Freeman Mbowe atangaza kufanya Makongamano ya Katiba mpya nchi nzima, la Mwanza kufanyika wiki hii

Freeman Mbowe atangaza kufanya Makongamano ya Katiba mpya nchi nzima, la Mwanza kufanyika wiki hii

Twende pole pole mkuu. Haya hapa chini ni kweli kutokea kwenye uliyoyaandika na niliyoyaandika:

1. Muungano wetu ni wa nchi mbili zilizokuwa na uhuru kamili.
2. Muungano huu ni kwa maslahi ya nchi zote mbili.
3. Muungano huu ni kwa ridhaa ya wananchi wa nchi mbili hizi.
4. Muungano huu hata sasa unayo ridhaa ya wananchi wa nchi mbili hizi.
5. Muungano huu ni wa hiari wala si wa shuruti.
6.Ni jambo la kawaida kuzipitia kero zilizopo kwenye Muungano kama wa kwetu tokea pande zote mbili ili kujiimarisha.

Pana tatizo lolote popote hapo?
Mtoto wa teuzi huyo na maswali haya unamuonea sana!
Yeye anachujua bi, Chokochoko ni muislamu mwenzie basi. Hata mambo ya CCM anajionea tabu tu.
 
Twende pole pole mkuu. Haya hapa chini ni kweli kutokea kwenye uliyoyaandika na niliyoyaandika:

1. Muungano wetu ni wa nchi mbili zilizokuwa na uhuru kamili.
2. Muungano huu ni kwa maslahi ya nchi zote mbili.
3. Muungano huu ni kwa ridhaa ya wananchi wa nchi mbili hizi.
4. Muungano huu hata sasa unayo ridhaa ya wananchi wa nchi mbili hizi.
5. Muungano huu ni wa hiari wala si wa shuruti.
6.Ni jambo la kawaida kuzipitia kero zilizopo kwenye Muungano kama wa kwetu tokea pande zote mbili ili kujiimarisha.

Pana tatizo lolote popote hapo?
Mkuu ukiuita muungano wetu ni wa hiyari basi ujue kuna pande mbili juu ya hiyo hoja yako....

Lini Wazanzibari walipewa "white paper" wakapiga kura kuwe na muungano uliopo?!!!

Wapi na lini Watanganyika walipiga kura za maoni kuridhia huo muungano?!!!

Kilichopo ni viongozi wetu waandamizi.....waliokuwa na maono makubwa mno.....kutuunganisha....Hayati Karume na Hayati baba wa taifa.....

Naufanananisha muungano huu ADHIMU , BORA NA WA KIPEKEE na NDOA ZA ZAMANI ZA WABABU ZETU...ambao wazee waliunganisha UDUGU kwa kuwafungisha ndoa VIJANA WAO.....
Udugu huo ulizaa MAKABILA....
Udugu huo ulizaa kiitwacho "kula yamini ya damu"........

Mkuu Brazaj ,lini raia wa Marekani(US) walihojiwa juu ya Muungano wao?!!!!
 
Mbowe ametumia ujinga wa wanachama wake kujijengea mazingira mazuri ya kimaisha na kisiasa. Pia ametumia umasikini wao kama silaha au njia ya kuuza utu wao kwake. Wengi ni njaa ndo zinawasumbua.
Hakika mkuu....

Wakiongozwa na Mdude Nyagali na "aila" yake.....🤣🤣

Mh.Mbowe ni mwekezaji MKUBWA huko DUBAI,UINGEREZA na MAREKANI.......
 
Mtoto wa teuzi huyo na maswali haya unamuonea sana!
Yeye anachujua bi, Chokochoko ni muislamu mwenzie basi. Hata mambo ya CCM anajionea tabu tu.
Mtoto wa teuzi ni yupi ?!!

Dini inaingiaje hapa ?!!

Kwa hiyo tulipokuwa "staunch supporter" wa hayati JPM tulikuwa naye kidini ?

Ni huku Afrika ambako baadhi ya wajinga hutopea upumbavuni pale wanapokosa HOJA na kuamua kujibanza katika UPOPOMA wa hizo dini mbili za "kishabiki".....
 
