Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe apitishwa kugombea Ubunge Jimbo la Hai kwa 99%

Mh; tupunguze japo ukali wa maneno basi. Wa milele ni Mungu peke yake tukihemuka sana basi angalau wa maisha even if it is so odd! Wa milele? How?
 
Anawakati mgumu kutetea kiti chake. Nadhani wanaHai wananoelewa. Angebaki kuwa mwenyekiti aimarishe chama chake.
Anyway, tukutane oktoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…