Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ujumbe wake alioutuma kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii huu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anang'atuka lini?chama kiingie kwenye uchaguzi na mwenyekiti mpya!Ujumbe wake alioutuma kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii huu hapa
View attachment 2949923View attachment 2949924
Hakumpa mkono alipokuwa na Cheo leo hii awe mpole kwa Mkuu wa Mkoa 😆 Bwashee au ni Pombe za Pasaka?Haya
Mwambie amueleze mkwe awe mpole pale Ara chuga 😂😂
Siasa za Arusha zimebadilika ghaflaHakumpa mkono alipokuwa na Cheo leo hii awe mpole kwa Mkuu wa Mkoa 😆 Bwashee au ni Pombe za Pasaka?
Watanzania kiboko aisee ,walimpaga kura laki nane tu huyu Mzee alipotaka kuwa Rais wa nchi yetuUjumbe wake alioutuma kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii huu hapa
View attachment 2949923View attachment 2949924
Ushahidi huu hapaHakumpa mkono alipokuwa na Cheo leo hii awe mpole kwa Mkuu wa Mkoa 😆 Bwashee au ni Pombe za Pasaka?
Lema aendelee kutakana kwenye mitandao kuita watanzania wapumbuvu wakati nina uhakika form four hakufauli vizuri ,safari hii lazima atanasa tu KUDADADEKISiasa za Arusha zimebadilika ghafla
255 Katiba mpya
Yaani Lema anaishi kwa nyota ya Mzee Mbowe ,analeta gubu hata kwenye msiba ?AIBU
Jimbo la Arusha linarudi CHADEMA hata mkileta Vifaru vya JW.Siasa za Arusha zimebadilika ghafla
255 Katiba mpya
Kuushika mkono uliojaa damu za watu ni kupokea laana.Hakumpa mkono alipokuwa na Cheo leo hii awe mpole kwa Mkuu wa Mkoa [emoji38] Bwashee au ni Pombe za Pasaka?
Kabisa.Kuushika mkono uliojaa damu za watu ni kupokea laana.