Freeman Mbowe azindua ujenzi wa Ofisi ya CHADEMA Jimbo la Segerea

Freeman Mbowe azindua ujenzi wa Ofisi ya CHADEMA Jimbo la Segerea

Elimu endelevu ,pamoja amechanjwa anafanyanao kazi nijamii akivaa barakoa anatoa kwao picha flani halisi nahisia Kali kwamba barakoa ni muhimu inakinga/punguza uvico 19
Hpna, angejiaminisha kuwa amechanjwa na haitaji tena barakoa ili wao pia waone umuhimu wa chanjo

Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
 
Siyo Mbowe niliyesikia kuwa alishapata chanjo ya Covid? Sasa barakoa ya nini tena?

Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Kinga ya ziada.
Kuna baadhi ya waliopata chanjo ambao wamepata maambukizi, hata kama siyo wengi.

Kumbuka, ugonjwa huu bado mambo mengi hayajulikani, isitoshe, 'virus' anayesababisha ugonjwa ana uwezo wa kujibadilisha haraka.
Kwa hiyo, kama chanjo ilikuwa ni kwa aina fulani ya 'virus' huyo huyo miezi miwili iliyopita, na leo kawepo 'variant' aina nyingine ya virus huyo huyo, hakuna 'guarantee' ya kwamba huyo 'variant' mpya atakingwa na chanjo ile ile.

Kuvaa barakoa, na kufuata maelekezo mengine yanayotolewa kujikinga na maambukizi ni muhimu kwa yeyote yule.

Lakini, hata hivyo, nitumie mfano kueleza umuhimu wa chanjo: Ushahidi uliopo sasa hivi, chanjo zinafanya kazi ya kukinga maambukizi.
Maana yake ni kwamba, mtu aliyepata chanjo anayo nafasi kubwa zaidi ya kujikinga kuliko yule ambaye hana chanjo kabisa.
 
Halafu utaskia ooh Serikali inatukataza hawa wamekuwa wahun sana Maanina..
Chadema wamekuwa hovyo sanaaa
 
Ingependeza matukio muhimu Kama haya mnaweka no za mitandao ya simu wadau waweze kurusha chochote Kama alama ya kuunga mkono demokrasia.
 
Issue Sio Uzee...Issue ni Fikra Mpya....Mtu Kang'ang'ania Kiti toka enzi hizo.
Kipindi Cha Mkapa......Ye Yupo..!
Kipindi Cha Kikwete...Ye Yupo..!
Kipindi Cha Magu.......Ye Yupo..!
Kipindi Cha Samia......Ye Yupo..!
Duh Huko CDM Hakuna Mbadala.. ?
Mangula ana fikra gani mpya ?
 
Mangula ana fikra gani mpya ?
Achana na Mangula, Kichwa Cha Mabehewa (Train) ni Samia Kwa Sasa. Uwepo Wa Samia Unakupatia 'FIKRA MPYA'. Mbowe kuwepo zama Hizi ni Udumavu Wa Fikra.
Huyo akiwashindwa tuiteni tumcharaze Bakora atoke....!
 
Achana na Mangula, Kichwa Cha Mabehewa (Train) ni Samia Kwa Sasa. Uwepo Wa Samia Unakupatia 'FIKRA MPYA'. Mbowe kuwepo zama Hizi ni Udumavu Wa Fikra.
Huyo akiwashindwa tuiteni tumcharaze Bakora atoke....!
Mbowe ana tofauti ipi ya umri na Samia ?
 
Back
Top Bottom