Pre GE2025 Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanini unataka aombe msamaha wakati hujui hayo madai yake kama yana ukweli
Yana ukweli gani? Au labda alinyofoa nyaraka za kiofisi ambalo ni kosa lingine pia…haya mambo ya kupayuka payuka sio poa, ilikuwa Hivyo Kwa Kinana mwishowe Aibu…
 

Tatizo la uchawa ni kuropoka ropoka sasa kashikwa pabaya alete ushahidi wa wazi, aombe radhi au alipe hii ni loose, loose situation
 
Tatizo la uchawa ni kuropoka ropoka sasa kashikwa pabaya alete ushahidi wa wazi, aombe radhi au alipe hii ni loose, loose situation
Msigwa kesi hii itamlamba (vijana wa mjini wanasema) , atashindwa kwa sababu report za CAG ziaonesha financial management ya chadema haina shida ndiyo maana wanapata hati safi!
Kweli CAG akute hela za Join the chain zinakwenda Kenya atoe hati safi?
 
Mahakamani sio sehemu sahihi ya kujibu hizo hoja, Mnyika na ofisi yake ndyo wanapaswa kujibu hoja za msigwa na hoja za Lissu.
Msigwa anadata akajibu mahakamani ,ccm waliogopa kumpeleka LISu mahakamani enzi za lowasa alipotamkwa mana walikuwa na ushahidi kwasasa msigwa nae akajibu akamwage ugali mahakamani
 
mambo ya aibu kabisa. Msigwa amemuandama Mboe sana. kwa hilo namuunga mkono Mbowe.
Kati ya wachungaji wa hovyo ni huyo jamaa. Dini zote zinafundisha kutosingizia,kutosema uongo,kuheshimu wenzako nk. Hilo kwake halipo.
 
Hata wewe mpeleke silazima iwe polisi peleka kwaniaba ya jeshi la polisi
 
Msigwa anadata akajibu mahakamani ,ccm waliogopa kumpeleka LISu mahakamani enzi za lowasa alipotamkwa mana walikuwa na ushahidi kwasasa msigwa nae akajibu akamwage ugali mahakamani
Akiweza kuwasilisha ushahidi mahakamani basi hata wanachama wa CHADEMA watapata mwanga kuhusu hali halisi ya mambo ambayo yanahitaji ufafanuzi wa kina.
 
Hivi Mbowe anaposema anataka alipwe billion tano anamaanisha au ndio ile kauli kuwa mwansiasa akiuambia ni saa mbili usiku toka nje ukathibishe. Anyway wacha Waarabu wa Pemba wapambane wenyewe. Kwa sababu wanajuana kwa vilemba
 
Msigwa ana historia ya kuropoka hovyo kisha akishitakiwa kwa defamation anakosa Cha kulipa.

Aliwahi kumdhalilisha Kinana kwa uongo mahakamani akashindwa ikabidi atoke hadharani kumuomba msamaha Mzee Kinana.
 
Angalia akina Kafulila wametulia kabisa!
Hizo ni kazi kama kazi zingine ilimradi wote tunaenda chooni.kuanzia mfagiaji hadi mkurugenzi.jambo la msingi ni je umetumiaje nafasi uliyokua nayo kuwasaidia wanyonge na maskini wa nchi yako.ila kwakua wewe unawaza ubinafsi basi unaona huo ubunge au U dc ni bonge ya dili.
 
Huyo ndio dawa yake! Atafunga mdomo wake Kama musiba. Udc autafutwi kwa kumtukana Mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…