Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Hata ilivyokuwa 13m plus Posho na marupurupu kwa nchi hii ya wabangaizaji wasio na uhakika wa milo mitatu ilikuwa ni kufuru.....; Ndio maana nasema the end justifies the means..., ila akirudi kundini siku wakipandisha mpaka 30 asisite kutwambia, kubisha na hata kuzikataa sio kukaa kimya sababu ananeemeka....Better late than never……,! Ongezeko la million tano ?????