Freeman Mbowe awatakia Waislam wote Ramadhan Kareem

Freeman Mbowe awatakia Waislam wote Ramadhan Kareem

Uzi wa Ramadhan unaleta kilio cha njaa , huu ni uzi wa dua na baraka
Utapataje baraka wakati wewe ni dhulumati na tapeli mkubwa ? Nani anayetoa baraka kwa mtu anayedhulumu watu kama afanyavyo mbowe na familia yake? Asivyo na haya wala aibu anajifanya anavaa na kanzu wakati moyo wake umevaa uzulumaji na unyonyaji kwa jasho la watu.
 
Utapataje baraka wakati wewe ni dhulumati na tapeli mkubwa ? Nani anayetoa baraka kwa mtu anayedhulumu watu kama afanyavyo mbowe na familia yake? Asivyo na haya wala aibu anajifanya anavaa na kanzu wakati moyo wake umevaa uzulumaji na unyonyaji kwa jasho la watu.
Huna hoja wewe
 
Huna hoja wewe
Mkono wa Mungu wa hasira utakuwa juu yake. Dhuluma ni kama giza tu haliwezi kushindana na nuru. Dhuluma ambayo Mbowe na familia yake wamezoea kuwatendwa watu wanaofanya kazi kwake basi sasa ni mwisho . tutaendelea kupaza sauti juu ya udhulumaji wa Mbowe na familia yake anaowafanyia watu.nitapaza sauti bila kuchoka mpaka kila mtu ndani na nje ya nchi atambue kuwa familia ya Mbowe ni nukusi linapokuja suala la pesa. amekula Ruzuku za chama ameona hazitoshi,amekula michango ya join the chain ameona tumbo lake halitosheki ,amekula pesa za akina sabodo ameona hajashiba mpaka ale na kumeza za waandishi hawa wanyonge waliokuwa wanawahi kila siku asubuhi kumfanyia yeye kazi ,halafu mwisho wa siku anawadhulumu bila aibu wala haya.
 
Mkono wa Mungu wa hasira utakuwa juu yake. Dhuluma ni kama giza tu haliwezi kushindana na nuru. Dhuluma ambayo Mbowe na familia yake wamezoea kuwatendwa watu wanaofanya kazi kwake basi sasa ni mwisho . tutaendelea kupaza sauti juu ya udhulumaji wa Mbowe na familia yake anaowafanyia watu.nitapaza sauti bila kuchoka mpaka kila mtu ndani na nje ya nchi atambue kuwa familia ya Mbowe ni nukusi linapokuja suala la pesa. amekula Ruzuku za chama ameona hazitoshi,amekula michango ya join the chain ameona tumbo lake halitosheki ,amekula pesa za akina sabodo ameona hajashiba mpaka ale na kumeza za waandishi hawa wanyonge waliokuwa wanawahi kila siku asubuhi kumfanyia yeye kazi ,halafu mwisho wa siku anawadhulumu bila aibu wala haya.
Mkuu usiniharibie funga yangu
 
Mukya bi mdogo aliyezaa naye Mbowe sijui kama muislamu kama muislamu nimtakie Ramadhani kareeem
 
Mkuu usiniharibie funga yangu
Unafunga nini na wewe ulipo hapo? Mungu HADHIHAKIWI hata siku moja. Usijidanganye ukafikiri Mungu naye ni mjinga na mbumbumbu na zuzu kama ulivyo wewe. Lipeni pesa za waaandishi wa habari mliowatumikisha na wakawatumia kwa moyo wote.sasa kwanini mzulumu jasho la watu? Kwanini hamtaki kuwalipa? Si mnasema Mbowe ni billionea? Kwanini usiwape watu haki zao? Shida nini? Unapungukiwa nini akiwapa watu kulingana na jasho lake? Kwani wao hawana familia? Hawana watoto kama alivyo mbowe? Sasa kwanini hamna huruma ninyi? Kwanini mnakuwa mazulumati kiasi hicho? Tofauti yenu na matapeli wa mitaani ni nini?
 
Screenshot_20230406-212736.png
 
Ndio nimejikita huko kuwa Mbowe na familia yake waache udhulumaji na unyonyaji.hivi kweli Mbowe na familia yake wanashindwa kuwa na huruma kwa watu waliokuwa wanaacha familia zao na kuwahi kufanya kazi kwa Mbowe? Kama anashindwa kuwatendea haki watu kumi tu ni vipi anajinasibu kuwatetea watanzania mamilioni kwa mamilioni? Kama siyo unafiki ni nini? Kama siyo utapeli wa kisiasa na maneno ni nini?

Mwenyekiti mzima anawadhulumu watu waliotoa jasho lao? Mwenyekiti mzima anayesema anapigania haki anashindwa kuguswa na maisha ya watu kumi tu? Huu ni uhuni usiokubalika hata kidogo kwa jamii iliyostaarabika. Hili tu lilikuwa linatosha kumfanya ajiuzulu hata huo uenyekiti wake anaoutumia kukinyonya chama kama kupe. Mbowe na familia yake ni wanafiki sana .asivyo na aibu wala haya anajifanya eti anawatetea Watanzania? Watanzania wapi hao anaowatetea wakati nyuma ya pazia anapora haki zao? Mnafiki mkubwa
Alialikwa kula futari magogoni?
 
Nampongeza sana Mbowe kutumia michango ya Join The Chain kufuturisha.
 
Utapataje baraka wakati wewe ni dhulumati na tapeli mkubwa ? Nani anayetoa baraka kwa mtu anayedhulumu watu kama afanyavyo mbowe na familia yake? Asivyo na haya wala aibu anajifanya anavaa na kanzu wakati moyo wake umevaa uzulumaji na unyonyaji kwa jasho la watu.
Mbowe huyu huyu ambaye March ulimuita tapeli leo ndio mwamba.

Tutakukumbusha humu wewe kunguni haya magazeti yako sababu huna upande unaosimamia umechagua kuwa dekio.
 
Back
Top Bottom