wananchi, Mbowe amedai kwamba Chadema iko Tayari kuhakikisha kwamba Haki za Jamii ya kimasai zinalindwa kwa gharama yoyote ile na kwamba ardhi yao itabaki kuwa yao hata iweje .
Huku akishangiliwa kwa nguvu amesema kwamba suala la kuwaswaga Wamasai kama mifugo litapingwa kwa nguvu zote
Kwa vile maneno matupu hayavunji mfupa basi jionee mwenyewe
View attachment 3024048View attachment 3024049View attachment 3024050View attachment 3024051View attachment 3024052
Kuna kila dalili za Nchi hii kukombolewa haraka sana.
Hatuna muda na Wajingakamera zipige kwa juu kama si kituko
Ili iweje?Tunaomba picha kwa juu!
Nijione nimetokea!Ili iweje?