Pre GE2025 Freeman Mbowe ameamua kumwaga sumu ya ukabila mikoa ya Kaskazini

Pre GE2025 Freeman Mbowe ameamua kumwaga sumu ya ukabila mikoa ya Kaskazini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!

Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!.

Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yeyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je, kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Hakuna asiejua wasukuma walipendeleana sana na wachaga walikuwa targeted kipindi kile. Tuache unafiq.
 
Magufuli hakuwachukia wachaga...

Alichukia wezi, utapeli,uuzaji wa madawa ya kulevya na vyeti feki...

Aliwashughulikia hawa bila kujali asili zao...

Huenda wachaga walijihisi kuonewa na utawala ule kwasababu shughuli zao nyingi zinahusisha wizi utapeli vyeti feki na madawa ya kulevya...

Na kimsingi kwenye hili raisi yeyote mwenye kutaka kuzuia hayo watamchukia si Magufuli tu...

Magufuli hakupendwa na watu wengi tu wa asili yake, ni kwasababu hakuwa na rafiki kwenye maslahi ya nchi.
 
Hakuna asiejua wasukuma walipendeleana sana na wachaga walikuwa targeted kipindi kile. Tuache unafiq.
Emu tutajie mchaga mmoja aliyeonewa na Magufuli...

Na hakua na konakona ...

Tutajie na msukuma mmoja aliyependelewa na alikuwa na kona kona...

Mfano, Magufuli akishughulikia wenye vyeti feki, tutajie msukuma aliyekua na cheti feki na hakuguswa...
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!

Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!.

Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yeyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je, kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Mbowe
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!

Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!.

Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yeyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je, kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Yote aliyoasema Mbowe ni sahihi kabisa!
Tunaokaa mikoa ya Kaskazini tunaweza kutoa shuhuda nyingi!
 
Magufuli hakuwachukia wachaga...

Alichukia wezi, utapeli,uuzaji wa madawa ya kulevya na vyeti feki...

Aliwashughulikia hawa bila kujali asili zao...

Huenda wachaga walijihisi kuonewa na utawala ule kwasababu shughuli zao nyingi zinahusisha wizi utapeli vyeti feki na madawa ya kulevya...

Na kimsingi kwenye hili raisi yeyote mwenye kutaka kuzuia hayo watamchukia si Magufuli tu...

Magufuli hakupendwa na watu wengi tu wa asili yake, ni kwasababu hakuwa na rafiki kwenye maslahi ya nchi.
Ni ujinga kuwa na kiongozi mwenye chuki ya wazi. Tanzania ni ya wote!
Kiongozi mzuri anapaswa kujikita kwenye misingi ya sheria ili kila mmoja apate anachostahiki.
JPM wasn't a leader make aliendekeza sana ubinafsi, umimi, chuki, visasi na vinyongo nje ya misingi ya utu, Katiba na sheria!
No wonders he died so early!
 
Kwani nani asiyejua kuwa wewe ni shoga mwandamizi? Kama unabisha tukupime kama marinda yamo humo
Kuna mahali huwa tunapishana sana na wewe na kuna mahali huwa tunakiwa pamoja

Kwenye maisha yangu huwa sinaga msimamo na mtu kisa siasa,

Mimi ni mfuasi kamili wa upinzani, ila mambo ya kijinga kamwe siwezi kuyaunga mkono kisa yamesemwa na mpinzani na mimi nikiwa mpinzani

CCM kinachowafanya wasiungane na sisi katika kutafuta katiba na haki ya kila mwananchi, ni kwa sababu hizihizi, kwamba kila kinachosemwa na kiongozi wao hata kama ni cha hovyo, ambacho kinaleta utengano wa kitaifa wao wanashangiloa tu, hakuna hata mmoja asiyehitaji Katiba, hata ccm wanaitaka, ila hizi kasumba za mashabiki wa vyama kutetea kila neno ndio tatizo, na chadema mnaanza kuchukua mkondo huohuo

Huo ujinga kwangu ni mwiko, na huko upinzani, mfano kama wewe, ni mfano wa watu wale wale wa ccm wanaoshangilia kila kitu

Mbowe lazima akemewe anapoleta ukabila

Ni mtu mjinga tu anaye/aliyeunga mkono neno la sukumagang

Ni upumbavu uliopitiliza kushangilia mtu aliyepotoka kujigamba kwa kutumia kabila lake

