Pre GE2025 Freeman Mbowe ameamua kumwaga sumu ya ukabila mikoa ya Kaskazini

Pre GE2025 Freeman Mbowe ameamua kumwaga sumu ya ukabila mikoa ya Kaskazini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi hayo matusi mnayosemaga mtu au viongozi WA CCM wanatukanwa ni yapi?😳.mbona hua sioni Mimi? au kuambiwa ukweli kwenu ni matusi?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!

Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!.

Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yeyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je, kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Mkuu unajua makosa ya UHAINI?
 
Mbowe Yuko sawa tu, me mwenyewe nilikuwa naelekea kubadili jina Ili niwe na jina la kisukuma
Mkuu mimi nikibahatoka kuwa na watoto nitawaita majina ya kibantu tu, maana huko tuendako ni giza tu.ĝ
 
Tulishuhudia mengi chini ya jiwe tafuta ajira za ualimu kipindi Cha jiwe zile za mwisho kabisa, utaona uchafu wa jiwe pale, utaona majina ya kisukuma yalivyo jaa
Kama walikuwa wanachapa kazi hakuna shida kuwa na wasukuma wengi ....mbona samia kajaza wazenji na waislamu waovyo wasio fanya kazi bali uhuni tu na ufisadi ....sisi tunataka wazalendo siyo dini au kabila
 
Kama walikuwa wanachapa kazi hakuna shida kuwa na wasukuma wengi ....mbona samia kajaza wazenji na waislamu waovyo wasio fanya kazi bali uhuni tu na ufisadi ....sisi tunataka wazalendo siyo dini au kabila

Uko sawa
 
Mbona Mambo haya yanafahamika sana hata mwenye kibubu aliondolewa ofisini kisa Easter ni mchaga.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya ukabila!

Mbowe amesikika mara kadhaa kwenye mikutano yake akiwaambia watu kuwa kipindi cha awamu ya tano kabila la wachaga walinyanyasika sana ikiwemo wote kufukuzwa kazi na kufilisiwa biashara zao. Mbowe anasema mchaga ili apate kazi kwenye kipindi cha Magufuli ilimlazimu kubadili jina lake kutoka la kichaga kwenda la kabila jingine!.

Kumbuka tuhuma hizi nzito na mbaya Mbowe anazimwaga bila ushahidi wowote na vyombo vya dola hazimchukulii hatua yoyote kama vile kumfungulia kesi ya ugaidi kwa kuwachonganisha watanzania.

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifukuzwa kazi?

Je, ni kweli kwa mjibu wa Mbowe kwamba wachaga wote walifilisiwa biashara zao?

Mwl Nyerere alishawahi kuonya kuwa mwanasiasa yeyote aliyefilisika sera kichwani huwa anatafuta uuwangwaji mkono kupitia ukabila, dini na rangi.

Je, kwa kauli hizi za Mbowe inashiria amefilisika kichwani? Kwamba akijibanza kwenye ukabila ndiyo atashinda ubunge tena? Yetu macho.
Sasa hata polisi wakimchukulia hatua na kumshitaki mahakamani anayesemwa kufanya hayo atafufuka ili aje kujitetea?

Lakini hata hivyo ushahidi wa kuwa Hayati Rais John P. Magufuli alikuwa mbaguzi na aliibagua kanda hiyo ya mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga na watu wake uko wazi mno na hata clip za video za hotuba zake akionesha chuki za wazi ziko kibao YouTube akiwabagua hususani watu wa Kilimanjaro (wachagga)

Unataka tukupe ushahidi huo? Utastahimili kweli na hutajifunika uso wako kwa aibu?
 
Emu tutajie mchaga mmoja aliyeonewa na Magufuli...

Na hakua na konakona ...

Tutajie na msukuma mmoja aliyependelewa na alikuwa na kona kona...

Mfano, Magufuli akishughulikia wenye vyeti feki, tutajie msukuma aliyekua na cheti feki na hakuguswa...
Chenge. Konakona sio wachaga tu. Watu kibao wanakonakona ila yeye alikuwa na vita na wachaga. Ni dhana ya washamba wengi kuwa kila mchaga ni mwizi. Ni lack of exposure na insecurities.
 
Chenge. Konakona sio wachaga tu. Watu kibao wanakonakona ila yeye alikuwa na vita na wachaga. Ni dhana ya washamba wengi kuwa kila mchaga ni mwizi. Ni lack of exposure na insecurities.

Hata wachaga wenyewe wanajijua ni wezi
 
Back
Top Bottom