SI KWELI Freeman Mbowe asitisha maandamano yaliyokuwa yafanyike Septemba 23

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Maandamano waachieni jirani zetu akina Njoroge, huku kwetu tukijitahidi Sana ni Simba na Yangu baasi!
 
Ulitarajia ufurahi watu wakiumizwa sasa utaumizwa na Mpango wa Kamanda wa Anga Mbowe.

Tumewajua nyote nyoyo zenu na mwemyekiti wenu Easily provoked and exposed every evil around. Hii nayo ni intelijensia makini.
Unasweat hagga😂😂😂
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ametangaza kuahirisha maandamano yaliyopangwa kuanza tarehe 23/9/2024 mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa TDC ili kupisha mazungumzo yatakayofanyika baina ya viongozi wa dini na Rais Samia.
Ni uamuzi wa busara, apewe maua yake.
 
Nchi unaiharibu mwenyewe samia.
Unawalea sana polisi wako.
Kulikuwa na umuhimu gani wa kumuua kibao?
mnakosea mkisema ivyo marangapi watu fake wanakuja madukani na kujifanya TRA kuchukua ushuru je hawa nao wanatumwa na Samia? mara ngapi muhimbili wanakamatwa watu fake wanaojifanya madr na kuchukua pesa kwa wagonjwa je hawa nao wanatumwa na Samia? muhimu Rais aharakishe uchunguzi na wambain muuaji huwezi kusema moja kwa moja ni fulani
 
Askari karibu alfu na kidogo kutoka mikoani wamewasili dar kungojea maandamano .
Mboe kapiga zuga kwel.
 
Nani amfunge paka kengele?
Siku hizi kuna technolojia , Panya hawahitajiki tena kumfunga Paka Kengele ili kujua movements zake, siku hizi wanafunga tu CCT Camera bila ya kuhitaji kumgusa Mr Paka, na lengo linakuwa limetimia wanabakia salama hao Panya wakimchekeal kutokea shimoni mwao.
 
Mbowe tunduka daruga mzeee
Hapo ujue imeingia Bil 5 akaambiwa tulia mwenyekiti

ipo siku wengi wataelewa hili

Hakuna Upinzani halisi Tanzania

Upinzani aliondoka nao Mch. Christopher Mtikila
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ametangaza kuahirisha maandamano yaliyopangwa kuanza tarehe 23/9/2024 mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa TDC ili kupisha mazungumzo yatakayofanyika baina ya viongozi wa dini na Rais Samia.
Viongozi wa dini watulie madhabahuni na majoho yao
 
Na hata hayo maridhiano yenyewe Chadema inaenda kupigwa za uso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…