Pre GE2025 Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe kang'ang'ania uwenyekiti ili apige hela za ruzuku gari ya Lissu ni mbovu kutengeneza tu hadi achangiwe na ccm
 
Mbowe kama kuambiwa ukweli kidogo tu anakimbilia mahakamani badala ajibu hoja na kujisafisha je siku akiwa Rais ataweza kuvumilia maneno? Au ndo atapeleka kila mwananchi mahakamani na ikiwezekana kuwa mtekaji pia
 
From law technical side, tujadili

Mbowe ataweza kuthibitisha defermation?

sheria inasemaje? soma hapa

A crucial question arising from this line of argument is, who between the appellant and the respondent had a duty to establish the falsity or truthfulness of this allegation? In Uhuru Muigai Kenyatta v Baraza Limited [2011] eKLR Rawal J (as she then was) it was held that the information that causes the defamation, will be assumed to be untrue until the defendant proves otherwise. The onus to prove that the statement is true does not rest on plaintiff; it rests on the defendant.
 
Ingependeza iwapo angeenda Mahakamani kumshataki kabisa badala ya kutoa hilo agizo lake kiSiasa.

Manake hajatoa maelekezo kwamba huo msamaha aombe Kwa njia ipi

Lakini pia hizo 5B anazomdai zilipwe Kwa muda gani
Tajiri Freeman Mbowe amekomaa na hana roho mbaya wala mentality za kimasikini ndio maana amempa nafasi ya kuomba msamaha.

Msigwa njaa inamsumbua bado anaishi kwa kuchumia tumbo.

Kama amenunuliwa ni wazi hana uwezo wa kulipa fidia.
 
Yale yale kama ya kinana na Msigwa hadi akaomba poo... ndilo linaloenda kutokea... Msigwa fanya uungwana mapema kabla mambo hayajawa mambo... kuomba msamaha nayo ni heri, sijui kama unazo hizo billion tano, labda kama mpango ni kukufilisi hadi nyumba....
 
Kaingia 18 mbowe, hivi Chadema wakifunguliwa Kesi za kuwaita maneno machafu watu wa CCM Kuna ataepona?
 
Akalipie kesi ya ugaidi ama
 
Mbowe kama kuambiwa ukweli kidogo tu anakimbilia mahakamani badala ajibu hoja na kujisafisha je siku akiwa Rais ataweza kuvumilia maneno? Au ndo atapeleka kila mwananchi mahakamani na ikiwezekana kuwa mtekaji pia
Unaniambia mwizi halafu nikuache? Utakuwa jinga la kutupa! Wezi wanapigwa petrol, hivyo unataka na yeye apigwe petroli? Msigwa atafilisiwa.
Namshauri Mbowe aweke zuio la maliza Msigwa asije kuzificha Erythrocyte mtonye Mbowe weke zuio mali za Msigwa kesho zije kumlipa fedha zake
 
Mbona huyu mbowe ni mtu wa madili sana.
Lisemwalo lipo,na Bado zile dili zao na akina J.thirty.
Vipi dili lake la 10% kubuma na kuamua kuwafukuza uvico 19.
 
Wakati Mbowe na wenzake wa CHADEMA na CHADEMA Digital wakidhihaki familia na kumnanga Hayat Rais John Pombe Magufuli pamoja na kashfa zisizo kuwa na vichwa wala miguu, mie nilikuwa bize nakusanya hela, ushahidi na mashauri mengine tayari kuwapeleka mahakamani wale wote, waliowezesha kashfa hizo kusambaa for Defamation.

Hatahivyo Wanasiasa wasitumie Mahakama kwa ajili ya siasa zao chafu.

Siku zinawadia. Karma is a Bitch.
==========
Mbowe must go.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…