Pre GE2025 Freeman Mbowe ameamua kumwaga sumu ya ukabila mikoa ya Kaskazini

Pre GE2025 Freeman Mbowe ameamua kumwaga sumu ya ukabila mikoa ya Kaskazini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!

Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!.

Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yeyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je, kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!
Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!. Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.
Je ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yoyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Mkuu bado unaomboleza tu?

Mambo mengine uachage yapite tu.
Etwege
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!
Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!. Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.
Je ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yoyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Kachinjeni mbuzi zaidi December
images.jpeg-90.jpg
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!
Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!. Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.
Je ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yoyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Watanzania ifike wakati tuache unafiki tuongee ukweli kutoka kwenye akili na nafsi zetu tuliponye taifa kwa maendeleo ya kweli ya kizalendo na yasiyo na maslahi ya kimakundi au mtu.Ila naslahi ya taifa letu.
 
Mimi siyo mchaga lakini tuseme ukweli, MAGUFULI ALIWACHUKIA WACHAGA VIBAYA SANA HUU NDIYO UKWELI HALISI, WENGI WALIFILISIWA, MZEE MENGI BAADA YA KUKUTA KWENYE AKAUNTA ZIMEPAKULIWA, #$&$#@#$&!
Kwani ndani ya CCM aliyesema haitatokea kamwe Rais wa JMT atoke Kaskazini ni Shujaa Magufuli? 😂😂😂
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!
Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!. Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.
Je ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yoyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Paskal Mayala acha kushabikia chuki, wewe unazo chuki zako dhidi ya Mbowe na hata alipofutiwa kesi wewe uliendelea kudai kuwa unao ushahidi wa alichokifanya kule Mwanza! Hivi ulidhani serikali ingekusikiliza wewe imrejeshe tena mahakamani ikitegemea ushahidi wako! Jitafakari.
YOU WILL BE ANOTHER LAKHA.
 
Chadema walishaacha zamani sana kutangaza sera, sasa hivi ni mwendo wa porojo, matusi na huo ukabila sasa.
Akija huku umakondeni na sisi akina "njomba" atatuambia kuwa tulifukuzwa kazi na kufilisiwa wote? Au hiyo ni sera ya uchagani tu?
Paskal upo hapa! Reply hii haiko kwenye hadhi yako, tumia busara zako.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!
Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!. Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.
Je ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yoyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Tumkubalie ni kweli haya wabebe makabati na vitanda waende ikulu!
 
Back
Top Bottom