Una kiwango kidogo Sana Cha akili wewe Jamaa.
Na hata busara yako iko chini mno.
Yaani Mkaruka ana kiwango kidogo cha fikra ?!!! Khaaaa 😲😲

Kweli nimeamini ninyi BAVICHA ,mnamsifia mtu kuwa si "mpogo wa fikra" pale tu ANAPOWIANISHA HOJA mtakazo ninyi daah ha ha ha 🤣🤣
 
Lakini uwezo wa kukufir*** ninao. Jichanganye, utatapika kisusio na mbege.
Yaani Mkaruka ana kiwango kidogo cha fikra ?!!! Khaaaa 😲😲

Kweli nimeamini ninyi BAVICHA ,mnamsifia mtu kuwa si "mpogo wa fikra" pale tu ANAPOWIANISHA HOJA mtakazo ninyi daah ha ha ha 🤣🤣
Huyu ndio Mkaruka wako Bibie, Brown?! Unamsifia mwenyewe umepata mume .! Kweli MaCCM ni kituko cha Ulimwengu.
 
Kwani umeelewa nini katika hicho kificho cha statement yake?!!

Hakuimalizia....kwa hiyo "wewe wasema"....

Halafu "unapomprovoke" mtu unategemea nini ?!!

Kwako wewe wenye fikra kuntu huwa hawatukani....Khaaa 😲😲

Mkuu mimi ni wa kiume....na si bibie.... hopefully umeelewa!
Huyu ndio Mkaruka wako Bibie, Brown?! Kweli MaCCM Mnapuyanga tcha
 
Nchi ya kipuuzi sana. Wananchi wake wanajadili katiba yao polisi wanawakamata shubaamit
Nchi yoyote ina miiko yake nyang'au we.

Mnadhani nchi inaendeshwa kwa kila mmoja kuongea ongea awezalo?
 
* BREAKING NEWS: * * Watu wote waliochanjwa watakufa ndani ya miaka 2 *

Mshindi wa Tuzo ya Nobel Luc Montagnier amethibitisha kuwa hakuna nafasi ya kuishi kwa watu ambao wamepokea aina yoyote ya chanjo. katika mahojiano ya kushtua, mtaalam wa hali ya juu ulimwenguni alisema waziwazi: "hakuna tumaini, na hakuna matibabu yanayowezekana kwa wale ambao wamepewa chanjo tayari. Lazima tuwe tayari kuteketeza miili." fikra za kisayansi ziliunga mkono madai ya wataalam wengine maarufu wa virolojia baada ya kusoma sehemu za chanjo. "Wote watakufa kutokana na nyongeza ya tegemezi ya kingamwili. Hakuna kitu kingine kinachoweza kusemwa."

"Ni kosa kubwa sana, sivyo? Kosa la kisayansi na kosa la matibabu. ni kosa lisilokubalika, ”Montagnier alisema katika mahojiano yaliyotafsiriwa na kuchapishwa na RAIR Foundation USA jana. "Vitabu vya historia vitaonyesha hivyo, kwa sababu ni chanjo ambayo inaunda anuwai."

wataalam wengi wa magonjwa wanaijua na wako "kimya" juu ya shida inayojulikana kama "kukuza tegemezi ya kingamwili," Montagnier alisema.




* Habari mpya: Mahakama Kuu ya Amerika imefuta chanjo ya ulimwengu *

Nchini Merika, Korti Kuu imefuta chanjo ya ulimwengu. muswada Gates, Mtaalamu Mkuu wa Magonjwa ya Kuambukiza Fauci, na Big Pharma wamepoteza kesi katika Korti Kuu ya Amerika, wakishindwa kudhibitisha kuwa chanjo zao zote katika kipindi cha miaka 32 iliyopita zimekuwa salama kwa afya ya raia! Kesi hiyo iliwasilishwa na kundi la wanasayansi wakiongozwa na Seneta Kennedy.
Robert F. Kennedy Jr.: "Chanjo mpya ya COVID inapaswa kuepukwa kwa gharama yoyote.

