Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kiongozi bora sana barani Afrika
Mbowe hana siasa za chuki, I like him for that.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe hana siasa za chuki, I like him for that.
Hana mpinzani iwe ndani ya ccm au kwenye vyama pandikizi vya upinzaniMbunge wa milele sijakuelewa hapo? Embu fafanua vizuri
je hapo unajifunza nini!?
Mh; tupunguze japo ukali wa maneno basi. Wa milele ni Mungu peke yake tukihemuka sana basi angalau wa maisha even if it is so odd! Wa milele? How?
Anawakati mgumu kutetea kiti chake. Nadhani wanaHai wananoelewa. Angebaki kuwa mwenyekiti aimarishe chama chake.
Anyway, tukutane oktoba
Ni sawa lakini sio milele. Neno milele lina uzito wake; it is for the Highest Authority than for human beings.Mbowe hana mpinzani pale hai,
DuHiyo 1% aliyokosa itakuwa ni mapandikizi ya maccm 😜
Magufuli akipata 99%, mnatukana na kukebehi, Mangi Mbowe kapata 99% ni Democracy. Wanafiki nyie musemamzo hayo
Magufuli akipata 99%, mnatukana na kukebehi, Mangi Mbowe kapata 99% ni Democracy. Wanafiki nyie musemamzo hayo
99% ya uchaguzi fake? Kwanini hakuruhusu Membe achukue form kama alikuwa anajiamini kupata hiyo 99% badala yake akaamua kumfukuza?
Demokrasia imetimiza wajibu wake. Haiwezekani ukubalike kwa 100% hata Muumba hupingwaHiyo 1% aliyokosa itakuwa ni mapandikizi ya maccm 😜
Subirin muone unafikir movie yenu muliyoiandaa kipindi kile ya kuzomea itawasaidia ngoja muda ufikeAnawakati mgumu kutetea kiti chake. Nadhani wanaHai wananoelewa. Angebaki kuwa mwenyekiti aimarishe chama chake.
Anyway, tukutane oktoba
Ushauri huo ungejaribu kuutoa huko kwenu ungekuwa umeshafukuzwa uanachama, kwa kosa la 'kumtukana'.Anawakati mgumu kutetea kiti chake. Nadhani wanaHai wananoelewa. Angebaki kuwa mwenyekiti aimarishe chama chake.
Anyway, tukutane oktoba
Jamani hao wajumbe bado wana hizo T-shirts za 1995 mpaka leo!!! ha ha ha ruzuku zina kazi gani?Mbunge wa milele wa jimbo la Hai Mh Freeman Mbowe ( Mwamba Tuvushe ) , leo tena amepitishwa na wajumbe wa Chadema wa mkutano mkuu wa jimbo hilo ili kugombea tena Jimbo hilo
View attachment 1516652View attachment 1516653View attachment 1516654
Unadhani kauli iliyotolewa ya " Sumu haionjwi kwa ulimi ".., ni kauli ya siasa za upendo! Fumbua macho uone, Mkuu achana na mleta mada na ngebe zake.Mbowe hana siasa za chuki, I like him for that.
Upuuzi mtupuMbunge wa milele wa jimbo la Hai Mh Freeman Mbowe ( Mwamba Tuvushe ) , leo tena amepitishwa na wajumbe wa Chadema wa mkutano mkuu wa jimbo hilo ili kugombea tena Jimbo hilo
View attachment 1516652View attachment 1516653View attachment 1516654