Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM waendelee kusubiri hadi kiama
Hiyo ilikuwa ni gheresha tu, he did not seriously intend to run for presidency!Amefanya vyema sana kuachana na kinyang'anyiro cha Urais. Kila la kheri kwake.
I hope na wengine watajitoa at last minute ili hiyo move ya kisiasa imake some senseile ilikuwa move ya kisiasa
Huyo mgombea wa CCM mchovu, Ila mbowe naye halitendei haki Hai bwana there is no difference aliyoletaSafari hii hapiti hai,ccm itachukua jimbo
Acha umbea, utapigwa mandez, umeamchoka , wewe na mumeo yupi ?Mbowe apumzike sasa siasa, tumemchoka
Mkuu pamoja na usomi wako. Unaamini mbunge ana wajibu wa kuleta maajabu jimboni,Huyo mgombea wa CCM mchovu, Ila mbowe naye halitendei haki Hai bwana there is no difference aliyoleta
Mimi ni msomi ndio haiwezekani ukishapigiwa kura hurudi Tena jimboni Wala hushiriki lolote la wananchi wako, hajawahi zungumzia lolote hata madiwani hawaonekani Tena ni Kama Jimbo ni yatima Bora aje mtu atakayeshirikiana na wananchi bega kwa bega hyo ya kukusanya Kodi sijui Nini ni kichaka Cha kutokuwajibika kwa wapiga kura wako.Mkuu pamoja na usomi wako. Unaamini mbunge ana wajibu wa kuleta maajabu jimboni,
Hivi wabunge huwa wanakusanya kodi ?
Mambo ya kuleta tofauti unatakiwa kuwauliza watendaji wa serikali, mbunge ni spokesman tu.
Akiri au akiliNyie ndo huwa mnasema kuchaguliwa kwa 100% ni udikteta sasa leo mnafulahia 99% na bado mnaona alitakiwa kufika 100%?
Yaani akiri zenu ni sawa na tiara inavyorushwa na upepo.
Hamueleweki.
Who are you by the way ?Hongera Mbowe kwa kuamua kustaafu kwa aibu. Jimbo la Hai officially ni jimbo la CCM
My name is Lubuva JechaWho are you by the way ?
Nini ambacho wewe ulitaka akifanye ili uone kwamba anashiriki kulijenga jimbo lake ?Mimi ni msomi ndio haiwezekani ukishapigiwa kura hurudi Tena jimboni Wala hushiriki lolote la wananchi wako, hajawahi zungumzia lolote hata madiwani hawaonekani Tena ni Kama Jimbo ni yatima Bora aje mtu atakayeshirikiana na wananchi bega kwa bega hyo ya kukusanya Kodi sijui Nini ni kichaka Cha kutokuwajibika kwa wapiga kura wako.
Jamani usitee uzembee ukipata kura huonekani sikuona wananchi wajinga
Baada ya oktoba tafuta kazi nyingineMy name is Lubuva Jecha
Kazi yangu ni hii hii ya kuuza mikate stand ya mabasiBaada ya oktoba tafuta kazi nyingine
Hujaulizwa unafanya kazi gani.Kazi yangu ni hii hii ya kuuza mikate stand ya mabasi
Sitastaafu kamweHujaulizwa unafanya kazi gani.
😆😆😆Nini ambacho wewe ulitaka akifanye ili uone kwamba anashiriki kulijenga jimbo lake ?
Au unaamini wasiozungumza bungeni huwa hawawasiliani na mawaziri husika in person kuwasilisha shida za watu wao?
Magufuli akiwa mbunge na waziri wa ujenzi alipotembelea jimbo la Hai aliwahi kumpa sifa na heshima zote Mh Mbowe kwa utumishi wake uliotukuka halafu wewe laywoman unadai hakuna chochote anachofanya, labda utakuwa haujalewa.
Hamna alichofanya huko jimboni acha kumtetea hyo tabia yake mbaya ya kutelekeza wananchi mbunge mzima hashiriki kazi za kijamii yet unamtetea na ndio maana alizomewa mkasema ni waliotumwa kumbe ni wananchi wake, akirudi bungeni ajirekebishe na kuchaguliwa kwake ni vile tu watu haiipendi ccm damuni na siku ccm wakileta mgombea potential huyo mbowe hapati wananchi wanataka mabadiliko sio watelekeza Jimbo na warudi siku ya kutaka kura tuNini ambacho wewe ulitaka akifanye ili uone kwamba anashiriki kulijenga jimbo lake ?
Au unaamini wasiozungumza bungeni huwa hawawasiliani na mawaziri husika in person kuwasilisha shida za watu wao?
Magufuli akiwa mbunge na waziri wa ujenzi alipotembelea jimbo la Hai aliwahi kumpa sifa na heshima zote Mh Mbowe kwa utumishi wake uliotukuka halafu wewe laywoman unadai hakuna chochote anachofanya, labda utakuwa haujalewa.