SultaniMbunge wa milele wa jimbo la Hai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SultaniMbunge wa milele wa jimbo la Hai
Sio kweli,Mbowe ni mbunge wangu Hai...Hai Ccm ilishajifia siku nyingi mnooo, na hata kama yupo wa kuichallenge CDM, kwenye kura 10 atapata kura 3 tu!Anawakati mgumu kutetea kiti chake. Nadhani wanaHai wananoelewa. Angebaki kuwa mwenyekiti aimarishe chama chake.
Anyway, tukutane oktoba
Si ungesema tu mfalme wa jimbo la Hai, kama alivyo mfalme kwenye uenyekiti wa chama!Mbunge wa milele
Ok, atashinda kwa 1%Mbunge wa milele wa jimbo la Hai Mh Freeman Mbowe ( Mwamba Tuvushe ) , leo tena amepitishwa na wajumbe wa Chadema wa mkutano mkuu wa jimbo hilo ili kugombea tena Jimbo hilo
View attachment 1516652View attachment 1516653View attachment 1516654
Ile ilikuwa kuchangamsha uwanja lkn hakuwa na nia ya dhati kuwania urais.Amefanya vyema sana kuachana na kinyang'anyiro cha Urais. Kila la kheri kwake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waniite tu vyovyote penye ukweli lazima tuseme jamani.Utaitwa Mataga, we subiri tu!!
Chadema hawakuprint form moja
Pole sana Mh Mbowe, Ubunge mwaka huu 2020 utausikia tu kwenye bomba. najua hapa mtandaoni vibaraka wako wataishia kukusifia tu ili walipwe posho zao ila uhalisia ni kwamba wana Hai hawakuhitaji tena wakati huuMbunge wa milele wa jimbo la Hai Mh Freeman Mbowe ( Mwamba Tuvushe ) , leo tena amepitishwa na wajumbe wa Chadema wa mkutano mkuu wa jimbo hilo ili kugombea tena Jimbo hilo
View attachment 1516652View attachment 1516653View attachment 1516654
Acha Ujuha wewe.Mtu unayeamini Mbunge ana pesa za kubadilisha maisha ya wananchi wa jimbo lake ni kichaa uliyechangamka.
Elewa kwamba kazi ya mbunge ni kuwasemea wananchi na kuisimamia serikali kwa niaba ya wananchi, hayo mengine mnayoyataka ni matokeo ya kukosa uelewa na kibri cha kukataa kupewa uelewa.
Huko kwenu masama/sanya etc jamaa hakufika?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waniite tu vyovyote penye ukweli lazima tuseme jamani.
Kati ya wanachama wenye double standard basi ni wa hawa.Nyie ndo huwa mnasema kuchaguliwa kwa 100% ni udikteta sasa leo mnafulahia 99% na bado mnaona alitakiwa kufika 100%?
Yaani akiri zenu ni sawa na tiara inavyorushwa na upepo.
Hamueleweki.
Usiwe na hofu. Tume ya uchaguzi itakulinda.Anawakati mgumu kutetea kiti chake. Nadhani wanaHai wananoelewa. Angebaki kuwa mwenyekiti aimarishe chama chake.
Anyway, tukutane oktoba
Kweli kabisa ccm wamezidiKati ya wanachama wenye double standard basi ni wa hawa.
Mtu uko Mchamba wima ya Hai utayajulia wapi ?Pole sana Mh Mbowe, Ubunge mwaka huu 2020 utausikia tu kwenye bomba. najua hapa mtandaoni vibaraka wako wataishia kukusifia tu ili walipwe posho zao ila uhalisia ni kwamba wana Hai hawakuhitaji tena wakati huu
Naomba nyie vibaraka wa Mbowe mnaoogopa kumueleza ukweli hifadhini hii comment kisha baada ya Uchaguzi tukutane hapa