Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukuulize weweHamna kitu kama hiko,Ina maana Chadema kinafanya shughuli zake bila vikao vya kamati kuu?
Zingatia hapo kwenye neno munguHuwa nasikitika sana na kuogopa nikisikia hivi.....yaani kweli anatajwa Mungu?!!!!!! Dah!!!!
Umati ni ninihuo ndio umati mkubwa
Hicho ninachokiona ndio hisia kali? Ila ww jamaa bhana 😂
crowdUmati ni nini
Na badocrowd
Tambua basi hata watu 20 ni umaticrowd
sio mkubwaTambua basi hata watu 20 ni umati
bado kitu gani mnachezea ruzuku tuh jengeni walau ofisi ya kuelewekaNa bado
Nguzo pekee ya kujifariji au sio ???😂😂Matusi na uchawi ndio nguzo pekee ya Masikini
Ndoa yako imeharibiwa? Pole sana. Walifanyaje hao CHADEMA mpaka wakaiharibu ndoa yako?wangeacha dhambi za kuharibu ndoa za watu na kuwapa viti maalum wangetoboa!
Ole Sendeka ni CCM maslahi tu...Ole Sendeka alipita huko majuzi na alipokelewa kishujaa.
Walionirushia Risasi hawakutumwa na serikali ya Samia- SendekaOle Sendeka ni CCM maslahi tu.
Lakini kwa kinachoendelea Ngorongoro na umasaini kwa ujumla wake, for sure kabisa hata wabunge wa CCM wote hawakubaliani nacho!
Huko kuna vita ya kimaslahi zaidi na nakuhakikishia wazi kuwa, hakuna mwana CCM huru anayeunga mkono unyang'anyi wa ardhi wa Ngorongoro, Loliondo na maeneo yote ya umasaini.
Laiti kama CHADEMA wataitumia vyema weakness point hii, wanaweza kuiua na kuifuta kabisa CCM huko bila kujali nguvu ya kifedha waliyonayo kwa kuwatumia hao wakoloni wa kiaraabu wanaoshirikiana nao kupora rasrimali ardhi na mali iliyomo ktk ardhi hiyo!
Taarifa ikufikie Popote Ulipo kwamba , Mwamba wa siasa za Africa , Freeman Mbowe ameingia Ngorongoro kwa kishindo na kuhutubia Maelfu ya Wananchi
Akihutubia Umati mkubwa wa Wananchi, Mbowe amedai kwamba Chadema iko Tayari kuhakikisha kwamba Haki za Jamii ya kimasai zinalindwa kwa gharama yoyote ile na kwamba ardhi yao itabaki kuwa yao hata iweje .
Huku akishangiliwa kwa nguvu amesema kwamba suala la kuwaswaga Wamasai kama mifugo litapingwa kwa nguvu zote
Kwa vile maneno matupu hayavunji mfupa basi jionee mwenyewe
View attachment 3024048View attachment 3024049View attachment 3024050View attachment 3024051View attachment 3024052
Kuna kila dalili za Nchi hii kukombolewa haraka sana.
wa ukombozimbowe ni shujaa wa nini
Masikini wengi wa akili wanawaza kama weweWataishia kupokelewa kishujaa lakini siku ya kura wanapata 10 out of milion 40