Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Aliahidi mwenyewe.Kwahiyo mmemtanguliza Zitto Kabwe Huko ACT Wazalendo Ili mpate uhalali wa kumshinikiza Mwamba?
Mbowe bado yupo Sana tu!
the gentlemen is there to stay and nothing can be done or happen to him at a momentNiliwahi andika hili. Naomba niandike tean. Mheshimiwa huyu anatimiza ahadi yake lini? Pamoja na kwamba aliahidi mwenyewe hata hivyo upinzani unahitaji nguvu na mawazo ya mwenyekiti mwingine. Bahati nzuri akawa ameona hilo yeye mwenyewe na kuahidi kung'atuka mwaka huu 2023. Sasa anang'atuka lini?
View: https://youtu.be/dFOSSdmVGZc?si=fSnhNjugO2BAlZTB
Gentlomani hutimiza ahadi.the gentlemen is there to stay and nothing can be done or happen to him at a moment
Ndugu wakili,kwani wewe ni wakili wa shetani yupi,ni yule wa chukua chako mapema au mwingine, mbona unahangaika na ambayo sii yako wala ya kundi lako🤔Niliwahi andika hili. Naomba niandike tean. Mheshimiwa huyu anatimiza ahadi yake lini? Pamoja na kwamba aliahidi mwenyewe hata hivyo upinzani unahitaji nguvu na mawazo ya mwenyekiti mwingine. Bahati nzuri akawa ameona hilo yeye mwenyewe na kuahidi kung'atuka mwaka huu 2023. Sasa anang'atuka lini?
View: https://youtu.be/dFOSSdmVGZc?si=fSnhNjugO2BAlZTB
Shetani maana yake mpinzani. Mimi ni wakili wa wapinzani.Ndugu wakili,kwani wewe ni wakili wa shetani yupi,ni yule wa chukua chako mapema au mwingine, mbona unahangaika na ambayo sii yako wala ya kundi lako🤔
Pole ndugu,kwani yaweza kuwa ni wakili wa chukua chako mapema, ila upo kuwaangamiza wasioamini katika chukua chako mapema na urefu wa kamba😁Shetani maana yake mpinzani. Mimi ni wakili wa wapinzani.
Tuko na Hamas hivi sasa. Kampindueni kama mlivyompindua maalim Seif CufNiliwahi andika hili. Naomba niandike tean. Mheshimiwa huyu anatimiza ahadi yake lini? Pamoja na kwamba aliahidi mwenyewe hata hivyo upinzani unahitaji nguvu na mawazo ya mwenyekiti mwingine. Bahati nzuri akawa ameona hilo yeye mwenyewe na kuahidi kung'atuka mwaka huu 2023. Sasa anang'atuka lini?
View: https://youtu.be/dFOSSdmVGZc?si=fSnhNjugO2BAlZTB
Kwa kwa mwenendo unaoonyeshwa wote ni chukua chako mapema, wote ni waumini wa kula kwa urefu wa kamba.Pole ndugu,kwani yaweza kuwa ni wakili wa chukua chako mapema, ila upo kuwaangamiza wasioamini katika chukua chako mapema na urefu wa kamba😁
Wakina nani hao walimpindua Seif? Waungwana tunasubiri atimize ahadi yake.Tuko na Hamas hivi sasa. Kampindueni kama mlivyompindua maalim Seif Cuf
Mkodini Lipumba ampindueWakina nani hao walimpindua Seif? Waungwana tunasubiri atimize ahadi yake.
Nikiwa kama mpenda nchi hii inanihusu. Natamani kuona upinzani wenye mawazo mapya, wenye pinu mpya na maadili mapya. Upinzani tunaoweza kuutegemea kama mbadala wa CCM. Lakini kwa nyie mliozoea siasa za ushabiki hili haliwezi kuwaingia akilini.Wewe Chadema ina kuhusu nini
Chama cha mapinduzi kimeshapata katibu huko??tafuteni kwanza katibu mengine yatafuatiaNiliwahi andika hili. Naomba niandike tean. Mheshimiwa huyu anatimiza ahadi yake lini? Pamoja na kwamba aliahidi mwenyewe hata hivyo upinzani unahitaji nguvu na mawazo ya mwenyekiti mwingine. Bahati nzuri akawa ameona hilo yeye mwenyewe na kuahidi kung'atuka mwaka huu 2023. Sasa anang'atuka lini?
View: https://youtu.be/dFOSSdmVGZc?si=fSnhNjugO2BAlZTB
Muulize mwenyewe. Alipokuwa anaahidi kung'atuka alisema ataenda wapi?
Aende wapi?
Hili ungeenda kuwauliza chama cha mapinduzi. Epuka siasa za ushabiki. Siasa siyo mpira. Siasa zinaamua maisha yako.Chama cha mapinduzi kimeshapata katibu huko??tafuteni kwanza katibu mengine yatafuatia