Freeman Mbowe aingia Ngorongoro na kupokelewa Kishujaa

Hiyo ndyo sera tunazo itaji syo unakuta sehemu nynge mama mama tunaitaji sera yenye nguvu kama inz haki ya mwana nch kweny taifa lake chadema ndyo chama cha kuwaskiliza wananch syo uko kila sku ugaibun ❤️ Democrasia
 
wangeacha dhambi za kuharibu ndoa za watu na kuwapa viti maalum wangetoboa!
 
Hiyo ndyo sera tunazo itaji syo unakuta sehemu nynge mama mama tunaitaji sera yenye nguvu kama inz haki ya mwana nch kweny taifa lake chadema ndyo chama cha kuwaskiliza wananch syo uko kila sku ugaibun ❤️ Democrasia
Hakika
 
Huyu Mbowe anafanya anachopinga. Demokrasi hakuna pale CDM. Hana tofauti na CCM ambayo I haitaki katiba mpya.

Watanzania tunahitaji vyama vipya vya kuisadia nchi hii. CCM na CDM watachuliwa na mafuriko ya ideology na philosophy za dunia hii. Wait and see.
 
Umechelewa kizembe sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…