Ninavutia mawazo yako kwa haraka kwa maswala muhimu yanayohusiana na chanjo inayofuata dhidi ya Covid-19.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya chanjo, chanjo zinazoitwa mRNA za kizazi kipya huingiliana moja kwa moja na maumbile ya mgonjwa na kwa hivyo hubadilisha nyenzo ya maumbile, ambayo ni ujanja wa maumbile, ambayo ilikuwa tayari imezuiliwa na hapo awalikuchukuliwa kuwa uhalifu.VACCINE ya coronavirus SIYO CHanjo! UMAKINI!
Je! Chanjo imekuwa nini kila wakati?
Daima ilikuwa pathogen yenyewe - microbe au virusi ambayo iliuawa au kupunguzwa, ambayo ni, kudhoofishwa - na iliingizwa mwilini ili kutoa kingamwili.
Hata chanjo ya coronavirus!
Yeye sio hivyo hata kidogo!
Ni sehemu ya kikundi kipya zaidi cha mRNA (mRNA) inayodaiwa "chanjo"
Mara tu ndani ya seli ya binadamu, MRNA hurekebisha RNA / DNA ya kawaida, ambayo huanza kutengeneza protini nyingine.
Hiyo ni, hakuna uhusiano wowote na chanjo za jadi! Hiyo ni, ni chombo cha ushawishi wa maumbile. silaha ya jeni! Hiyo ni, wangeenda kuharibu kutoka kwa watu wa ardhini, na waathirika watakuwa GMOs!
Kufuatia chanjo isiyo ya kawaida ya mRNA, chanjo haitaweza tena kutibu dalili za chanjo kwa njia ya ziada.
Watu waliopewa chanjo watalazimika kukubaliana na matokeo, kwa sababu hawawezi kuponywa tena kwa kuondoa tu sumu kutoka kwa mwili wa binadamu, kama kwa mtu aliye na kasoro ya maumbile kama vile Down syndrome, Klinefelter syndrome, Turner syndrome, maumbile kushindwa kwa moyo , hemophilia, cysticfibrosis, ugonjwa wa Rett, nk), kwa sababu kasoro ya maumbile ni ya milele!Hii inamaanisha wazi:
ikiwa dalili ya chanjo inakua baada ya chanjo ya mRNA, mimi wala mtaalamu mwingine yeyote anaweza kukusaidia, kwa sababu
UHARIBIFU UNAOSABABISHWA NA CHANJO HAUWEZI KUBATILIWA KIENYEZI.

Chanjo -
silaha za mauaji ya halaiki ya karne ya 21.

Mwanasayansi Mkuu wa zamani wa Pfizer Mike Yeedon kwa mara nyingine ameelezea msimamo wake kwamba ni kuchelewa sasa kuokoa wale ambao wamechomwa sindano inayoitwa hadharani "chanjo ya Covid-19."

Anawahimiza wale ambao bado hawajapata sindano mbaya kupigania maisha yao, wale walio karibu nao na maisha ya watoto wao.

Daktari bingwa wa magonjwa maarufu wa kimataifa anaendelea kuelezea mchakato ambao anasema utaua idadi kubwa ya watu:
"Mara tu baada ya chanjo ya kwanza, karibu asilimia 0.8 ya watu hufa ndani ya wiki mbili.
Wastani wa matarajio ya maisha ya waokokaji itakuwa kiwango cha juu cha miaka miwili, lakini pia hupungua kwa kila "sindano" mpya. "

Chanjo za ziada bado zinatengenezwa ili kusababisha kuzorota kwa viungo fulani, pamoja na moyo, mapafu na ubongo.

Baada ya miongo miwili huko Pfizer, Profesa Yedon alikuwa akifahamu kazi na malengo ya utafiti na maendeleo ya kampuni kubwa ya dawa Pfizer, na anasema kuwa lengo kuu la serikali ya sasa ya "chanjo" inaweza tu kuwa hafla kubwa ya idadi ya watu ambayo itafanya vita vyote vya ulimwengu kuweka pamoja,kama kipanya cha Mickey."Mabilioni ya watu tayari wamehukumiwa kifo fulani, kisichoepukika na chungu. Mtu yeyote atakayepata sindano atakufa mapema, na miaka mitatu ni makadirio mazuri ya muda gani wanaweza kuishi."

Mungu atusaidie o. wengine wetu tumeanza na kipimo cha kwanza, tukingojea jab / kipimo cha pili! Mkanganyiko mkubwa, ikiwa hii ni kweli. Hii itakuwa na matokeo mabaya sana. Kesi ya kutathmini upya dhidi ya waendelezaji wa COVID19 VACCINES inapaswa kufunguliwa mara moja kuwaleta. wanapaswa kukabiliwa na kesi ya MAUAJILI, na hii inapaswa kuwa mbele ya korti ya kimataifa ya jinai .... Sitatuliza kesi yangu.
Hii ni mbaya zaidi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nimeisoma hadi mwisho, daah dunia hii .
Mkuu unasali kwa Gwajima ?
 
Mimi nilifikiri anasema kesho maandamano.

Yale yale, unasema halafu unasikilizia UPEPO 🤣
Naona umeamua kuchukua nafasi ya 'Magonjwa mtambuka, au YEHODA au Kawe Alumni', kama siyo wewe uliyekuwa ukiyatumia majina hayo!

Umejipambanua kwelikweli safari hii!
 
Back
Top Bottom