Hekima ni kwamba, yaliyopita yapite tuyaache tujenge Taifa letu lisilozingatia kabila ya mtu

Mimi ni mmojawapo ya watu tunaochukizwa sana na maneno ya kibaguzi tena yakisemwa na viongozi wa kitafa
 
Mbowe Yuko sawa tu, me mwenyewe nilikuwa naelekea kubadili jina Ili niwe na jina la kisukuma
Kama mlikuwa na vyeti feki na mafisadi mlitegemea nini kwa Rais mzalendo....lazima mpigwe chini na hivyo ndivyo wa tz tunataka kuona na kusikia ....hatutaki marais wapuuzi wanao kumbatia wahuni serikalini kama chura
 
Ni ujinga kuwa na kiongozi mwenye chuki ya wazi. Tanzania ni ya wote!
Kiongozi mzuri anapaswa kujikita kwenye misingi ya sheria ili kila mmoja apate anachostahiki.
JPM wasn't a leader make aliendekeza sana ubinafsi, umimi, chuki, visasi na vinyongo nje ya misingi ya utu, Katiba na sheria!
No wonders he died so early!
Emu eleza alikua na chuki kwenye kipi?
 
Marehemu wakati wa ufunguzi wa barabara ya Dodoma to Iringa, alisema, "..... wenzetu wa kaskazini watusubiri kwanza,,,", akimaanisha wasipelekewe miradi ya maendeleo.
KAULI YA AJABU YA KIONGOZI MBINAFSI.
 
Kama mlikuwa na vyeti feki na mafisadi mlitegemea nini kwa Rais mzalendo....lazima mpigwe chini na hivyo ndivyo wa tz tunakaka kuona na kusikia ....hatutaki marais wapuuzi wanao kumbatia wahuni serikalini kama chura
Tulishuhudia mengi chini ya jiwe tafuta ajira za ualimu kipindi Cha jiwe zile za mwisho kabisa, utaona uchafu wa jiwe pale, utaona majina ya kisukuma yalivyo jaa
 
Magufuli hakuwachukia wachaga...

Alichukia wezi, utapeli,uuzaji wa madawa ya kulevya na vyeti feki...

Aliwashughulikia hawa bila kujali asili zao...

Huenda wachaga walijihisi kuonewa na utawala ule kwasababu shughuli zao nyingi zinahusisha wizi utapeli vyeti feki na madawa ya kulevya...

Na kimsingi kwenye hili raisi yeyote mwenye kutaka kuzuia hayo watamchukia si Magufuli tu...

Magufuli hakupendwa na watu wengi tu wa asili yake, ni kwasababu hakuwa na rafiki kwenye maslahi ya nchi.

Safi sana mkuu umefafanua vizuri
 
Ni ujinga kuwa na kiongozi mwenye chuki ya wazi. Tanzania ni ya wote!
Kiongozi mzuri anapaswa kujikita kwenye misingi ya sheria ili kila mmoja apate anachostahiki.
JPM wasn't a leader make aliendekeza sana ubinafsi, umimi, chuki, visasi na vinyongo nje ya misingi ya utu, Katiba na sheria!
No wonders he died so early!

Lakini ametuachia treni ya umeme
 
Paskal Mayala acha kushabikia chuki, wewe unazo chuki zako dhidi ya Mbowe na hata alipofutiwa kesi wewe uliendelea kudai kuwa unao ushahidi wa alichokifanya kule Mwanza! Hivi ulidhani serikali ingekusikiliza wewe imrejeshe tena mahakamani ikitegemea ushahidi wako! Jitafakari.
YOU WILL BE ANOTHER LAKHA.
Huyu ni Paschal? uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kama mlikuwa na vyeti feki na mafisadi mlitegemea nini kwa Rais mzalendo....lazima mpigwe chini na hivyo ndivyo wa tz tunakaka kuona na kusikia ....hatutaki marais wapuuzi wanao kumbatia wahuni serikalini kama chura

Eti wanataka waachwe tu na wizi wao kisa wachaga!
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!

Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!.

Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yeyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je, kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Kubali tu kuwa Magufuli ameshakufa, hata ufanyeje harudi. Endelea na maisha yako achana na kumtaja kila siku kama vile ni mungu.
 
Back
Top Bottom