SI KWELI Freeman Mbowe asitisha maandamano yaliyokuwa yafanyike Septemba 23

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Bora kaahirisha kwani ninaamini wangejiponza mbele ya kesi ya UHAINI wa kumpindua rais halali.....๐Ÿคฃ
.a hiyo kesi ipo njian mama aliwaaambia tuna interagencia kubwa na kila mnachokipanga nakijua nahisi ile hotuba imewastua kidog
 
"Huyu ni miongoni mwetu"
Expect nothing from him๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
.a hiyo kesi ipo njian mama aliwaaambia tuna interagencia kubwa na kila mnachokipanga nakijua nahisi ile hotuba imewastua kidog
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Mkuu huo ni ukweli mchungu
98% ya watz bado wanahitahi elimu ya kujitambua. Bila kujitambua hatuwezi kufanya mabadiliko yoyote. Wamezoea kuandamani mitandao na kutoa kauli za kishujaa lakini on ground wanaufyata kama mbwa koko ugenini.
 
Nampongeza Sana Mheshimiwa Rais kwa hotuba yake nzito na ya kihistoria aliyoitoa kule moshi kilimanjaro.imeleta na kujenga heshima sasa.
Mbowe ni mtu wa kuheshimiwa Sana katika hizi siasa za Tanzania. Amepitia mengi na anawajua anaowatumikia na anaopingana nao
 
Yaani mtu upo Shekilango una andamana huku unachezea virungu vya kiuno,Mtanzania mwenzio yuko Goba anaukatikia nani afanye ujinga huo๐Ÿ’.
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Mnini huo?
 
98% ya watz bado wanahitahi elimu ya kujitambua. Bila kujitambua hatuwezi kufanya mabadiliko yoyote. Wamezoea kuandamani mitandao na kutoa kauli za kishujaa lakini on ground wanaufyata kama mbwa koko ugenini.
Asante kwa kunielewa mkuu๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