Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Amina, twende tukazivuna Rehema na Neema za Mwezi Mtukufu RamadhanMwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , amejitokeza hadharani kuwatakia Waislam wote Baraka tele za mwezi Mtukufu wa Ramadhan
Ujumbe wake Muruwa huu hapa
View attachment 2932901View attachment 2932902
NaamUstaadh Abubakar
Mwamba hajawahi kukoseaBomba sana Mwamba.
HahaaUstaadh Abubakar
We jamaa umechanganyikiwa.....unadhani kila kitu ni siasa tu.Mwambie jasho la mtu haliendi bure na haki ya mtu haipotei lakini pia machozi na kilio cha mnyonge kinamfikia Mungu moja kwa moja .kwa hiyo alipe jasho la wale waandishi wa habari kumi ndio aanze kuandika propaganda zake mitandaoni. Siyo anajifanya ana upendo na watanzania na kuvaa kanzu kwa maigizo halafu nyuma ya pazia amefanya dhuluma kubwa na familia yake kwa watu bila aibu wala haya.
Mwamba hajawahi kukosea
Nitajie Mwanasiasa mmoja tu wa CCM asiyewafanyia wananchi maigizo πππ₯Mwambie jasho la mtu haliendi bure na haki ya mtu haipotei lakini pia machozi na kilio cha mnyonge kinamfikia Mungu moja kwa moja .kwa hiyo alipe jasho la wale waandishi wa habari kumi ndio aanze kuandika propaganda zake mitandaoni. Siyo anajifanya ana upendo na watanzania na kuvaa kanzu kwa maigizo halafu nyuma ya pazia amefanya dhuluma kubwa na familia yake kwa watu bila aibu wala haya.
Ndio maana tunataka Mbowe alipe jasho la watu na siyo kuleta siasa kwenye haki na jasho la watu. Mbowe na familia yake walipe jasho la watu.We jamaa umechanganyikiwa.....unadhani kila kitu ni siasa tu.
Jemedari wetu Rais Samia Suluhu HasssanNitajie Mwanasiasa mmoja tu wa CCM asiyewafanyia wananchi maigizo πππ₯
HahahahaNitajie Mwanasiasa mmoja tu wa CCM asiyewafanyia wananchi maigizo πππ₯
Kumbe wewe hujui siasaJemedari wetu Rais Samia Suluhu Hasssan
Maigizo yanafanywa huko kwa nyumbu mtaa wa pili.Kumbe wewe hujui siasa
Siasa ni Maigizo
Jikite kwenye madaNdio maana tunataka Mbowe alipe jasho la watu na siyo kuleta siasa kwenye haki na jasho la watu. Mbowe na familia yake walipe jasho la watu.machozi ya waandishi wa habari waliomfayia kazi usiku na mchana yatamlilia wakati wote na moyo wake hautakuwa na amani.kama amezoea kudhulumu mali za CHADEMA kutokana na kuwachukulia kama manyumbu basi aendelee huko huko lakini haki na jasho la wanyonge hawa alipe .
Vyama vya Siasa ni vikundi vya Maigizo ndio sababu wewe Ramadan itaisha bila kuonja futari ya mwanasiasa kwa sababu Wenzako wanaangalia " mvuto" ππππ₯Maigizo yanafanywa huko kwa nyumbu mtaa wa pili.
Ndio nimejikita huko kuwa Mbowe na familia yake waache udhulumaji na unyonyaji.hivi kweli Mbowe na familia yake wanashindwa kuwa na huruma kwa watu waliokuwa wanaacha familia zao na kuwahi kufanya kazi kwa Mbowe? Kama anashindwa kuwatendea haki watu kumi tu ni vipi anajinasibu kuwatetea watanzania mamilioni kwa mamilioni? Kama siyo unafiki ni nini? Kama siyo utapeli wa kisiasa na maneno ni nini?Jikite kwenye mada
Uzi wa Ramadhan unaleta kilio cha njaa , huu ni uzi wa dua na barakaNdio nimejikita huko kuwa Mbowe na familia yake waache udhulumaji na unyonyaji.hivi kweli Mbowe na familia yake wanashindwa kuwa na huruma kwa watu waliokuwa wanaacha familia zao na kuwahi kufanya kazi kwa Mbowe? Kama anashindwa kuwatendea haki watu kumi tu ni vipi anajinasibu kuwatetea watanzania mamilioni kwa mamilioni? Kama siyo unafiki ni nini? Kama siyo utapeli wa kisiasa na maneno ni nini?
Mwenyekiti mzima anawadhulumu watu waliotoa jasho lao? Mwenyekiti mzima anayesema anapigania haki anashindwa kuguswa na maisha ya watu kumi tu? Huu ni uhuni usiokubalika hata kidogo kwa jamii iliyostaarabika. Hili tu lilikuwa linatosha kumfanya ajiuzulu hata huo uenyekiti wake anaoutumia kukinyonya chama kama kupe. Mbowe na familia yake ni wanafiki sana .asivyo na aibu wala haya anajifanya eti anawatetea Watanzania? Watanzania wapi hao anaowatetea wakati nyuma ya pazia anapora haki zao? Mnafiki mkubwa