Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umekufa au uko hai ?Ndo nani huyo Mbowe???
ππππππππUmekufa au uko hai ?
Karibu sanaUstaadh Abubakar
Tutamfikishia kilio chakoAsambaze nyama ya nguruwe kwa wenye mahitaji
hapo ambapo anasema ati,Mwenyekiti wa Chadema Mwamba kabisa , Freeman Mbowe , ambaye huko Zanzibar anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , ametuma salamu za heri ya Eid El Fitri kwa Waislam wote Nchini na kote Duniani .
Hii hapa ndio Taarifa yake
View attachment 2959027View attachment 2959028
Ni yule mmiliki wa kundi linalojiita Chadema.Ndo nani huyo Mbowe???
Shekh Rashid Abubakari Mbowe.Mwenyekiti wa Chadema Mwamba kabisa , Freeman Mbowe , ambaye huko Zanzibar anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , ametuma salamu za heri ya Eid El Fitri kwa Waislam wote Nchini na kote Duniani .
Hii hapa ndio Taarifa yake
View attachment 2959027View attachment 2959028
Waachie Waislam waamue wenyewe , hiyo ccm inayokupa posho siyo dinihapo ambapo anasema ati,
"ninawaombea siku hii iwe imejaa, furaha na baraka kwenu na kwa wapendwa wenu" π€
nina mashaka huyu muungwana hawezi fanya hayo maombi, that one the man can't do it....
hiyo ya kuwatakia yaliyo mema, it's okay nakubali. ila hiyo ya eti kuwaombea π€£
π