Pre GE2025 Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe kama kuambiwa ukweli kidogo tu anakimbilia mahakamani badala ajibu hoja na kujisafisha je siku akiwa Rais ataweza kuvumilia maneno? Au ndo atapeleka kila mwananchi mahakamani na ikiwezekana kuwa mtekaji pia
Mtekaji kama ninyi mnavyofanya sio
 
Uchaguzi wa TAMISEMI upo mlangoni mjue
 
Mbowe kama kuambiwa ukweli kidogo tu anakimbilia mahakamani badala ajibu hoja na kujisafisha je siku akiwa Rais ataweza kuvumilia maneno? Au ndo atapeleka kila mwananchi mahakamani na ikiwezekana kuwa mtekaji pia
inafikirisha🤔
 
Ni jambo jema ili mambo haya yawekwe sawa kwenye vyombo vya kisheria. Lakini, kwanini barua imesainiwa na Wakili mmoja ikiwa mwanzoni inawatambulisha Mawakili wengi na kuonyesha kuwa barua hiyo inaandikwa na hao wote? Just curious...
 
Ni jambo jema ili mambo haya yawekwe sawa kwenye vyombo vya kisheria. Lakini, kwanini barua imesainiwa na Wakili mmoja ikiwa mwanzoni inawatambulisha Mawakili wengi na kuonyesha kuwa barua hiyo inaandikwa na hao wote? Just curious...
Wewe si "learned brother" mwenzao, unataka kusema hao jamaa wamekosea? Nadhani "Entity" hapo ni hao Matwiga Law Chambers. Au siyo wakili msomi!!

Nadhani wanamaanisha kuwa yeyote kati ya hao ataweza kusimama mahakamani. Mtazamo wako wa kisheria katika hili ukoje?
 
Huwa najiuliza hawa watu hawawezi kuhama kimya kimya na wakatulia kama alivyo fanya marehemu mzee Lowasa ? Au uchanga wa siasa nalo ni tatizo
Nakumbuka hata Kitila Mkumbo na Zitto wakati wanatoka CHADEMA hawakuwahi kutoa shombo kama hizi za Msigwa.

Nadhani walijua kwamba Kwenye Siasa unaweza ukahama CCM na kwenda CHADEMA na wakati mwingine ukarudi CCM pia.

Hopefully Mchungaji Msigwa hajajua namna ya kufanya Siasa zake
 
Hopefully Mchungaji Msigwa hajajua namna ya kufanya Siasa zake
Kinachomponza ni kwamba anamtumikia kafiri apate mradi wake, wakati huo huo CCM nao wanafunika kombe mwanaharamu apite.

Siyo kwamba hajui namna ya kufanya siasa zake, bali amesetiwa kama roboti. Anafanya wanachotaka kina Makalla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…