Pre GE2025 Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hunaga jema na chadema 😂 nikama vile maadui wetu tulio aminishwa tangu uhuru ambao ni UJINGA, UMASKINI, MARADHI wewe umeongezea na CHADEMA 😂
 
Think tank ya chama chawala iko hoi bin taaban
 
Think tank ya chama chawala iko hoi bin taaban
 
Lissu anajua mengi kuliko hata huyo msigwa, na alianza kukemea hayo mambo kabla hata msigwa hajahamia mbogamboga.
Alikemea kuwa Mbowe anachukua hela za CHADEMA? Au hata tunachojadili hukijui?
Kuuliza Abduli ni nani ni kupoteza muda
Kwa nini ni kupoteza muda. Yaani unabagua wa kushughulika naye!! Sheria ya nchi hii mtoa na mpokea rushwa wote ni sawa. Abdul ni nani?
 
Msigwa siyo mwanasiasa ndio sababu aligomea Uteuzi Kwa Shujaa Magufuli

Wasomi kama Prof Kitila na Protabas Katambi na yule Kafulila aka Tumbiri ndio Injini ya Serikali ya CCM Kwa sasa Awamu hii ya 6 😂😂😂
 
Alikemea kuwa Mbowe anachukua hela za CHADEMA? Au hata tunachojadili hukijui?

Kwa nini ni kupoteza muda. Yaani unabagua wa kushughulika naye!! Sheria ya nchi hii mtoa na mpokea rushwa wote ni sawa. Abdul ni nani?
Alikemea matumizi mabaya ya mali za chama, na chama kipo chini ya mwenyekiti.


Ukitaka kumjua Abdul ni nani rudia kusikiliza maneno ya Lissu utajua vizuri.
 
anaushahidi ,siasa haifanywi kwa kumtukana mtu binafsi
kama ni deformations Mbowe mwenyewe ndio alipaswa kupelekwa mahakamani KWA kuwahadaa wananchi na ndugu waliopotelewa na jamaa zao kwamba yeye anajua walipo na mpaka leo hajawaonyesha ndugu zao, akaishia kusingizia polisi na serikali dah...

Baada ya ile kiki kubumba ndio kaibuka na hili ambalo credit zote zinamuendea Tundu Antipas Lisu 🐒
 
Lissu anajua mengi kuliko hata huyo msigwa, na alianza kukemea hayo mambo kabla hata msigwa hajahamia mbogamboga.
Lisu alikemea rushwa kwenye uchaguzi baada ya kupewa taarifa na abdul, siyo kwa vile alikuwa nalo rohoni siku nyingi, by necessary deduction!
 
Misigwa ameandika kwenye mtandao wa X kwa kudondoa huo wito kwamba 'political issues need political solutions'. Sijui ana maana gani kwa kuandika hivyo.
 
Lisu alikemea rushwa kwenye uchaguzi baada ya kupewa taarifa na abdul, siyo kwa vile alikuwa nalo rohoni siku nyingi, by necessary deduction!
Kumbuka Lissu alisema alishangaa kuona chama kinasema hakuna pesa za mikutano, hata ile mikutano yake tuliona akipanda kwenye majukwaa ya miti na mbao.
 
Kumsema mbowe hadharani ni sawa na kuisema CHADEMA hadharani, hoja za msigwa zijibiwe kwa hoja na sio kuendekeza ushabiki wa hisia za kisiasa.
Kumsema mbowe hadharani kwa hoja za uongo kwa mtu mwenye acces yajukwaa lakuongea lolote unataka na mbowe naye afanye hivyo.Uko kutakua kupoteza muda.nchi bado ina changamoto nyingi za wananchi zakuzisemea kuliko kusikiliza porojo za majukwaani zakusemana ambazo badae watatuambia ilikua siasa.naona mbowe kaamua kua smart.siasa zilenge mahitaji ya wananchi sio mambo ya kijinga yasiyo na ukweli.ndo maana kaamua kujitofautisha na mpiga porojo.mwisho tutajua mbivu na mbichi.
 
Kesi za kisiasa hizo zitaisha kisiasa. Msigwa aendelee kupiga spana huyo Mbowe.
Unamponza mwenzio, kesi za kisiasa sio hizi kusingiziana uongo na kashfa, hizi ni defamation per se na Msigwa atajuta maana ndio ataijua ccm.
Pamoja na mengi aliyokuwa anasema majukwaani alikuwa anaandikiwa na Makalla ila sasa hata muona tena
 
Kwanini unataka aombe msamaha wakati hujui hayo madai yake kama yana ukweli
 
Mtu respectable kama Mbowe hawezi kujibizana na Msugwa kwenye majukwaa, that will be below his diginity!
 
Misigwa ameandika kwenye mtandao wa X kwa kudondoa huo wito kwamba 'political issues need political solutions'. Sijui ana maana gani kwa kuandika hivyo.
THIS IS NOT POLITICAL, IT IS DEFERMATION PER SE! useme kwenye jukwa kuwa Mbowe ni mwizi, anakwiba hela za Chadema, anakula rushwa halafu useme hiyo ni political, not at all!
 
Sikuwahi kujua ya kwamba watu huwa wanaumia wakituhumiwa mitandaoni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…