Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Familia yao ilikuwa na hela kabla ya uhuru na baada ya uhuru.nyerere mwenyewe alikuwa anagongea msosi kwao kipindi hichotoka chadema digital imekuja jamaaa kitambi kimekua kikubwa sana
Hili jibu zuri sn halafu halina chuki hahahaaaaaFamilia yao ilikuwa na hela kabla ya uhuru na baada ya uhuru.nyerere mwenyewe alikuwa anagongea msosi kwao kipindi hicho
Bado ya piliSiyo Mbowe niliyesikia kuwa alishapata chanjo ya Covid? Sasa barakoa ya nini tena?
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Ameen
Amina
wamepigwa chenga ya mwili wamebaki kumtaja Mdude tu huku Sisi tukichanja mbugaMambo ni motooooo....migombamigomba hawaamini
Hivi Mbowe na Mangula nani mzee ?Huyu Mzee Awaachie Vijana Uenyekiti.... Kang'ang'ania Atafia hapo kitini
Huyu na mangula nani mzeeHuyu Mzee Awaachie Vijana Uenyekiti.... Kang'ang'ania Atafia hapo kitini
Hata Biden anava barakoa tena doubleSiyo Mbowe niliyesikia kuwa alishapata chanjo ya Covid? Sasa barakoa ya nini tena?
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Mbona hii michezo ya Euro wazungu waliopiga chanjo hawavai, Kwa hiyo hizi chanjo siyo za kuamini?Hata Biden anava barakoa tena double