Mtekaji kama ninyi mnavyofanya sioMbowe kama kuambiwa ukweli kidogo tu anakimbilia mahakamani badala ajibu hoja na kujisafisha je siku akiwa Rais ataweza kuvumilia maneno? Au ndo atapeleka kila mwananchi mahakamani na ikiwezekana kuwa mtekaji pia
Uchaguzi wa TAMISEMI upo mlangoni mjue1 Kwamba anaiba pesa za chama kwa kutumia Mbowe Foundation
2. Amegeuza chama kuwa SACCOS yake
3. Chadema digital inamilikiwa na Mbowe kwa manufaa yake
My take: hilo nililitegemea and that is the right way to go!
=====
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amempa siku tano aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyassa, Mchungaji Peter Msigwa, kuomba radhi, asipfanya hivyo ajiandae kulipa kulipa fidia ya shilingi bilioni 5 Mahakamani kutokana na madai ya kumkashifu na kuharibu chapa yake kutokana na matamshi ya Msigwa yaliyotolewa hadharani baada ya kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika barua (notisi ya madai) iliyotolewa Septemba 2, 2024 ikiwa na sahihi ya tarehe 4 Septemba, 2024, mawakili wa Mbowe ambao ni Hekima Mwasipu na wenzake kutoka Matwiga Law Chambers, Msigwa anadaiwa kutoa matamshi ya uongo na kumchafua Mbowe mbele ya umma.
“Msigwa alitumia majukwaa ya mikutano, vyombo vya habari, na hata mitandao ya kijamii kutoa madai ya kumkashifu mteja wetu,” ameleza Wakili Mwasipu.
Imeelezwa kuwa Msigwa alidai kuwa Mbowe ameanzisha "Mbowe Foundation," na anatumia chama cha CHADEMA kwa manufaa yake binafsi. Katika moja ya mikutano yake, Msigwa alinukuliwa akisema, "Mwenyekiti wa CHADEMA amegeuza chama kuwa SACCOS, fedha za chama zinaishia kwenye taasisi binafsi na si kwenye akaunti za chama.”
Mawakili wa Mbowe wameeleza kuwa matamshi hayo yameathiri sifa ya Mbowe ndani na nje ya Tanzania, hasa kutokana na nafasi zake mbalimbali kimataifa, ikiwa ni pamoja na kuwa Naibu Mwenyekiti wa Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia vya Afrika (DUA).
“Mteja wetu anaona maneno yote yanayozungumzwa na kunukuliwa hapo juu katika maana yake ya asili, muktadha na misemo kuwa ni kashfa, dharau na kudhuru sio tu sifa yake binafsi bali pia kwa familia yake yote, marafiki, taaluma (Siasa), Jumuiya ya Biashara, Jumuiya ya Kidini, marafiki na rika. Maneno haya si chochote lakini ushahidi dhahiri wa nia mbaya dhidi ya mteja wetu”, imeelezwa na mawakili.
Mbali na hilo, Msigwa alidai kuwa CHADEMA Digital ambayo ni huduma ya usajili wa wanachama, inamilikiwa na kampuni binafsi na kwamba Mbowe anatumia fedha za chama kwa manufaa binafsi.
“Hali hii imeleta hasara kubwa kwa mteja wetu kwani sifa yake ya kiongozi wa kisiasa, mfanyabiashara na mwanafamilia imeathirika sana,” alisema Mwasipu.
Kwa mujibu wa notisi hiyo, Msigwa anatakiwa kuomba radhi kupitia machapisho katika magazeti mawili; moja lenye kuweza kufikia nchi nzima na lingine ambalo linaweza kuwafikia watu walau wa kanda, na kulipa fidia ya Shilingi bilioni 5, la sivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa.
Pia soma
- Freeman Mbowe amdai Mchungaji Peter Msigwa bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafulia jina lake
- Peter Msigwa: Msajili wachunguze CHADEMA, wana vikundi vinaitwa ZOO na JOB. Mbowe ni Nkurunziza
- Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
- Mchungaji Msigwa: Mbowe siyo Msakata Rhumba maarufu ndio sababu hadi sasa bado yuko Jukwaani japo muda umeisha!
- Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini
- Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi
View attachment 3088476View attachment 3088473View attachment 3088474View attachment 3088475
inafikirisha🤔Mbowe kama kuambiwa ukweli kidogo tu anakimbilia mahakamani badala ajibu hoja na kujisafisha je siku akiwa Rais ataweza kuvumilia maneno? Au ndo atapeleka kila mwananchi mahakamani na ikiwezekana kuwa mtekaji pia
Aache kulialia aandae ushahidi mbona anaanza kulialia asubuhi hivi?!😁😆😆😂😂🤣
Subiri ndo utajua hujui...msigwa sijui ataotoa wapi 5b
NdiyoMtekaji kama ninyi mnavyofanya sio
Aache kulialia aandae ushahidi mbona anaanza kulialia asubuhi hivi?!😁😆😆😂😂🤣
Hauna maana... uchaguzi gani unaoweza kuibwa wote??Uchaguzi wa TAMISEMI upo mlangoni mjue
KALIA LIA... Au mpaka uone machozi yamelowanisha shati lote?Nimesoma sehemu yake ya hadithi.
Sijapaona anapolia lia, labda unionyeshe na miye?
sheria inasema lazima utoe notisi.....jisomee sheria angalau vitu vidogo kama hivi uvijueIngependeza iwapo angeenda Mahakamani kumshataki kabisa badala ya kutoa hilo agizo lake kiSiasa.
Ndiyo ujue aina ya watu wanaoingua mkono CCM. Twaweza walisema CCM inaungwa mkono na watu wenye uelewa mdogo wa mambo.sheria inasema lazima utoe notisi.....jisomee sheria angalau vitu vidogo kama hivi uvijue
KALIA LIA... Au mpaka uone machozi yamelowanisha shati lote?
Shukrani Kwa maarifasheria inasema lazima utoe notisi.....jisomee sheria angalau vitu vidogo kama hivi uvijue
Mwanzoni ilikuja habari nusu, ila kwasasa imekamilika na nimeipitia yoteUmesoma kilichoandikwa??
Wewe si "learned brother" mwenzao, unataka kusema hao jamaa wamekosea? Nadhani "Entity" hapo ni hao Matwiga Law Chambers. Au siyo wakili msomi!!Ni jambo jema ili mambo haya yawekwe sawa kwenye vyombo vya kisheria. Lakini, kwanini barua imesainiwa na Wakili mmoja ikiwa mwanzoni inawatambulisha Mawakili wengi na kuonyesha kuwa barua hiyo inaandikwa na hao wote? Just curious...
Sasa atajikuta Mahakamani amebaki peke yake 🙌Wanaomtuma , wanamsukumiza kwa mbowe😀😀
Nakumbuka hata Kitila Mkumbo na Zitto wakati wanatoka CHADEMA hawakuwahi kutoa shombo kama hizi za Msigwa.Huwa najiuliza hawa watu hawawezi kuhama kimya kimya na wakatulia kama alivyo fanya marehemu mzee Lowasa ? Au uchanga wa siasa nalo ni tatizo
Kinachomponza ni kwamba anamtumikia kafiri apate mradi wake, wakati huo huo CCM nao wanafunika kombe mwanaharamu apite.Hopefully Mchungaji Msigwa hajajua namna ya kufanya Siasa zake