peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Tetesi: - Mishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana
Meli ya container 4000 imeshatia nanga. Wasubiri kapu litafurika na kumwagika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wabariki wafanyakazi wa TanzaniaKuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
Taarifa kutoka TUCTA Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30. Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema...www.jamiiforums.com
Jipige mwenyeweNijione nimetokea!
Hiyo ndyo sera tunazo itaji syo unakuta sehemu nynge mama mama tunaitaji sera yenye nguvu kama inz haki ya mwana nch kweny taifa lake chadema ndyo chama cha kuwaskiliza wananch syo uko kila sku ugaibun ❤️ DemocrasiaTaarifa ikufikie Popote Ulipo kwamba , Mwamba wa siasa za Africa , Freeman Mbowe ameingia Ngorongoro kwa kishindo na kuhutubia Maelfu ya Wananchi
Akihutubia Umati mkubwa wa Wananchi, Mbowe amedai kwamba Chadema iko Tayari kuhakikisha kwamba Haki za Jamii ya kimasai zinalindwa kwa gharama yoyote ile na kwamba ardhi yao itabaki kuwa yao hata iweje .
Huku akishangiliwa kwa nguvu amesema kwamba suala la kuwaswaga Wamasai kama mifugo litapingwa kwa nguvu zote
Kwa vile maneno matupu hayavunji mfupa basi jionee mwenyewe
View attachment 3024048View attachment 3024049View attachment 3024050View attachment 3024051View attachment 3024052
Kuna kila dalili za Nchi hii kukombolewa haraka sana.
HakikaHiyo ndyo sera tunazo itaji syo unakuta sehemu nynge mama mama tunaitaji sera yenye nguvu kama inz haki ya mwana nch kweny taifa lake chadema ndyo chama cha kuwaskiliza wananch syo uko kila sku ugaibun ❤️ Democrasia
Unaweza kuweka hata ushahidi wa uongo?wangeacha dhambi za kuharibu ndoa za watu na kuwapa viti maalum wangetoboa!
Bora hata umesema ni mpango wa mungu na SIYO Mungu.Chadema ni mpango wa mungu
Huyu yuko muda mrefu huku jf kabla ya huyo Lucas Mwashambwa. Fuatilia yupi kajiunga lini jf na uandishi wake ukoje, kisha ujue nani kamuiga mwenzake.Unaota. Unafuata nyao za Lucas eti
fatili kwenye ile 19 hukosi kadhaa waliokacha ndoa zaoUnaweza kuweka hata ushahidi wa uongo?
Mkuu usihangaike na WajingaHuyu yuko muda mrefu huku jf kabla ya huyo Lucas Mwashambwa. Fuatilia yupi kajiunga lini jf na uandishi wake ukoje, kisha ujue nani kamuiga mwenzake.
Uandike wewe halafu nifuatilie mimi?fatili kwenye ile 19 hukosi kadhaa waliokacha ndoa zao
basi unawajua acha kunizuga na shikamooUandike wewe halafu nifuatilie mimi?
Huyu Mbowe anafanya anachopinga. Demokrasi hakuna pale CDM. Hana tofauti na CCM ambayo I haitaki katiba mpya.Taarifa ikufikie Popote Ulipo kwamba , Mwamba wa siasa za Africa , Freeman Mbowe ameingia Ngorongoro kwa kishindo na kuhutubia Maelfu ya Wananchi
Akihutubia Umati mkubwa wa Wananchi, Mbowe amedai kwamba Chadema iko Tayari kuhakikisha kwamba Haki za Jamii ya kimasai zinalindwa kwa gharama yoyote ile na kwamba ardhi yao itabaki kuwa yao hata iweje .
Huku akishangiliwa kwa nguvu amesema kwamba suala la kuwaswaga Wamasai kama mifugo litapingwa kwa nguvu zote
Kwa vile maneno matupu hayavunji mfupa basi jionee mwenyewe
View attachment 3024048View attachment 3024049View attachment 3024050View attachment 3024051View attachment 3024052
Kuna kila dalili za Nchi hii kukombolewa haraka sana.
Umechelewa kizembe sana!Huyu Mbowe anafanya anachopinga. Demokrasi hakuna pale CDM. Hana tofauti na CCM ambayo I haitaki katiba mpya.
Watanzania tunahitaji vyama vipya vya kuisadia nchi hii. CCM na CDM watachuliwa na mafuriko ya ideology na philosophy za dunia hii. Wait and see.
Hivi CCM maeneo ya umasaini wala chao kweli?
Kama ni vita, basi itaanzia eneo hilo la bustani ya Eden!!
That's is the fact, unless you have minor benefits on this political party.Umechelewa kizembe sana!
Na hilo ndio kusudio langu 😂Bora hata umesema ni mpango wa mungu na SIYO Mungu.
Kiingereza cha ugoko!That's is the fact, unless you have minor benefits on this political party.