Freeman Mbowe aingia Ngorongoro na kupokelewa Kishujaa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie Popote Ulipo kwamba , Mwamba wa siasa za Africa , Freeman Mbowe ameingia Ngorongoro kwa kishindo na kuhutubia Maelfu ya Wananchi

Akihutubia Umati mkubwa wa Wananchi, Mbowe amedai kwamba Chadema iko Tayari kuhakikisha kwamba Haki za Jamii ya kimasai zinalindwa kwa gharama yoyote ile na kwamba ardhi yao itabaki kuwa yao hata iweje .

Huku akishangiliwa kwa nguvu amesema kwamba suala la kuwaswaga Wamasai kama mifugo litapingwa kwa nguvu zote

Kwa vile maneno matupu hayavunji mfupa basi jionee mwenyewe



Kuna kila dalili za Nchi hii kukombolewa haraka sana.
 
Hakika ; Chadema ni mpango wa Mungu .
 
Ukiwa mjinga mjinga huwezi kuona 'ubunifu' wa kiwango cha lami wa hizo picha......kama una ka 'D' angalau kamoja ka f4 utakuwa umenielewa.
 
Laigwanan Mbowe. Subai labalai
 
Jamani kuuliza sio ujinga; Kwanini mwenyekiti wa CCM Taifa hafanyi mikutano ya chama,Tena kwa kutumia helicopter?
 
Tunaomba picha kwa juu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…