Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,668
- 3,751
Hizo nazo nikodi za wananchi? Mbona watanzania wanatoana kwenye reli kirahisi?Pia aseme jinsi michango ya Join The Chain ilivyotumika. Pia pesa za Sabodo. Mbowe kachagua ugomvi wa mawe huku akiwa kwenye nyumba ya vioo. Kwenye hoja inayohusika na hela Mbowe angekaa tu kimya.
Zilichangwa na majini?Hizo nazo nikodi za wananchi? Mbona watanzania wanatoana kwenye reli kirahisi?
Kwani hela ya Sabodo nikodi yako? Au nikiicjangia CHADEMA nikodi yako. Hivi kweli unataka kufananisha hela ya umma na ile ya Sabodo?Zilichangwa na majini?
Basi kuanzia leo nitakuwa namwita ,kijana MboweUnaadabu sana kumuita Mbowe Mzee. Uzee ni baraka na siyo kila mtu anapata hiyo baraka. Omba sana Mungu akujalie uzee kama Mbowe
Kwahiyo kama hazikutoka serikalini ni ruksa kuzitafuna?Kwani hela ya Sabodo nikodi yako? Au nikiicjangia CHADEMA nikodi yako. Hivi kweli unataka kufananisha hela ya umma na ile ya Sabodo?
Usihangaike na WajingaKwani hela ya Sabodo nikodi yako? Au nikiicjangia CHADEMA nikodi yako. Hivi kweli unataka kufananisha hela ya umma na ile ya Sabodo?
Unapotoka kwenye mada na kuleta ishu ambayo ingepewa Uzi wake unajisikiaje mheshimiwa??unakuwa chawa au mchawi??zungumxia hiyo five m udipende kutetea ujinga kwanza kama wewe ni mkereketwa tupe mahesabu ya tozo tunaxokatwa kila siku au na wewe unaishi kwa tozo zetu.yaani nyie mishipa ya aibu imexhakatika.Kwahiyo kama hazikutoka serikalini ni ruksa kuzitafuna?
Mbona unaweweseka.Basi kuanzia leo nitakuwa namwita ,kijana Mbowe
Zungumxia, tunaxokatwa🤬🤬.. wewe kunguni ukiweza kuandika vizuri ndo uwe unajibu comments zanguUnapotoka kwenye mada na kuleta ishu ambayo ingepewa Uzi wake unajisikiaje mheshimiwa??unakuwa chawa au mchawi??zungumxia hiyo five m udipende kutetea ujinga kwanza kama wewe ni mkereketwa tupe mahesabu ya tozo tunaxokatwa kila siku au na wewe unaishi kwa tozo zetu.yaani nyie mishipa ya aibu imexhakatika.
Maccm wezi sana ila sio mda kunakuchaTaarifa nilizonazo zinaeleza kwamba Freeman Mbowe na timu yake iliyoko bungeni na hazina wanajipanga kuuthibitisha umma kwamba wabunge wa Tanzania wameongezewa mshahara kutoka milioni 13 hadi milioni 18, nyongeza ya milioni 5 kamili.
Ikumbukwe kwamba wafanyakazi wa Tanzania waliongezewa kati ya Tsh elfu 8 na elfu 18, kutegemeana na ngazi ya mshahara, hii ilitokana na ahadi ya nyongeza ya mishahara ya mtukufu rais aliyoitoa kwenye sherehe za Mei Mosi na kupigiwa makofi mengi na wafanyakazi wakiwemo walimu.
Baada ya uthibitisho huo unaopangwa kutolewa wakati wowote kuanzia sasa, unadhani ni hatua gani zifuate?
Ikumbukwe kwamba si mara ya kwanza kwa Bunge la Tanzania kuukanusha ukweli , kuna wakati waliwakusanya wanawake wanaowajua wenyewe na kwa kutumia nyaraka za kufoji wakawaapisha kuwa Wabunge wa Viti maalum wa Chadema , hata hivyo baadaye ikaja kuthibitika kwamba wanawake hao hawakuteuliwa na Chadema .