Freeman Mbowe aingia Ngorongoro na kupokelewa Kishujaa

Freeman Mbowe aingia Ngorongoro na kupokelewa Kishujaa

Hamna kitu kama hiko,Ina maana Chadema kinafanya shughuli zake bila vikao vya kamati kuu?
 
..Ole Sendeka alipita huko majuzi na alipokelewa kishujaa.
Ole Sendeka ni CCM maslahi tu.

Lakini kwa kinachoendelea Ngorongoro na umasaini kwa ujumla wake, for sure kabisa hata wabunge wa CCM wote hawakubaliani nacho!

Huko kuna vita ya kimaslahi zaidi na nakuhakikishia wazi kuwa, hakuna mwana CCM huru anayeunga mkono unyang'anyi wa ardhi wa Ngorongoro, Loliondo na maeneo yote ya umasaini.

Laiti kama CHADEMA wataitumia vyema weakness point hii, wanaweza kuiua na kuifuta kabisa CCM huko bila kujali nguvu ya kifedha waliyonayo kwa kuwatumia hao wakoloni wa kiaraabu wanaoshirikiana nao kupora rasrimali ardhi na mali iliyomo ktk ardhi hiyo!
 
Ole Sendeka ni CCM maslahi tu.

Lakini kwa kinachoendelea Ngorongoro na umasaini kwa ujumla wake, for sure kabisa hata wabunge wa CCM wote hawakubaliani nacho!

Huko kuna vita ya kimaslahi zaidi na nakuhakikishia wazi kuwa, hakuna mwana CCM huru anayeunga mkono unyang'anyi wa ardhi wa Ngorongoro, Loliondo na maeneo yote ya umasaini.

Laiti kama CHADEMA wataitumia vyema weakness point hii, wanaweza kuiua na kuifuta kabisa CCM huko bila kujali nguvu ya kifedha waliyonayo kwa kuwatumia hao wakoloni wa kiaraabu wanaoshirikiana nao kupora rasrimali ardhi na mali iliyomo ktk ardhi hiyo!
Walionirushia Risasi hawakutumwa na serikali ya Samia- Sendeka
 
Wataishia kupokelewa kishujaa lakini siku ya kura wanapata 10 out of milion 40
Taarifa ikufikie Popote Ulipo kwamba , Mwamba wa siasa za Africa , Freeman Mbowe ameingia Ngorongoro kwa kishindo na kuhutubia Maelfu ya Wananchi

Akihutubia Umati mkubwa wa Wananchi, Mbowe amedai kwamba Chadema iko Tayari kuhakikisha kwamba Haki za Jamii ya kimasai zinalindwa kwa gharama yoyote ile na kwamba ardhi yao itabaki kuwa yao hata iweje .

Huku akishangiliwa kwa nguvu amesema kwamba suala la kuwaswaga Wamasai kama mifugo litapingwa kwa nguvu zote

Kwa vile maneno matupu hayavunji mfupa basi jionee mwenyewe

View attachment 3024048View attachment 3024049View attachment 3024050View attachment 3024051View attachment 3024052

Kuna kila dalili za Nchi hii kukombolewa haraka sana.
 
Back
Top Bottom