unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Mbowe is the best, anajua wakati gani atumie hekima hata kama wengi watamuona muoga, na wakati gani atumie nguvu, huyu chairman namuelewa sana.
Halafu utawasikia vichaa fulani wanasema Chadema waache uanaharakati, wakati wao ndio wanawafanya Chadema waonekane wanaharakati kwa kuwalazimisha Chadema kupigania haki zao kisheria.
Mkuu umeona ile nguo nyekundu. Fungu mmetoa wapi. Sisi huko njaa. Corona imetuulia ndugu yetu. Ukishatuma salio. Niambie. Tupambane na corona au tufanye makongamano.